Yaani tumewahonga Mtibwa Sugar FC tushinde nyingi ili Mashabiki wajae Mechi na Horoya FC tupige Pesa?

Yaani tumewahonga Mtibwa Sugar FC tushinde nyingi ili Mashabiki wajae Mechi na Horoya FC tupige Pesa?

Hovyo kabisa mbona huu Mpira wa leo Wachezaji wetu hawakuucheza Mechi kama Nne zilizopita na tukawa tunashinda kwa Taabu huku Sisi Mashabiki wenu GENTAMYCINE nikiwepo tukiwa tunajituliza kwa Dawa za Maumivu za Panadol?

Nitarudi hapa baadae Saa 4 Kamili na mengineyo.

Leo simba walikuwa na kiwango kizuri, lakini pia mtibwa sio timu ngumu kwa simba mpaka tuonge...... km kuna ulazima wakuhonga tuonge basi kwa hao horoya...... mtibwa sio level zetu mkuu hakuna bahasha ndo uwezo wao ule
 
Tupo hapa na [emoji897][emoji897][emoji897] zetu tunakusubilia mkuu wetu purely talented and charismatic fella, mkuu wa malaika wote wa mbinguni na mfungua milango ya peponi GENTAMYCINE
Asante, Amina na Ashukuriwe zaidi Mwenyezi Mungu kwa Baraka zake Kwangu na Kunizawadia Tunu ( Shani ) nyingi za Kimaisha na hasa hasa za Kiuwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums.
 
Leo simba walikuwa na kiwango kizuri, lakini pia mtibwa sio timu ngumu kwa simba mpaka tuonge...... km kuna ulazima wakuhonga tuonge basi kwa hao horoya...... mtibwa sio level zetu mkuu hakuna bahasha ndo uwezo wao ule
Huna unachokijua acha kunipotezea muda.
 
Waambie Mimi ni Habari nyingine JF.
@GENTAMYCINE mmoja ni sawa uchukue CNN + BBC + Al Jazeera + Sky News + Sky sports + Super Sports + ESPN + KTN + ITV + TBC + Radio Maria+ Tumaini FM + Nipashe+ Mwananchi + Mwanaspoti + Uwazi + Kiu + Michuzi blogs + Kigogo2004 + Mzee wa connection + Radio mbao.

Yaani genta ni lidude fulani kuuuuubwa sana na habari mbalimbali unazipata bila chengachenga.. salute sana kwake popoma
 
@GENTAMYCINE mmoja ni sawa uchukue CNN + BBC + Al Jazeera + Sky News + Sky sports + Super Sports + ESPN + KTN + ITV + TBC + Radio Maria+ Tumaini FM + Nipashe+ Mwananchi + Mwanaspoti + Uwazi + Kiu + Michuzi blogs + Kigogo2004 + Mzee wa connection + Radio mbao.

Yaani genta ni lidude fulani kuuuuubwa sana na habari mbalimbali unazipata bila chengachenga.. salute sana kwake popoma
Thanks for the sincere Credits Chief.
 
Tafadhali Soma post yangu ndefu #30 nimetiririka na kuserereka mengi na kila Kitu pia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Mimi nimejiunga hapa jf Mwaka 2015 October ila ni Kwa I'd nyingine sio hii, na ni baada ya kusoma Uzi wako ambao sio tu ulinistua, pia ulinifanya nikaamini humu Kuna watu Wana information zote za inchi hii. Kwaio wew ni king halisi wa jf
 
Daaah...!!Huku ni kupiga ramli.!!Maana hata ukiambiwa toa ushahidi hutoweza zaidi ya kukodoa macho kwa kuongea uongo..!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
@GENTAMYCINE mmoja ni sawa uchukue CNN + BBC + Al Jazeera + Sky News + Sky sports + Super Sports + ESPN + KTN + ITV + TBC + Radio Maria+ Tumaini FM + Nipashe+ Mwananchi + Mwanaspoti + Uwazi + Kiu + Michuzi blogs + Kigogo2004 + Mzee wa connection + Radio mbao.

Yaani genta ni lidude fulani kuuuuubwa sana na habari mbalimbali unazipata bila chengachenga.. salute sana kwake popoma
Naona popom@ unajisifia kwa account yako nyingine
 
Nilipoandika huu Uzi nilijua tu kuwa kuna Majuha na Wapuuzi watakurupuka na Kutonielewa na ningeshangaa kama wasingejitokeza.

Jamani GENTAMYCINE sijawa Mshindi wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa Mwaka jana ( 2022 ) kwa Kubahatisha bali ni kwa Uwezo wangu wa Kitaarifa, Uchambuzi na Uibuaji wa Hoja Tunduizi zenye Mvuto na Ushawishi kwa Wasomaji.

Na leo narudia tena ( na hii itakuwa ni mara ya mwisho ) kuwaambieni kuwa GENTAMYCINE najuana na nipo karibu kwa 95% na Wachezaji wa Simba na Yanga na pia kwa 75% na Viongozi na Watendaji wa hivi Vilabu Vikubwa hivyo nikija na Taarifa hapa jueni kuwa nimepenyezewa na hao hao na bahati nzuri niliyonayo ni kwamba Wote nipo nao ila hawajui na hawatokuja kujua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE wa JamiiForums.

