Yafuatayo yafanyike Simba SC kuelekea 'Derby' yetu na Wao Jumapili tarehe 16 April, 2023

Yafuatayo yafanyike Simba SC kuelekea 'Derby' yetu na Wao Jumapili tarehe 16 April, 2023

Wajinga mpo wengi sana, yani wewe unaamini huyu Jobless wa JF ana influence yoyote Simba? Kadi tu hana.

Vitu vingine vinachekesha sana.
Hongera kwa kuwa Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums. Naaminika kwakuwa najua mengi na nitaendelea kuwa juu hapa JamiiForums hadi mpasuke Misamba yenu kwa Kupasuka.
 
1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.

2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.

3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.

4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.

5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.

6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.

7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.

Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
Naona mnataka kufuta uteja,ila ndio mshakuwa kama mwembe wa uwani ni mwendo wa kujichumia
 
Tuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Wewe Simba huijui, Simba tuna deal na watu watatu tu,Chama,Shabalala na Kapombe na kama hujui hii style hata Azam anaitumia ndio maana msimu huu kakugonga.

90% ya chance zenu za magoli msimu huu zimeanzia kwa hao watatu.
 
Tuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Akil za mwafrica

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Yanga jana wamecheza mechi ya Simba vs. Ihefu maana walikuwa wanataka sana mechi ya derby iamue bingwa. Sipendi kutuhumu watu bila ushahidi ila kuna wachezaji wawili wa Simba waliocheza jana wamenitia mashaka kidogo.
 
Huyo kinyesi fc anakufa tu atake astake,kichapobkilo pale pale
 
1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.

2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.

3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.

4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.

5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.

6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.

7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.

Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
Ya saba umeleta ujinga wa udini as if Simba haina wakristo kolo wewe bin Ngada Fc wa uchawini FC kwa paka FC
 
Wajinga mpo wengi sana, yani wewe unaamini huyu Jobless wa JF ana influence yoyote Simba? Kadi tu hana.

Vitu vingine vinachekesha sana.
Mkuu kwani tatzo lipo wapi kumwambia mwanasimba mwenzetu awafikishie viongozi mawazo yetu na tunajua anayo nafasi ya kuwafikia maana viongozi nao ni watu tu na tupo nao kwenye jamii na kikubwa mkuu GENTAMYCINE anakutana na wachezaji wengi wa hizi timu kubwa haswa kwenye vijiwe vyao hivyo anachosema anakielewa
 
Mkuu kwani tatzo lipo wapi kumwambia mwanasimba mwenzetu awafikishie viongozi mawazo yetu na tunajua anayo nafasi ya kuwafikia maana viongozi nao ni watu tu na tupo nao kwenye jamii na kikubwa mkuu GENTAMYCINE anakutana na wachezaji wengi wa hizi timu kubwa haswa kwenye vijiwe vyao hivyo anachosema anakielewa
Achana na hilo Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums Dr Matola PhD

Kuna Watu wananichukulia Powa JF.
 
Mkuu Sina uhakika kama mtashinda ila Game ngumu sana kwa yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anayeongoza Ligi awe na game ngumu ila yule wa nafasi ya Pili kwake game iwe nyepesi au sio?
 
Tuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Weka link ya group tuingie mkuu
 
Kaka GENTAMYCINE tunawategemea sana kuwakumbusha viongozi wawe makini na baadhi ya mamluki na wahujumu timu kila tunapoelekea hii mechi muhimu haswa hao wachezaji uliowataja hapo na haswa huyo mkongo ni wazi alituumiza sana kwenye game ya Ngao ya Hisani
Haiwezekani kushindwa kuifunga timu isiyo na ubora wowote wa kutisha zaidi ya kutegemea uchawi na kuzunguka mlango wa nyuma
Mdomo jmn, Mdomo jmn, Yanga hawana kelele hata kidogo wao wanasubiri kipute tu. Hivi kwa hakika ukiingalia Yanga na ukilinganisha na Simba utasema Simba ni Bora kuliko Yanga?

Punguzeni midomo ndio maana mnakula kichapo.
 
1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.

2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.

3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.

4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.

5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.

6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.

7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.

Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
hahahahaha popoma umeanza kujambajamba hapa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anayeongoza Ligi awe na game ngumu ila yule wa nafasi ya Pili kwake game iwe nyepesi au sio?
Mkuu,Dabi huwa haiangalii nani anaongoza ligi
 
1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.

2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.

3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.

4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.

5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.

6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.

7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.

Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
dahhh!!!Madunduka bwana,ila sisi Yanga tushatoka huko...badilikeni watani mtabaki hapo mpaka lini?
 
Back
Top Bottom