Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Nahuu ndio ubingwa wetu hakika.Hongereni kwa kombe la pre season.[emoji90]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahuu ndio ubingwa wetu hakika.Hongereni kwa kombe la pre season.[emoji90]
We ndio tahira, wiki mbili onakusaidia nini huko uturuki? Au wameenda kufanyiwa utanuzi ww makalio?Mazingira na mandhari ya South afrika utayafananisha na hapa bongo uko na akili kichwani au na vile tu wenye akili hapo utopoloni ni wawili tu
Sababu zote zilizotolewa na msemaji wa simba ni za kipuuzi na kitoto na kuwaona mashabiki , wapenzi na wanachama kama watu wanaohitaji kucheka ili kuondoa stresses za kufeli katika soka.1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri
2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine.
3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa.
4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo Wavuvi wa Kigamboni.
Halafu Waturuki wamefurahi kusikia Simba SC inaenda na kusema hakika tumeliheshimisha Taifa lao.
Poleni kwa Umafia mkubwa mliofanyiwa leo Uwanja wa Ndege wa JNIA na hapo bado mtatukoma.
kumbe wewe ukienda uturuki unaenda kutanuliwa matako na huko malawi mmefuata nini kama sio uchawi?We ndio tahira, wiki mbili onakusaidia nini huko uturuki? Au wameenda kufanyiwa utanuzi ww makalio?