Yaani mwaka 2023, mwezi uandame Rwanda, Kenya na Uganda halafu usiandame Tanzania! Hapa kuna utapeli kwa 100%

Ijumaa kama HII siku ya kazi hawataki watu wasiende kazini!!

Wanataka waendelee na kazi!ndio maana idd HAMNA leo!hawataki weekend ndefu!!
 
Lengo Lao wasisherekee pamoja na wale wa vikaptura vufupi na mizuzu myekundu
 
Usipotoshe watu mkuu,KENYA wametangaza Eid Ijumaa,Uganda pia.
 
Hapa kuna ukweli vinginevyo watoe sababu ya kwanini mwezi haujaandama Tanzania tu.
 
Muft wa Uganda, Kenya na Rwanda wote wametangaza Eid ni ijumaaa
 
Tanzania kila Kitu cha Mchongo hadi Mwezi
 
Tatizo ni uhaba wa elimu dunia kwa viongozi wa dini
 
Mwezi wa Mchongo
 
Na naskia waliofunga halisi ni watu Saba tu. Wawili Unguja watatu Bara na wawili Pemba.

Anyway walitaka leo twende kazini.
 
Kinachonishangaza ni jinsi mnavyopiga kelele kwa siku moja tu, mkishakula hiyo Idd kelele zote zinaisha mpaka tar. 30 mwezi Ramadhan ya mwaka unaofuata. Kama hili jambo linawakera kwanini msikae meza moja na viongozi wenu mkalitafutia ufumbuzi?
 
Karne hii...pamoja na kukua kwa teknologia za aina zote bado watu wanashindwa kujua kama mwezi umeandama ama la...kwani wanatumia macho hayahaya au utaalamu mwingine.
Pili basi kama hawajauona, wanashindwa kuulizz kwa majirani ??
 
Amka uende kazini. Mufti kashatimiza wajibu wake 😂😂
 
Mtum s a w alitangaza IDD watu washaamka tayari wamefunga ,alipoambiwa TU mwenzi umeandama akamuambia bilali asome adhana watu waswali IDD
Bakwata ni loosers
 
BAKWATA ni Division ya CCM inayojihusisha na siasa za Imani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…