Yaani mwaka 2023, mwezi uandame Rwanda, Kenya na Uganda halafu usiandame Tanzania! Hapa kuna utapeli kwa 100%

inaonekana South Africa nako Eid ni leo, Saudia, UAE, Kenya, Uganda, Rwanda nk kote Eid ni leo... Tanzania Eid Kesho kwa niaba ya Mufti..

Kuna usemi unasema, yasiyowezekana duniani kote huwa Tanzania yanawezekana.

Wanazuoni Watanzania wanapaswa kulijadili hili kwa pamoja maana dhima hii iko kwao na kulitolea ufanunuzi pamoja na msimamo ili waislamu wa Tanzania wasiendelee kuyumba.
 
...Mimi nilishangaa kwamba SAA TATU Usiku Mufti Zanzibar kutangaza Redioni na kwenye TiiVii kuwa Mwezi haujaonekana Kwa Hiyo Ijumaa Watu wanaendeles na Mfungo na Sikukuu ni Jumamosi! SAA TATU USIKU !

Nikashangaa Sana! Walikuwa na haraka Gani ya kusema Mwezi haujaonekana hivyo Mfungo unaendelea?

SI Kuna Eid Mwaka wa Nyuma kidogo walitutangazia SAA NNE USIKU kuwa Mwezi umeonekana Huko Congo na Uarabuni...na Kesho ikawa Eid?

SI Kuna siku Miaka ya Nyuma Enzi za Baba wa Taifa kuonekana Mwezi kulitangazwa Alfajiri wakati Watu wanajiandaa kwenda Makazini...na ikawa Eid?

Hii ya kutangaza SAA TATU USIKU kuwa Mwezi haujaonekana na Kesho Ijumaa Watu waendelee kufunga, na maelezo mengine Kibao, ya Nini???
Walijuaje kwamba hawataletewa taarifa za kuonekana Mwezi SAA NNE USIKU ???
Kuna Neno !....[emoji35]
 
Sababu kesho msipoenda kazini serikali inapoteza mapato makubwa
Bakwata =serikali so kachepi kazi.
 
Wewe una akili Sana. Huu ni utapeli mkubwa Sana! Hawa BAKWATA??? Wajitafakari Sana!
 

Kila nchi na mipango yake
Kwani wewe uliuona mwezi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Acha unaa wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