Yafuatayo hunitokea mara baada ya kunywa pombe

Kuna vilema pale ilala wanasubiri mlewe muanguke mzime wawale matako [emoji1787][emoji1787]
 
Jaribu kunywa double kick vile vichupa vitatu
 
Ukishazinywa tafuta nyingine usikumbuke pesa uliyoitumia jana. Kinyume cha hapo acha kunywa.
 
Naona unaongea pumba umeshalewa
 
Kama pombe zimekushinda achana nazo. Binafsi nilikuwa nikinywa pombe nakosa usingizi kabisa. Hata nikinywa bia moja tu, usiku silali.
Nimeacha pombe kabisa.
 
Usikilize moyo wako,inaonekana kuna sauti inakwambia acha pombe ila wewe unajifanya kuipotezea,sasa ukiona hivyo maana yake kuna jambo baya mbele ya safari yako ya unywaji pombe...
 
Jambo la kushukuru umetambua tatizo mapema.

Hakuna madhara utakayopata kwa kuchukua uamuzi wa kuachana na Pombe.

Ni wakati sasa Acha pombe
Mwanangu shikiria Mungu huyo akunusuru nayo,mimi nimepambana nayo nimeshindwa mpk nakutaman bure kwa nini roho hiyo yako isije kwangu nikaachana na huyu shetwani,kila nikitaka kuacha naanza kupambana mwenyewe na kujijibu kma mwehu,mwisho wa maongezi yangu mwenyewe najijibu mwenyewe kuwa niendelee nitaacha kesho,mara kesho,keshokutwa........yaaaan
 
Chakukushauli acha sigara tu kunywa pombe
sigara sijawahi vuta,hicho kiberti hapo ni kwa ajili ya hiyo pombe (zappa) ukimimina kwenye glass kisha unawasha njiti unaweka juu inalipuka
 
Mkuu kama ukilewa hujiangushi vichakani,
basi bado huna sababu ya msingi ya kuacha pombe..

Pombe ni mbaya kama Una tabia ya kujiangusha .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…