GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wafuatao ndiyo Watu pekee ambao GENTAMYCINE nitawalilia kila Siku na siyo Wengine waliojitakia Kufa kwa Kukubali Kufa huku Wakijiona ambao mpaka sasa naambiwa Wamefikia 60.
1. Mwalimu Julius Nyerere
2. Kwame Nkurumah
3. Kamuzu Banda
4. Kenneth Kaunda
5. Samora Machael
6. Nelson Mandela
7. Patrice Emery Lumumba
8. Marc Vivien Foe
9. Bob Marley
10. Patrick Mutesa Petit Tabu Mafisango
11. Luanzo Makiadi Franco
12. David Ben Gurion
13. Yitzhak Rabin
14. Benjamin Mkapa
15. Abedi Karume
16. John Pombe Joseph Magufuli
17. Tupac Shakur
18. King Majuto
19. Mchekeshaji Max
20. Mwai Kibaki
Sababu ya Kuwataja hawa Marehemu Ishirini (20) ni kwamba Kwanza walikuwa na Akili, Wapambanaji, Wachapa Kazi, wameleta Tija ya Kimaendeleo na Mafanikio katika Jamii zetu / zao huku wakiwa wamwacha Alama (Legacies) za Kutukuka duniani.
Hawa nikiambiwa kila Siku GENTAMYCINE niwalilie Kunakotukuka nipo tayari kufanya hivyo ila siyo Watu wengine wa hovyo hovyo (Wapuuzi) waliona kabisa Wanategwa kwenda Kufa na yenyewe ilivyo Mizuzu ikategeka na Kufa.
Yaani Ufe tu Kizembe kisha Nikulilie?
1. Mwalimu Julius Nyerere
2. Kwame Nkurumah
3. Kamuzu Banda
4. Kenneth Kaunda
5. Samora Machael
6. Nelson Mandela
7. Patrice Emery Lumumba
8. Marc Vivien Foe
9. Bob Marley
10. Patrick Mutesa Petit Tabu Mafisango
11. Luanzo Makiadi Franco
12. David Ben Gurion
13. Yitzhak Rabin
14. Benjamin Mkapa
15. Abedi Karume
16. John Pombe Joseph Magufuli
17. Tupac Shakur
18. King Majuto
19. Mchekeshaji Max
20. Mwai Kibaki
Sababu ya Kuwataja hawa Marehemu Ishirini (20) ni kwamba Kwanza walikuwa na Akili, Wapambanaji, Wachapa Kazi, wameleta Tija ya Kimaendeleo na Mafanikio katika Jamii zetu / zao huku wakiwa wamwacha Alama (Legacies) za Kutukuka duniani.
Hawa nikiambiwa kila Siku GENTAMYCINE niwalilie Kunakotukuka nipo tayari kufanya hivyo ila siyo Watu wengine wa hovyo hovyo (Wapuuzi) waliona kabisa Wanategwa kwenda Kufa na yenyewe ilivyo Mizuzu ikategeka na Kufa.
Yaani Ufe tu Kizembe kisha Nikulilie?