GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri
2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.
3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.
4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.
Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.
Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.
3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.
4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.
Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.
Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.