Yaani uweke Kambi yako eneo ambalo analijua na kila Siku anakuumizia hapo hapo halafu leo ujitutumue Kumfunga na Kufuta Uteja? Wadanganyeni Wehu wenu

Yaani uweke Kambi yako eneo ambalo analijua na kila Siku anakuumizia hapo hapo halafu leo ujitutumue Kumfunga na Kufuta Uteja? Wadanganyeni Wehu wenu

Kwa CDF Gen. Muhoozi zitafika kutokana na uwezekano mkubwa wa kukutana nae mara kwa mara kwa Jukumu ninalolifanya huku ila kwa Natasha nisikudanganye Ratiba zake na zangu za Kiutendaji kutukutanisha ni nadra kwa sasa labda tu ikitokea hafla Ikulu za Entebbe na Nakasero au Kijijini Kwao Rwakitura hapo naweza Kukutana nae.
Dunia ina mengi 😅
 
Umekua muungwana kwa kiwango cha lami, Mungu akupe faraja baada ya mechi ya leo.
Najua kuwa wana Simba SC wengi hapa JamiiForums watanichukia kwa huu Uzi na ikitokea Simba SC ikabahatisha Kushinda leo najua watakuja kwa wingi hapa Kunizodoa ila niseme tu ukweli hata Simba SC ikitokea leo ikashinda itakuwa ni bahati ila Kiufundi na kama ukiwa ni Mtu wa Mpira utakubaliana nami kuwa Yanga SC wametuacha mbali mno Simba SC.

Ushindi pekee ambao labda leo naweza Kuuona kwa Simba SC leo ni Sare ya Magoli au Sare ya Suluhu (bila Magoli)
 
Jamaa yangu popoma nakukubali sana mwamba jtatu nitakuwa hapo uganda nitakuchek tupate mbil tatu
 
Jamaa yangu popoma nakukubali sana mwamba jtatu nitakuwa hapo uganda nitakuchek tupate mbil tatu
Karibu Uganda lakini kwa hiyo Siku Mkuu nasikitika hatutoweza Kuonana kwani nitakuwa Kikosini (Jeshini) ambako naiheshimisha Tanzania (japo Wapuuzi wengi hawajui), ila kama utakuwepo hadi Weekend ijayo basi tunaweza kukutana Golf Club Kololo mita chache kutoka Hoteli ya FAIRWAY ili tusabahiane.
 
Najua kuwa wana Simba SC wengi hapa JamiiForums watanichukia kwa huu Uzi na ikitokea Simba SC ikabahatisha Kushinda leo najua watakuja kwa wingi hapa Kunizodoa ila niseme tu ukweli hata Simba SC ikitokea leo ikashinda itakuwa ni bahati ila Kiufundi na kama ukiwa ni Mtu wa Mpira utakubaliana nami kuwa Yanga SC wametuacha mbali mno Simba SC.

Ushindi pekee ambao labda leo naweza Kuuona kwa Simba SC leo ni Sare ya Magoli au Sare ya Suluhu (bila Magoli)
Mbona huna misimamo,Ushasema simba leo anapigwa baki humo humo.

Sio mara ikitokea mara nini.
 
Najua kuwa wana Simba SC wengi hapa JamiiForums watanichukia kwa huu Uzi na ikitokea Simba SC ikabahatisha Kushinda leo najua watakuja kwa wingi hapa Kunizodoa ila niseme tu ukweli hata Simba SC ikitokea leo ikashinda itakuwa ni bahati ila Kiufundi na kama ukiwa ni Mtu wa Mpira utakubaliana nami kuwa Yanga SC wametuacha mbali mno Simba SC.

Ushindi pekee ambao labda leo naweza Kuuona kwa Simba SC leo ni Sare ya Magoli au Sare ya Suluhu (bila Magoli)
Labda sare ya magoli, kusema Yanga inaweza cheza dakika 90 bila kufunga goli sio rahisi.
 
Back
Top Bottom