Yaani Naibu Waziri aliye Simba SC Kindakindaki avae Jezi ya Yanga SC halafu mtegemee Ushindi Kweli?

Yaani Naibu Waziri aliye Simba SC Kindakindaki avae Jezi ya Yanga SC halafu mtegemee Ushindi Kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nichukue tu nafasi hii Kuwashukuru Klabu ya USM Alger Wachezaji na hasa hasa Kocha wao ambaye si tu anajiamini ila hata alipotua nchini alipohojiwa alisema ameshaiona Yanga SC na kwamba ni wepesi na atawafunga Dar es Salaam na kule Kwao Jijini Algiers nchini Algeria.

Poleni na leo nina Furaha isiyoelezeka.
 
Nichukue tu nafasi hii Kuwashukuru Klabu ya USM Alger Wachezaji na hasa hasa Kocha wao ambaye si tu anajiamini ila hata alipotua nchini alipohojiwa alisema ameshaiona Yanga SC na kwamba ni wepesi na atawafunga Dar es Salaam na kule Kwao Jijini Algiers nchini Algeria.

Poleni na leo nina Furaha isiyoelezeka.
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Mbumbumbu na kukosa akili?

Kwanini hukuleta haya maelezo kabla ya mechi ya Yanga FC vs USM Alger kuchezwa 28/05/2023?

Hata hivyo hongereni Makolokolo kupata kombe lingine la Yanga kufungwa First Final, tusije tu tukakimbia hizi nyuzi mpira utavyoamua matokeo ya kutokaririka Yanga FC itapopindua meza ugenini 03/06/2023 na kubeba ubingwa wa CAFCCL rasmi 2023.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nichukue tu nafasi hii Kuwashukuru Klabu ya USM Alger Wachezaji na hasa hasa Kocha wao ambaye si tu anajiamini ila hata alipotua nchini alipohojiwa alisema ameshaiona Yanga SC na kwamba ni wepesi na atawafunga Dar es Salaam na kule Kwao Jijini Algiers nchini Algeria.

Poleni na leo nina Furaha isiyoelezeka.
KWELI NI BORA KUCHAGUA ANDAZI
 
Back
Top Bottom