Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

Mkewe atamuwekea dhamana na kesho tu mwamba Yuko mtaani, baada ya wiki kelele zikipungua kesi inafutwa Kama ya Gekul.
Wakubwa hawaangushani, tusiopendana ni sisi huku uswazi.
Pale mahakama ya kisutu ushawahi kusikia mtuhumiwa Ni MTU wa masaki, unadhani watu wa masaki hawafanyi makosa ya jinai?
 
Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.
Kumbe alimfira kwenye LC? Ila awataje wengine waliomfira kabla ya RC bila hivyo atakua ana Jambo lake nakumbuka yule Mama walisema kamwingizia dogo Chupa mkunduni sijui Ile kesi iliishaje, siasa noma
 
Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa leo jijini Mwanza saa 6.00 mchana.

Kwa mjibu wa Kamanda Mutafungwa amesema tayari jeshi hilo limeanza kufanya mahojiano sanjari na kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana ana tuhuma hizo na baada ya kukamilisha uchunguzi utafikishwa kwenye ofisi za mashtaka.

Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.

Pia soma:
Hakuna kesi hapo. DPP atasema hana nia ya kuendelea na kesi. Kumbuka yule mama wa Babati aliyewatomba wale vijana na chupa za mkunduni.
 
Back
Top Bottom