sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Ndio Leo ni sikukuu , sema tunasubiri kusherehekea na bakwataWadau ndio kwanza nimeamka. Leo ni sikukuu au nirudi kulala?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Leo ni sikukuu , sema tunasubiri kusherehekea na bakwataWadau ndio kwanza nimeamka. Leo ni sikukuu au nirudi kulala?
Zuberi ili kulinda kiti chake kaamua kuwa CCM moja kwa moja. Na yeye anafuata maagizo ya chama kama mwanachama mtiifu.Nakumbuka kipindi cha nyuma tulikuwa tunasbare info kuhusu muandamo wa mwezi na wenzetu wa east africa! Sijui sikuhizi imekuwaje mpaka imekuwa hivi tena
Bora tukubaliane kuanzia Sasa kufunga ni siku 30 tu hakuna tena kuutegemea mwezi kutupa matokeo ya kula eid!!Hivi ni kwa nini hili la kuandama kwa mwezi huwa linaleta sarakasi kila mwaka.
Labda Tanzania mwezi umezuliwa na mlima Kilimanjaro ndio maana haujaonekana 🤣 🤣Bila kuzingatia kwa mwaka huu 2023 nani yuko sahihi kati ya wale waliosema mwezi umeandama Kenya, Uganda na Rwanda (hivyo ijumaa ni sikukuu) dhidi ya wale waliosema mwezi haujaandama Tanzania (hivyo Ijumaa watu waendelee kufunga), hapo kuna harufu ya Uongo na utapeli kwa 100%.
Sote tunajua mwezi ni mmoja dunia nzima, na jiografia ya Rwanda, Kenya, Uganda na Tanzania inashahabiana sana huku nchi zote hizo zikiwa na jirani. Sasa inakuwaje suala la muandamo wa mwezi likatofautiana hivyo?
Hapa kuna utapeli kwa 100%
Bakwata wanafata taratibu...BAKWATA WANA UNDUGU NA CCM
Hata mimi naona hivo,wenzao wanasherekea leo wao kesho.Lengo Lao wasisherekee pamoja na wale wa vikaptura vufupi na mizuzu myekundu
kama nakuelewa hiviTuko kwny vita ya kiuchumi mkuu.
Bakwata ni shia so hawawezi kuwa sawa na watu wasaudiaMtum s a w alitangaza IDD watu washaamka tayari wamefunga ,alipoambiwa TU mwenzi umeandama akamuambia bilali asome adhana watu waswali IDD
Bakwata ni loosers
therefore mufti wetu mwongo kwa sababu kasema kafanya consultation na mufti wa Kenya kabla ya kutangaza kuwa mwezi haukuonekanaMuft wa Uganda, Kenya na Rwanda wote wametangaza Eid ni ijumaaa
basi mufti wetu mwongoUsipotoshe watu mkuu,KENYA wametangaza Eid Ijumaa,Uganda pia.
🤣🤣🤣🤣Lengo Lao wasisherekee pamoja na wale wa vikaptura vufupi na mizuzu myekundu
نحن لسنا بخيرWaarabu wa Mwanalumango wamenuna Sana Leo,siwaoni kabisa kujibu swali hapa
BAKWATA WANA UNDUGU NA CCM