Yaani Watanganyika tuwaombee viongozi wanaofisadi na kuuza bandari za Tanganyika! Haya ni majaribu

Yaani Watanganyika tuwaombee viongozi wanaofisadi na kuuza bandari za Tanganyika! Haya ni majaribu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Tuwaombee ili wazidi kuiba na kuuza rasilimali za Tanganyika?
20230813_131602.jpg
 
Huyo picha kwenye joh la mtumishi ni ya nani?
 
Maombi yasiyotanguliwa na TOBA hugeuka LAANA,

Betina aliwaambia wachawi wawaroge wanaopinga bandari kuuzwa, hajatubu, anaenda Kanisani pia aombewe,

Anatafuta kupata na jambo baya Kwa ghafula!!
 
Back
Top Bottom