Yaani mtoto amesomeshwa mwaka mzima. Mzazi arudie kwa wiki moja.

Yaani mtoto amesomeshwa mwaka mzima. Mzazi arudie kwa wiki moja.

Wachangiaji wengi wana chuki na private school kiasi cha kuacha kutumia akili
Vitu vya ajabu sana hata shule za serikali mzazi unawajibu wa kufatilia mwenendo wa mtoto wako. Shule za private tunazilaumu bure kwa makosa yetu ya kudhania tumelipa basi haina haja ya kujua maendeleo ya mtoto sababu ada tumemaliza. Private schools zinasaidia sana mtoto ikiwa na wewe mzazi upo karibu na mtoto na walimu. Sasa hata mwalimu wa darasa humjui then unakuja lalamika kupewa jukumu lako. Ungekuwa makini toka mwanzo wala barua isingekusumbua maana ungekuwa ulishajua shida ya mwanao siku nyingi na kufanyia kazi.Haijalishi mtoto awe kayumba au ya binafsi kama mzazi unajukumu la kila siku kukagua kazi ya mtoto na kuongea naye ujue anashida wapi na nini, haya ndiyo yanayokuja leta shida mbele mtoto kutokuwa karibu na mzazi wake unashindwa fahamu changamoto zake. Utajuaje kama shule mwalimu kampa adhabu kuzidi umri, au darasani haelewi kama hujajenga mahusiano na mwalimu na mwanao.
 
Sasa hapo kinachokushangaza nini?

Mzazi ni lazima ushiriki katika malezi na taaluma kwa mwanao siyo kila kitu mwl ahusike pekee yake, shule siyo kisiwa.
 
Vitu vya ajabu sana hata shule za serikali mzazi unawajibu wa kufatilia mwenendo wa mtoto wako. Shule za private tunazilaumu bure kwa makosa yetu ya kudhania tumelipa basi haina haja ya kujua maendeleo ya mtoto sababu ada tumemaliza. Private schools zinasaidia sana mtoto ikiwa na wewe mzazi upo karibu na mtoto na walimu. Sasa hata mwalimu wa darasa humjui then unakuja lalamika kupewa jukumu lako. Ungekuwa makini toka mwanzo wala barua isingekusumbua maana ungekuwa ulishajua shida ya mwanao siku nyingi na kufanyia kazi.Haijalishi mtoto awe kayumba au ya binafsi kama mzazi unajukumu la kila siku kukagua kazi ya mtoto na kuongea naye ujue anashida wapi na nini, haya ndiyo yanayokuja leta shida mbele mtoto kutokuwa karibu na mzazi wake unashindwa fahamu changamoto zake. Utajuaje kama shule mwalimu kampa adhabu kuzidi umri, au darasani haelewi kama hujajenga mahusiano na mwalimu na mwanao.
Mimi nalipa ada ya 2.7m kwa dogo wangu grade 3. Sina baya na shule. Namsubiri kwa hamu likizo nikague kama hiyo average ya 100% ni ya kweli au ya kukariri. Hao wanaotiana ujinga waache
 
Mimi nalipa ada ya 2.7m kwa dogo wangu grade 3. Sina baya na shule. Namsubiri kwa hamu likizo nikague kama hiyo average ya 100% ni ya kweli au ya kukariri. Hao wanaotiana ujinga waache
Hongera wewe unalitambua jukumu lako na nina amini hata mwanao atakuwa yupo vizuri sababu ukaguzi unasaidia
 
Mpaka hapa bado umeshindwa kunielewa, na ndiyo maana hata hayo maelekezo hujaelewa. Kazi unayo.
Nimesoma aliposema mtoto atumie brain kwamba haoni faida ya revision kama kesho ni mtihani nimechoka kabisa. Sasa kwa akili ndogo tu kama mwanao yupo vizuri kichwani kama unavyodai haukuwa na haja ya kuweka lalamiko hapa mwache alale kesho akafanye mtihani acha wa kwetu tunaopambana nao kufanya marudio.
Hivi kufanya marudio ni kwamba mtoto hatumii akili? Hii ni kitu cha ajabu kabisa nimewahi kukisikia au jamaa anataka leta tu stori humu
 
Nimesoma hii barua nimerudia nione tatizo nini wala sijaweza ona shida ipo wapi. Tatizo ni sisi wenyewe wazazi wala tusitake laumu shule. Mzazi mwenye kujielewa kwanza anakuwa karibu na mwalimu wa mwanae na pia akirudi lazima akae na mtoto wafanye wote "homework". Sasa unalipa ada na kuwaachia walimu kila kitu na unaona sawa kabisa. Kufanya marudio na mtoto utagundua maendeleo yake mapema na kufanya jitihada ili aweze kuwa sawa. Sasa unalipa hela hujui mwanao anaelewa au laa kisha unakuja lalama kukumbushwa wajibu . Tusipende kulaumu kwa kukwepa majukumu yetu kama wazazi. Walimu wana nafasi yao na wazazi tuna nafasi yetu.
Mimi mzazi hata darasa la pili sikufika, nitawezaje kumsaidia mwanangu marevision ya darasa la saba?
Walimu wasikwepe wajibu wao na ndiyo maana tunawalipa mamilioni ya karo
 
