Yafuatayo ni majibu kwanini Simba SC inaenda Uturuki kwa Pre Season na haibaki Dar es Salaam kama Wengine?

Yafuatayo ni majibu kwanini Simba SC inaenda Uturuki kwa Pre Season na haibaki Dar es Salaam kama Wengine?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
 
Mwaka jana pia walienda sijui Uturuki au Misri lakini waliporudi wakalambwa. Timu kubwa huwa hawaweki kambi ya preseason nje ya nyumbani bali hutumia muda huo kufanya tour ya kucheza na timu mbalimbali za nchi tofauti: inaitwa Pre-season Tour.
 
Mbona hatujasikia mamelod akienda Italy?, Timu za wenzetu zunakwenda pre-season maeneo ambayo ni mkakati wa biashara na kampuni wadhamini zimawataka kwenda kwaajili ya biashara zaidi. Upuuzi na ulimbukeni tu kwa timu yenye umaskini na ukata wakishindwa hata kusajili mchezaji wa 600m unakwenda kuweka kambi Uturuki ili ikusaidie nini?.

Logic ndogo tu wangeenda hata south Afrika au Tunisia walikuwa na adavantge ya kuuza jezi lakini pia kujitangaza kibiashara kuliko Uturuki it's all about ufujaji wa pesa na upigaji uliogengenezwa. Kambi isiyozidi wiki 3 kitaalam ni upuuzi.
 
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
Haya yangsemwa na kina Manara na SAYVILLE nisingeshangaa, lakini you!!
 
Tatizo lilianzia hapa 👇👇

 
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
Nendeni pre season hata mbinguni ila mkirudi tabu ipo pale pale...MAANDAZI NYIE
 
Mbona hatujasikia mamelod akienda Italy?, Timu za wenzetu zunakwenda pre-season maeneo ambayo ni mkakati wa biashara na kampuni wadhamini zimawataka kwenda kwaajili ya biashara zaidi. Upuuzi na ulimbukeni tu kwa timu yenye umaskini na ukata wakishindwa hata kusajili mchezaji wa 600m unakwenda kuweka kambi Uturuki ili ikusaidie nini?. Logic ndogo tu wangeenda hata south Afrika au Tunisia walikuwa na adavantge ya kuuza jezi lakini pia kujitangaza kibiashara kuliko Uturuki it's all about ufujaji wa pesa na upigaji uliogengenezwa. Kambi isiyozidi wiki 3 kitaalam ni upuuzi.
Mazingira na mandhari ya South afrika utayafananisha na hapa bongo uko na akili kichwani au na vile tu wenye akili hapo utopoloni ni wawili tu
 
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
Muuza mihogo wa soko la kawe,uliyekatwa sikio na bwana cherehani kwenye ubora wako
 
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
[emoji1787]
 
Pale Yanga Pana Yannick Bangala, Khalid Aucho, Mudathir Yahya, Salum Aboubakar bila kumsahau Zawad Mauya.


Simba pale Kati kuna Nani?
 
Yanga walishatangaza wamefunga usajoli wao means wameshamakizana na kila mchezani waliomuhitaji, Fabrice alikuwa ktk mipango Yao lkn wakaachana nae hivyo Fab hakuwa kwenye mipango ya yanga, Mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe
 
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri

2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.

3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.

4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.

Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.

Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
Mliendaga sijui wapi mkarudi na hamkupata kombe lolote, hadi la ndondo. Wa AVIC TOWN wakatwaa makombe matatu na fainali ya CAF juu!!
 
Back
Top Bottom