Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamempa kwa heri leo....
Wanaweza kubaki mkuu usiogopeDaaaah we jamaa baada ya kusoma ulichokiandika halafu kila kitu kinatokea
Nimenyong'onyea sana kwenye mstari wa mwisho kwamba kati ya Inonga, Zimbwe au Baleke mmoja wao ataondoka, daaaaah!!!!
Bocco huyo muache kabisa. Onyango 70 kubaki 30 kuondokaWamempa kwa heri leo....
Bado tunaaubiri kuona kama Mzee Bocco na Mzee Onyango watabaki ama la
Mo anaongezea kiasi kidogo tu cha pesa ambacho ni jukumu lake si hisani. Kwa asilimia kubwa timu inajiendeshaMO hana pesa, atatuletea wachezaji wa milioni 2!
Sisi manachama, wapenzi na mashabiki tunatakiwa tuchange pesa timu iweze kufanya usajili mzuri.
Barua za kuachwa walishapewa zaidi ya wiki mbili zimepitaNyoni kaambiwa thank you jana na Simba, leo kaambiwa welcome na Namungo.
Aya yako ya mwisho katika bandiko halisi ibadilishe tafadhali maana huu sio utabiri ni uchawi asije akaondoka balekeHatimaye Sawadogo naye kaagwa rasmi kama nilivyosema licha ya propagandist kuzusha uongo
Hakuna uchawi hapo na mengine hayatatokea kutokana na mabadiriko yaliyofikiwa pamoja na vita ya SudanAya yako ya mwisho katika bandiko halisi ibadilishe tafadhali maana huu sio utabiri ni uchawi asije akaondoka baleke
Mo ana hela tena hela kweli. Muda mwingine anaamuaga kuacha tu mumuimbe kwanzaMO hana pesa, atatuletea wachezaji wa milioni 2!
Sisi manachama, wapenzi na mashabiki tunatakiwa tuchange pesa timu iweze kufanya usajili mzuri.
Huyu inaonekana ni Mo mwenyeweIlibaki kidogo sana ningesema UNABII UMETIMIA, UNABII WA BIBLE HUWA UNATIMI ASILIMIA 100%
UMEJITAHIDI sana Hadi sasa upo asilimia 60 ya utabiri wako.
Nadhani Hadi msimu UNAANZA unaweza kufika 90-95%
Kwamba niko Dubai😀Huyu inaonekana ni Mo mwenyewe
Wewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.
Yaani huna tofauti na Baba wa Taifa enzi hizo!! Alikuwa anamiliki luninga pale magogoni! Halafu anakuja kulihutubia Taifa kuhusu matukio yatakayo tokea duniani. Kumbe alishayaona tayari.
Wengine watatolewa kwa mkopo. Hao hawapewagi thank youUkimsikiliza Ahmed baada ya kwaheri ya Sawadogo ni kama zoezi limeisha...Kapama na Kyombo wamebaki