Yafichuka: Jinsi Tanzania ilivyotia saini mkataba kichaa na kampuni ya siri kuendesha uwanja mkuu wa watalii nchini (KIA)

Yafichuka: Jinsi Tanzania ilivyotia saini mkataba kichaa na kampuni ya siri kuendesha uwanja mkuu wa watalii nchini (KIA)

Hii nchi ina kundi kubwa la watu masikini ila sio nchi masikini. Ndani ya hii nchi kuna watu wana uhakika wa usafiri, matibabu, mavazi, malazi, chakula, uwekezaji, usafiri na mambo yote ambayo masikini hawezi kuwa nayo wala kuyaota. Kuna mtu akikohoa tu ni airport chap hadi paris kwa chekup.
Aisee..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Nchi hii kiboko aise,nmeivulia kofia

Ova
 
Ripoti ya CAG ishafunikwa, hii inchi daaaah....... ukiwaona wanavyoigiza mjengoni utazani wana uchungu na hili taifa.

Mwakani CAG anatoa ripoti nyingine inafunikwa yaaani............. daah.
 
Back
Top Bottom