Yaani Watanganyika tuwaombee viongozi wanaofisadi na kuuza bandari za Tanganyika! Haya ni majaribu

Huyo picha kwenye joh la mtumishi ni ya nani?
 
Maombi yasiyotanguliwa na TOBA hugeuka LAANA,

Betina aliwaambia wachawi wawaroge wanaopinga bandari kuuzwa, hajatubu, anaenda Kanisani pia aombewe,

Anatafuta kupata na jambo baya Kwa ghafula!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…