Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Hivi leo Jumamosi au Ijumaa? Nyerere Day imefuta kabisa ROM ya ubongo wangu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mwenyekiti amtayarishie kadi yake...
Vp pale JJ! Kamati mnasemaje?Naombeni niwaulize
Hawa wakoloni wenu mmewapa nini? Mbona wanawaacha huru namna hii? Mbona mi natumikishwa namna hii?
Teamo, Kimey, the Finest, Acid na Roya Roy.....Hebu nipeni lokesheni, nataka kumtoka huyu malabuku mkoloni wangu!
Angalizo: Eneo lisiwe mbali na MDUDU na VYUMBA VYA KULALA WAGENI!
Hahaha tutoonge kwa herufi kubwa baadae!Hahahaha alafu mpwa unafaini
Nimesha anza kumpa ushauri ajiunge na chama....
Vp pale JJ! Kamati mnasemaje?
HEHEHE!Naombeni niwaulize
Hawa wakoloni wenu mmewapa nini? Mbona wanawaacha huru namna hii? Mbona mi natumikishwa namna hii?
Teamo, Kimey, the Finest, Acid na Roya Roy.....Hebu nipeni lokesheni, nataka kumtoka huyu malabuku mkoloni wangu!
Angalizo: Eneo lisiwe mbali na MDUDU na VYUMBA VYA KULALA WAGENI!
HEHEHE!
sisi ni wakoloni wa ajira zetu:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Na mimi nina propose hapo hapo JJ sijui kama inasemaje?
hahahaaa! hata kujimiminia Ndovu wakati wa adhuhuri~!:dance::dance::dance::dance::dance:Ukiwa mkoloni mwenyewe ofisini una uwezo wa kuchakachua chochote kile
hehehehe!
muzee jana si uliniona muzee?
nilikuwa ''ki-familia zaidi''-hahahaha
leo sasa nipo ki-chama zaidi
hahahaaa! hata kujimiminia Ndovu wakati wa adhuhuri~!
hehehehe!
muzee jana si uliniona muzee?
nilikuwa ''ki-familia zaidi''-hahahaha
leo sasa nipo ki-chama zaidi
hahahahaha!najua TUTAFIIKAAA TUTAA FIIIKA MAZIMAAAAAAAA!usisahau bandiko la mnyika:biggrin1::biggrin1:
mshikaji wetu yule bwana