Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Golikipa mbrazil Jefferson ni mnyama
SOonThank you ya Sakho na Banda lini?
Usajili ndio umeishia hapo, bila shaka.Niko hapa kuthibitisha kuwa Pape Sakho hatakuwa mchezaji wa Simba baada ya kuuzwa. Pia mchezaji Peter Banda katolewa kwa mkopo hivyo hatakuwa kikosi cha Simba.
Niko hapa kuthibitisha kuwa Pape Sakho hatakuwa mchezaji wa Simba baada ya kuuzwa. Pia mchezaji Peter Banda katolewa kwa mkopo hivyo hatakuwa kikosi cha Simba.
Lolote linawezekana hasa kwenye benchi la ufundiUsajili ndio umeishia hapo, bila sh
Unauona muziki wa Simba kwa hofu kubwa. Mtu atapigwa 7 nakwambia, na ninaposema mtu, namaanisha utopolo, maana hawa wengine wameshapigwapigwaKama mtaendelea kusajili wachezaji wa$ 20,000 kutokea nje ya mipaka, mtaendelea kulia na kusaga meno.
Mimi pia sioni umuhimu wa kuendelea kumkumbatia Saido kwenye kikosi cha Simba Sc, ni player ambaye huwa hana direct impact kwe nye mechi.Kaenda wapi kwa Mkopo.
Ili simba iwe sawa, Saido Auzwe Haraka Sanaa
Niwekee mchezaji ligi hii toka timu yoyote anayemzidi takwimu Saidi Ntibhanzonkiza.Mimi pia sioni umuhimu wa kuendelea kumkumbatia Saido kwenye kikosi cha Simba Sc, ni player ambaye huwa hana direct impact kwe nye mechi.
Utamnunua?Kaenda wapi kwa Mkopo.
Ili simba iwe sawa, Saido Auzwe Haraka Sanaa
Niwekee mchezaji ligi hii toka timu yoyote anayemzidi takwimu Saidi Ntibhanzonkiza.
Uko vizuri mkuuBila shaka mkeka umekwenda vizuri. Jina lililobaki ni Peter Banda na ambalo lina neno pengine. Hiyo pengine haikuwekwa kwa bahati mbaya. Uwezekano wa Luis kuja Simba ulikuwa wa asilimia ndogo na gafla fursa ikaja. Hivyo basi, Banda naye ataondoka kwa mkopo au kuuzwa mazima
AsanzeUko vizuri mkuu
Nasikia Yanick anahitajika hapo Lunyasi?.Bila shaka mkeka umekwenda vizuri. Jina lililobaki ni Peter Banda na ambalo lina neno pengine. Hiyo pengine haikuwekwa kwa bahati mbaya. Uwezekano wa Luis kuja Simba ulikuwa wa asilimia ndogo na gafla fursa ikaja. Hivyo basi, Banda naye ataondoka kwa mkopo au kuuzwa mazima
saido kwenye ligi yetu atakuwa mfungaji Bora tena , huko kwenye CL Hana energy na hakuna space ila nyumbani ma space kama yote ataendelea kuwa funga sana tuPamoja na Records Nzuri Msimu uliopita, msimu unaokuja anaweza asitupatie kile alichotupatia.
Bangala haitajiki SimbaNasikia Yanick anahitajika hapo Lunyasi?.
Endapo deal hilo litafanikiwa, nani mwingine nje ya Banda atahamia kwingine?