Kwaiyo hapo mtoto akiwa wa mwisho kwenye ripoti yake sio yeye ni wewe mfundishaji uwezo wapo ulivyo
 
Nimesoma hii barua nimerudia nione tatizo nini wala sijaweza ona shida ipo wapi. Tatizo ni sisi wenyewe wazazi wala tusitake laumu shule. Mzazi mwenye kujielewa kwanza anakuwa karibu na mwalimu wa mwanae na pia akirudi lazima akae na mtoto wafanye wote "homework". Sasa unalipa ada na kuwaachia walimu kila kitu na unaona sawa kabisa. Kufanya marudio na mtoto utagundua maendeleo yake mapema na kufanya jitihada ili aweze kuwa sawa. Sasa unalipa hela hujui mwanao anaelewa au laa kisha unakuja lalama kukumbushwa wajibu . Tusipende kulaumu kwa kukwepa majukumu yetu kama wazazi. Walimu wana nafasi yao na wazazi tuna nafasi yetu.
uko sahihi kabisa, lazima mzazi awajibike kwa kumsaidia mtoto wake jioni ili ajenge uzoefu wa kusoma na pia kumsaidia kwenye maeneo ambayo hakuelewa vizuri. Pia ukiona kuna eneo hakuelewa vizuri mzazi anakwenda kwa mwalimu kumpa mrejesho.

Hata kama mzazi analipa shilingi milioni kumi kwa mwaka haiondoi wajibu wake huo.
 
Vitu vya ajabu sana hata shule za serikali mzazi unawajibu wa kufatilia mwenendo wa mtoto wako. Shule za private tunazilaumu bure kwa makosa yetu ya kudhania tumelipa basi haina haja ya kujua maendeleo ya mtoto sababu ada tumemaliza. Private schools zinasaidia sana mtoto ikiwa na wewe mzazi upo karibu na mtoto na walimu. Sasa hata mwalimu wa darasa humjui then unakuja lalamika kupewa jukumu lako. Ungekuwa makini toka mwanzo wala barua isingekusumbua maana ungekuwa ulishajua shida ya mwanao siku nyingi na kufanyia kazi.Haijalishi mtoto awe kayumba au ya binafsi kama mzazi unajukumu la kila siku kukagua kazi ya mtoto na kuongea naye ujue anashida wapi na nini, haya ndiyo yanayokuja leta shida mbele mtoto kutokuwa karibu na mzazi wake unashindwa fahamu changamoto zake. Utajuaje kama shule mwalimu kampa adhabu kuzidi umri, au darasani haelewi kama hujajenga mahusiano na mwalimu na mwanao.
Huna lolote
 
Nimesoma aliposema mtoto atumie brain kwamba haoni faida ya revision kama kesho ni mtihani nimechoka kabisa. Sasa kwa akili ndogo tu kama mwanao yupo vizuri kichwani kama unavyodai haukuwa na haja ya kuweka lalamiko hapa mwache alale kesho akafanye mtihani acha wa kwetu tunaopambana nao kufanya marudio.
Hivi kufanya marudio ni kwamba mtoto hatumii akili? Hii ni kitu cha ajabu kabisa nimewahi kukisikia au jamaa anataka leta tu stori humu
Ndio wale wakifika chuo wanaanza upya ku hustle.

Watu tunatofautiana...

Mm taratibu zangu hazibadiliki...akirudi anafanyakazi za nyumbani za kiuchumi. Kureview ni kaze yake ninamkumbusha tu.

Atafanya usafi wake, nyumba , na mazingira yake, atapika vyakula na kadhalika.

Atashiriki shughuli za kiuzalishaji

Ufugaji kuku bata nk
Atawalisha na kuwasafishia,
Atachunguza maradhi ya dawa wanyama na kuwatibia. Atawalisha ngombe na maziwa atasambaza. Atafuata madeni nk

Nyie wakalilisheni wanenu.
Mjifunze kuachana na ukoloni wazungu waliotuachia.

Una biashara za wakala teach your kids after school sio kureview ujinga wa kimagharibi.

After school wafunzeni wanenu kusema naaanza kufanya abc kwa jina la Allah au Mungu. Wafunzeni kumkemea shetani. Wakitoka hapo wakauze duka lend, au biashara yenu.

Shule wajitahidi kama secular

Wengi wenu ni kizazi kilicho oza
 
Kupanga ni kuchagua kwa mt. KAYUMBA huo muda hawana mpeleke huko
 
Back
Top Bottom