ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Dunia ina mengi 😅Kwa CDF Gen. Muhoozi zitafika kutokana na uwezekano mkubwa wa kukutana nae mara kwa mara kwa Jukumu ninalolifanya huku ila kwa Natasha nisikudanganye Ratiba zake na zangu za Kiutendaji kutukutanisha ni nadra kwa sasa labda tu ikitokea hafla Ikulu za Entebbe na Nakasero au Kijijini Kwao Rwakitura hapo naweza Kukutana nae.