CCM inafaidika nini na hili?BAKWATA WANA UNDUGU NA CCM
Labda mgeniambia kuna issue za kushirikina na mlishafanya maagano ya kufanya tofauti na wengine
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM inafaidika nini na hili?BAKWATA WANA UNDUGU NA CCM
Ni kawaida yao hao bakwata, yn wao wanapeleka mbele. Nchi zote za East Africa zinasherekea kesho kasoro TzHii kitu sio inajirudia mara kwa mara au?
Lengo Lao wasisherekee pamoja na wale wa vikaptura vufupi na mizuzu myekunduNi kawaida yao hao bakwata, yn wao wanapeleka mbele. Nchi zote za East Africa zinasherekea kesho kasoro Tz
Wewe una akili Sana. Huu ni utapeli mkubwa Sana! Hawa BAKWATA??? Wajitafakari Sana!Bila kuzingatia kwa mwaka huu 2023 nani yuko sahihi kati ya wale waliosema mwezi umeandama Kenya, Uganda na Rwanda (hivyo ijumaa ni sikukuu) dhidi ya wale waliosema mwezi haujaandama Tanzania (hivyo Ijumaa watu waendelee kufunga), hapo kuna harufu ya Uongo na utapeli kwa 100%.
Sote tunajua mwezi ni mmoja dunia nzima, na jiografia ya Rwanda, Kenya, Uganda na Tanzania inashahabiana sana huku nchi zote hizo zikiwa na jirani. Sasa inakuwaje suala la muandamo wa mwezi likatofautiana hivyo?
Hapa kuna utapeli kwa 100%
Wewe ni msema kweli! Hongera Sana!BAKWATA WANA UNDUGU NA CCM
Utapeli tu wa mafisadi!Tuko kwny vita ya kiuchumi mkuu.
Wanatuona sisi ni mabwege tu!Hata majirani wanatushangaa
Wapuuzi Sana hawa!Bakwata bladifulu
Bila kuzingatia kwa mwaka huu 2023 nani yuko sahihi kati ya wale waliosema mwezi umeandama Kenya, Uganda na Rwanda (hivyo ijumaa ni sikukuu) dhidi ya wale waliosema mwezi haujaandama Tanzania (hivyo Ijumaa watu waendelee kufunga), hapo kuna harufu ya Uongo na utapeli kwa 100%.
Sote tunajua mwezi ni mmoja dunia nzima, na jiografia ya Rwanda, Kenya, Uganda na Tanzania inashahabiana sana huku nchi zote hizo zikiwa na jirani. Sasa inakuwaje suala la muandamo wa mwezi likatofautiana hivyo?
Hapa kuna utapeli kwa 100%
Acha unaa wewe!Mufti wa Tanganyika na wa Zanzibar na wa Kenya wanapeana taarifa za mwezi wakati wa Idd. Sasa wote kwa pamoja wametamka mwezi haujaonekana. Sasa kuleta hoja kuwa Kenya kesho ni Idd kuna lengo gani? Kwa Uganda na Rwanda sidhani kama kuna mashirikiano hayo. Ila tuache kupotosha
Waambie ukweli hao!Mie kesho napiga zangu swala na Jumamosi nala Biryaan kama kawaida , Bakwata wasituletee ujuaji
Huu ndio ukweliBAKWATA WANA UNDUGU NA CCM
Ni waongo na wanafiki hawa ccm!Sasa huu uccm unakujaje ccm nao wamechoka kufunga
Acha kusingizia wasiohusikawakatoliki ndio wanapanga isi iwe lini..