Kingine nikisema kuwa katika Soka la Tanzania ( Bongo ) kuna Michezo michafu mingi ( hasa utoaji wa Rushwa kwa Waamuzi, Wachezaji na Timu ) muwe mnanielewa kwani hata Mimi GENTAMYCINE mwaka 2012 Yanga SC ilipofungwa Goli / Bao zile 5 kwa 0 nilishiriki kwa 100% katika Umafia kwa Kushirikiana na Wachezaji Waandamizi wa Yanga SC na Kufanikiwa.

Na hapa isionekane labda GENTAMYCINE naisema tu Simba SC ( ambayo naishabikia ) ila ukweli ni kwamba hata Yanga SC nao kwa 100% wanafanya hivyo hivyo isipokuwa kwa sasa Maovu ya Yanga SC yanafichwa na Kikosi chake Imara, Mahiri na Bora tofauti na chetu Simba SC ambacho ni cha Kujitafuta ( Kibovu ) na hakitoi Matumaini yoyote yale kwa hii Misimu / Miaka miwili mfululizo.

Kilichofanyika leo ni Wachezaji wa Mtibwa Sugar FC Kupoozwa ( Kulainishwa ) na Mafia wa Simba SC ili Wasikaze na Simba SC icheze Mpira mwingi na ishinde Bao / Goli nyingi ili Kurejesha matumaini kwa Mashabiki wa Simba SC ambao 97% wameshakata Tamaa na Kuchukizwa na Soka Bovu na Ushindi wa Mungu Nisaidie ( wa Kubahatisha ) na wajitokeze kwa wingi tarehe 18 Machi, 2023 Uwanja wa Mkapa Simba SC ikicheza Mechi muhimu ( ya Kimaamuzi ) kwa CAFCL na Watu wapige Pesa kwa Nyomi litakalokuwepo.

GENTAMYCINE nawajua hadi Wachezaji waliopewa Mzigo mpaka Waratibu wa Zoezi hilo ( ambao Watatu walishawahi kuwa Wachezaji wakubwa hadi Manahodha ) na Viongozi Wawili wa Klabu hiyo ambao wamefanikisha Kimafia Simba SC kushinda leo.

Namalizia kwa kusema kuwa sikulazimishi na sijakulazimisha Uamini nilichokisema hapa ila Siku zote Silaha Kuu ya GENTAMYCINE ni Kujiamini kwa Mambo yangu na Taarifa na huwa sibahatishi / sizibahatishi kwani huwa ni za uhakika na zinatoka Jikoni kwenyewe na siyo Sebuleni au Kibarazani.

Na ukiona Umekwazika / Umechukizwa nami GENTAMYCINE kwa nilichokiandika au basi tu hunipendi kutokana na Umaarufu wangu mkubwa hapa JamiiForums au kwa Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala Mtambuka nakurahisishia Kazi tafuta popote pale Sumu ya Panya changanya na Dawa ya Mbu katika Kikombe cha Maji kisha ukinywe ili Ufe na ukatuandalie Makazi mema Ahera.

Imeisha hiyo...........................Kudadadeki

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: KANYIMBI, Tui, Cashman, Kalpana, mganda og, Vontec
Hakuna lolote hapa zaidi ya porojo. Unajificha nyuma ya keyboard kwa fake ID huku ukija na unsubstantiated claims.

Wewe unakuza majungu sana katika soka, na kama ungekuwa mkweli ungetaja majina ya wahusika na kiasi. Lakini ujidhihirishe kabisa wewe ni nani ili ukathibitishe pale utakapotakiwa kufanya hivyo. Nengekuwa moderator, ningefuta nyuzi za majungu kama hizi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hakuna lolote hapa zaidi ya porojo. Unajificha nyuma ya keyboard kwa fake ID huku ukija na unsubstantiated claims.

Wewe unakuza majungu sana katika soka, na kama ungekuwa mkweli ungetaja majina ya wahusika na kiasi. Lakini ujidhihirishe kabisa wewe ni nani ili ukathibitishe pale utakapotakiwa kufanya hivyo. Nengekuwa moderator, ningefuta nyuzi za majungu kama hizi.
Moderators wa JamiiForums ni Watu Waadilifu, Makini na Weledi Kiutendaji hivyo hawawezi Kuamriwa Upumbavu na Juha na Mwendawazimu wa mfano wako juu ya nini cha Kufanya.

Mnanichukia GENTAMYCINE lakini ndiyo nyie nyie Kutwa ( 24/7 ) mkiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima msome Mada zangu na Posts zangu katika Mada za Watu Wengine.

Nikiwa nawadharau msiwe mnachukia.
 
Moderators wa JamiiForums ni Watu Waadilifu, Makini na Weledi Kiutendaji hivyo hawawezi Kuamriwa Upumbavu na Juha na Mwendawazimu wa mfano wako juu ya nini cha Kufanya.

Mnanichukia GENTAMYCINE lakini ndiyo nyie nyie Kutwa ( 24/7 ) mkiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima msome Mada zangu na Posts zangu katika Mada za Watu Wengine.

Nikiwa nawadharau msiwe mnachukia.
Lakini wamekuweka kifungoni kwa muda mrefu. Na kwa trend hii ya kuchafua brands za watu, utarudishwa huko hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom