GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Hongera kwa kuwa Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums. Naaminika kwakuwa najua mengi na nitaendelea kuwa juu hapa JamiiForums hadi mpasuke Misamba yenu kwa Kupasuka.Wajinga mpo wengi sana, yani wewe unaamini huyu Jobless wa JF ana influence yoyote Simba? Kadi tu hana.
Vitu vingine vinachekesha sana.
Naona mnataka kufuta uteja,ila ndio mshakuwa kama mwembe wa uwani ni mwendo wa kujichumia1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.
2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.
3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.
4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.
5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.
6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.
7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.
Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
Wewe Simba huijui, Simba tuna deal na watu watatu tu,Chama,Shabalala na Kapombe na kama hujui hii style hata Azam anaitumia ndio maana msimu huu kakugonga.Tuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Akil za mwafricaTuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Ya saba umeleta ujinga wa udini as if Simba haina wakristo kolo wewe bin Ngada Fc wa uchawini FC kwa paka FC1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.
2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.
3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.
4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.
5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.
6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.
7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.
Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
Mkuu kwani tatzo lipo wapi kumwambia mwanasimba mwenzetu awafikishie viongozi mawazo yetu na tunajua anayo nafasi ya kuwafikia maana viongozi nao ni watu tu na tupo nao kwenye jamii na kikubwa mkuu GENTAMYCINE anakutana na wachezaji wengi wa hizi timu kubwa haswa kwenye vijiwe vyao hivyo anachosema anakielewaWajinga mpo wengi sana, yani wewe unaamini huyu Jobless wa JF ana influence yoyote Simba? Kadi tu hana.
Vitu vingine vinachekesha sana.
Sawa boss.Kuna Watu ( Wasaliti ) mliokuwa mkiwatumia ila tumeshawajua na nakuhakikishia Yanga SC itafungwa na Simba SC hiyo tarehe 16 April, 3023. Nakuomba tunza hii Post yangu na huu Uzi wangu pamoja na Wengineo.
Achana na hilo Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums Dr Matola PhDMkuu kwani tatzo lipo wapi kumwambia mwanasimba mwenzetu awafikishie viongozi mawazo yetu na tunajua anayo nafasi ya kuwafikia maana viongozi nao ni watu tu na tupo nao kwenye jamii na kikubwa mkuu GENTAMYCINE anakutana na wachezaji wengi wa hizi timu kubwa haswa kwenye vijiwe vyao hivyo anachosema anakielewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anayeongoza Ligi awe na game ngumu ila yule wa nafasi ya Pili kwake game iwe nyepesi au sio?Mkuu Sina uhakika kama mtashinda ila Game ngumu sana kwa yanga
Weka link ya group tuingie mkuuTuliopo magroup ya yanga kule wanachangishana pesa kila derby kuloga baadhi ya wachezaji wetu muhimu, na mchezo wao unaendelea nnavyokwambia kwa sasa wanashugulila na beleke, chama, kanoute na manula, na simba wanalijua hili ila mpo kimya mnafungwa kindezi ndezi kila mwaka, akiroga rogaaa
Mdomo jmn, Mdomo jmn, Yanga hawana kelele hata kidogo wao wanasubiri kipute tu. Hivi kwa hakika ukiingalia Yanga na ukilinganisha na Simba utasema Simba ni Bora kuliko Yanga?Kaka GENTAMYCINE tunawategemea sana kuwakumbusha viongozi wawe makini na baadhi ya mamluki na wahujumu timu kila tunapoelekea hii mechi muhimu haswa hao wachezaji uliowataja hapo na haswa huyo mkongo ni wazi alituumiza sana kwenye game ya Ngao ya Hisani
Haiwezekani kushindwa kuifunga timu isiyo na ubora wowote wa kutisha zaidi ya kutegemea uchawi na kuzunguka mlango wa nyuma
PovuuuuuuuuuuuKama Mamaako vile.
hahahahaha popoma umeanza kujambajamba hapa!!1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.
2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.
3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.
4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.
5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.
6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.
7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.
Kila la Kheri sana Simba Sports Club.
Mkuu,Dabi huwa haiangalii nani anaongoza ligi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anayeongoza Ligi awe na game ngumu ila yule wa nafasi ya Pili kwake game iwe nyepesi au sio?
dahhh!!!Madunduka bwana,ila sisi Yanga tushatoka huko...badilikeni watani mtabaki hapo mpaka lini?1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.
2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.
3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.
4. Aliyekuwa Kocha wetu Msaidizi Seleman Matola, Wachezaji Aishi Manula, Jonas Mkude, Henock Inonga pamoja na Meneja Rweymamu bila kumsahau na Mkuu wa Itifaki, mzee wa suti 24/7 Makoye watizamwe kwa jicho la umakini/kiungalifu mno.
5. Watumike hasa wataalam (mafundi) wa Zanzibar na yule mtu wetu muhimu mwenye mamlaka makubwa ya kiimani na kimaamuzi katika dini/imani fulani nchini (ambaye pia ni mwana Simba SC lia lia na ndiyo alitusaidia kumfunga Horoya FC zile Goli 7) waicheze hii mechi na tusimtumie yule mtu wetu wa Morogoro na Rukwa kwani ni wepesi kushawishika kama matapeli na wafujaji wa pesa za Tanzania Kampuni ya MSG wakiwafuata kuwapa pesa ili watoe siri za Simba SC.
6. Kikosi cha Simba SC kitakachoanza (First Eleven) kisitajwe (kisiwekwe) mtandaoni haraka isipokuwa dakika 15 kabla ya mechi kuanza.
7. Mzigo wa Timu (watu wa mpira na fitna mtakuwa mmeshanielewa) asipewe Mchezaji wa Kigeni na Mkristo bali apewe yule yule Mzawa na Muislamu, ila ajitahidi mno Siku ya Mechi amkwepe sana Bakari Mwanyeto au Farid Musa au Mudathir Yahaya ambao ndiyo huwa Wabeba Mikoba Wao Wakuu.
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE leo tarehe 11 April, 2023 hapa hapa JamiiForums nasema kuwa kwa 100% Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC tarehe 16 April, 2023 na naziona Goli 3 au 4 kama Wakijaa katika Mfumo wetu japo najua Goli 2 kwa 0 ziko na Wakibahatika basi na Wao wataambulia Goli 1 tu ila all in all Safari hii Yanga SC inaenda Kufungwa na Simba SC na naomba huu Uzi wangu Utunzwe na tukutane hapa Jumapili Usiku baada ya Mechi au Jumatatu ijayo.
Kila la Kheri sana Simba Sports Club.