GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Amina, Asante na Ashukuriwe Mwenyezi Mungu Mkuu wangu. Tuko pamoja.GENTAMYCINE, A man of men
Uishi Milele
10. Biashara ya Dawa za Kulevya na Bangi Kuongezeka kwa Kasi huku Wahusika wakiwa Huru kabisa.8. Jua kali
9. Uhaba wa mvua
11. Mikopo na tozo10. Biashara ya Dawa za Kulevya na Bangi Kuongezeka kwa Kasi huku Wahusika wakiwa Huru kabisa.
Imagination!!Sawa yote hayo yawe ni negative side, hujaona chochote positive hadi Sasa?
Acheni kutokuwa na shukrani walau kidogo.Imagination!!
Deni la taifa ndani ya miaka miwili limeongezeka kuliko miaka 6 iliopita1. Taabu / Shida Kuongezeka
2. Nidhamu ya Kiutendaji kushuka
3. Rushwa na Ushirikina Kushamiri
4. Upumbavu ( Upopoma ) wa Watu kuongezeka maradufu he
5. Unafiki kushamiri
6. Uhalifu kuota Mizizi
7. Kujipendekeza ( Uchawa ) na Ushoga Kuongezeka
Na wala huu Mchezo hauhitaji Hasira hata kidogo, tuvumiliane na imeisha hiyo.
Nisome unielewe. Ukiwa kwenyel mjadala fuatilia wengine wameandika nini na wewe pia umeandika nini!!Acheni kutokuwa na shukrani walau kidogo.
Ukitaka kufahamu kuwa tumepiga hatua muulizeni Mbowe na Lissu.
Hali ni tete kwa chawa uwanja umewaelemea😂😂😂Unaambiwa mpaka sasa Genta 3 - Chawa 0.
Chawa wanautafuta mpira kwa tochi.
Sio kitaa hata ccm wenyewe wanashangaa hiki nini kinaendelea ndani ya chama kuna usaliti mkubwa utatokea hapo 2025 muda tu utasemaIla wanaomtetea wana kazi!! Kitaa hakimuelewi kabisa.
Nimecheka mno Mkuu. Umewaza nini?11. Nyeto kwa sana maana kazi hakuna
GENTAMYCINE nikipiga Makombora yangu Matakatifu ukiwa huna Akili huwezi Kujibu / Kuyajibu sana sana itakulazimu Unyamaze na Uugulie tu Kimoyomoyo Kudadadeki.Unaambiwa mpaka sasa Genta 3 - Chawa 0.
Chawa wanautafuta mpira kwa tochi.
Hayo ya Positive yangekuwepo ningeyataja, ila mpaka sasa naona hakuna na Kupuyanga Kwingi kutoka kwa Mpuyangaji.Sawa yote hayo yawe ni negative side, hujaona chochote positive hadi Sasa?
Watanzania mnahitaji mtawaliwe na malaika? Magufuli sindio mlilia sana kuwa ni dikteta au mumeshasahau?