Yafuatayo yafanyike Simba SC kuelekea 'Derby' yetu na Wao Jumapili tarehe 16 April, 2023

Mawazo ya ushirikina hayana nafasi kwenye soka la kisasa! makala kama hizi ziletazo shinikizo kwa wachezaji na makocha zisipewe kabisa nafasi!! pili usiingizwe udini kwenye mpira.
 
Alikutana nao wapi.
 
Sasa huo ni Mpira au mashimdano ya uchawi ulozi uganga au ushirikina?? Yaan ni njunju na ndumba hamna mpira
 
Acheni ball litembee
tumjue m’babe haya mambo ulozi achanen nayo
 
Maujinga yako tupa kureeee!
 
Umeanza kujambajamba mapema, badala ya kuandaa timu kiasayansi unawaza uchawi karne hii?

Kwa akili hizi Wydad Casablanca anakwenda kuwadhalisha hata goli 19 on aggregate.
Ukute huyo n mshabiki wa yanga hana lolote analeta uchafu tu
 
Kuna Watu ( Wasaliti ) mliokuwa mkiwatumia ila tumeshawajua na nakuhakikishia Yanga SC itafungwa na Simba SC hiyo tarehe 16 April, 3023. Nakuomba tunza hii Post yangu na huu Uzi wangu pamoja na Wengineo.
Hivi kuna DERB ushawahi kutabiri SIMBA anafungwa kweli?Mara zote unatabiri ushindi na tunakushona dadekiii
 
Makolo yanaruka na kukanyaga yanaruka kinyama×2
 
It's sad Genta huwezi kuaccess Uzi wako saiv [emoji28], ila Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…