Yafuatayo yafanyike Simba SC kuelekea 'Derby' yetu na Wao Jumapili tarehe 16 April, 2023

Huu ni upumbavuuuuuu...

Uwekezaji ni muhimu zaidi na ndio wa kupewa kipao mbele.
Aliyekuambia kuwa Uchawi hauko hata huko Ulaya mnakokushobokea nani?

Hivi mnajua kuwa Wabrazili ( Brazil ) na Waajentina ( Argentina ) licha ya kuwa na Vipaji vikubwa vya Kucheza Soka ila Timu zao za Taifa huwa Wanaroga mno huku Wakiamini mambo fulani kama ya kuwapa Nyota na Bahati?

Fuatilia Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Argentina katika Mechi yao ya Fainali dhidi ya Ufaransa walivalia nini katika Miguu yao ya Kushoto tu.

Huna Akili.
 
Brazil na Argentina ni South America, SAUT hawajakosea kuwavuwa degree zao.
 
Brazil na Argentina ni South America, SAUT hawajakosea kuwavuwa degree zao.
Nikiwa nakuita Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums usiwe unakataa sawa?

Ni wapi nimesema Argentina na Brazil ni Ulaya? Soma vyema Maelezo yangu nimeanza Kwanza kutaja Ulaya kisha nikazizungumzia Brazil na Argentina nikilenga kuwa ni Mataifa mfano kwa Vipaji duniani.

Acha kuwa na Kiherehere kama Mtoto wa Kike. Na hapo SAUT sijaishia tu kupata Degree na Masters yao bali na sasa naianza Doctorate yao hapo hapo.

Pumbavu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Kazi imeanza mimi simo
Sasa kama haumo Unawashwawashwa na nini hasa ukiwa ni Mtoto wa Kiume?

au nawe pia ni mwana Upinde kwa hapa Tanzania na JamiiForums ili tujue na tukutafutie Wateja?
 
acha ujinga farid mussa ni msika dini hashiki huo upuuzi
 
acha ujinga farid mussa ni msika dini hashiki huo upuuzi
Pumbavu nina PhD ya Soka la Tanzania na 95% ya Wachezaji Waandamizi wa Simba SC na Yanga SC ni Wana ( Rafiki ) zangu Wakubwa na hunipa Taarifa za Ndani kabisa na Ngumu bila ya hata Wao kujua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Kaka GENTAMYCINE tunawategemea sana kuwakumbusha viongozi wawe makini na baadhi ya mamluki na wahujumu timu kila tunapoelekea hii mechi muhimu haswa hao wachezaji uliowataja hapo na haswa huyo mkongo ni wazi alituumiza sana kwenye game ya Ngao ya Hisani
Haiwezekani kushindwa kuifunga timu isiyo na ubora wowote wa kutisha zaidi ya kutegemea uchawi na kuzunguka mlango wa nyuma
 
SIMBA GUVU MOYA 🦁🦁
 
Wajinga mpo wengi sana, yani wewe unaamini huyu Jobless wa JF ana influence yoyote Simba? Kadi tu hana.

Vitu vingine vinachekesha sana.
 
Popoma katika ubora wako. Fanyeni yote na hata kuchoma matunguri uwanjani, kama kule South, kama ni kufa mtakufa tu, kipigo kiko pale pale.
 
Hawatubabaishi.
Tunae Kibu na Boko
 
Kama mnaamini uchawi unacheza Mimi nitawachangia pesa pia pia tuone uchawi unavyoifunga Widas Casablanca.

Ni ujinga wa hali ya juu karne ya 21 kuwaza ushirikina, mbona Sumbawanga hawana timu? Handeni hakuna timu? Ngende hakuna timu?
Na Bagamoyo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…