Ah aisee tutasikia mengi na hivi uchaguzi unakuja...shetani aatawaambia waganga wote kuwa wakija kwenu sharti moja liwe kufumua marinda mtu🤣🤣🤣🤣Bora fedheha ya punyeto kuliko fedheha za namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah aisee tutasikia mengi na hivi uchaguzi unakuja...shetani aatawaambia waganga wote kuwa wakija kwenu sharti moja liwe kufumua marinda mtu🤣🤣🤣🤣Bora fedheha ya punyeto kuliko fedheha za namna hii
Sijui kwanini watanzania hamuelewi...hata mkeo wa nyumbani ukimwingilia kinyume akikushtaki ni kosa, ni kinyume na SHERIA za nchi...huyu dada halalamiki kuliwa mbele analalamika kuliwa nyumakwanza inakuwaje mpaka anaingizwa ndani anafanyiwa hayo mambo then baadae ndiyo anakuja kushitaki
alifosiwa kufanya mapenzi au ndiyo namna nyengine ya kuchafua watu?
Mganga katoa sharti jepesi ila wanapoelekezwa ndiko kivumbiAh aisee tutasikia mengi na hivi uchaguzi unakuja...shetani aatawaambia waganga wote kuwa wakija kwenu sharti moja liwe kufumua marinda mtu🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁 Huyu mfiraji sugu ameshindikanaBICHWA KOMWE - huu muda wa wa kwenda kumtetea mshikaji wako
Bush lawyer katika ubora wako,hukusikia polisi waliposema wamechukua nguo za binti alizovaa siku ya tukio ili kwenda kupima DNA?Hii ni Kesi nyepesi sana, Mtuhumiwa atashinda ingawa imemsababishia aibu na fedheha kwa Jamii na pia kumfukuzisha Ukuu wa Mkoa.
Atashinda kwa sababu haina ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mtuhumiwa alitenda hilo kosa, inawezekana vipimo vilionesha kuwa Mlalamikaji kaingiliwa kinyume na maumbile lakini ni ushahidi upi utathibitisha kuwa aliyetenda kosa hilo ni Mtuhumiwa?
Lakini pia naona Mlalamikaji hawezi kutoa ushirikiano kutokana na aibu lakini pia shinikizo kutoka Watu wengine ambao wapo upande wa Mtuhumiwa.
Na kama umezoea kupigia mkono wa kulia siku ukipigia kushoto unaona kama umepata mchepuko vile.Mwaka wa 10 huu na sijawahi kuwa mnyonge kwa demu wangu
Kwamba Dr. Nawaanda kaingiza kitu chenye ncha butu kwenye sehemu ya kunyea ya Jamhuri????Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!
Roho ya 🌈 imewatawala sanaWatumishi wa mama wahuni tupu.birds with the same feathers fly together.chairma is the same.
shape hiyo si haba , wanawake wenye vidole kama hivyo huwa wana kei zina kina alafu tamu kweli, sasa sijui nini kilimtuma RC kupakua tope...Sio mbaya n mzuri.
Naitunza hii post kwa rejeaTushazoea hizo sarakasi za Lumumba.
Gekul yuko mtaani.
Sabaya yuko mtaani.
Makonda yuko mtaani
Kenan Kihongosi yuko mtaani.
Majizi, wauwaji, vibaka ni sehemu ya CCM huo ni upepo tu utavuma na mwisho wa siku utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi maana hakuna ushahidi wa kutosha kumtia mshtakiwa hatiani.
kitu yake kinatikisika ileile..kama anapenda mambo hayo bora angemtafuna Bashite Mzee mwenzake.
..maana Bashite ameweka mpaka bbl ili awe na makalio kama ya kina dada.
Demu mwenyewe dizaini changu haonyeshi kujali ndiyo mikato yake huyo kuna biashara imefanyika kummaliza huyo mukakaHapo binti ndio kachafuka, akipita mbele za watu wanajua ashafumuliwa marinda.
Noma sana, kwa hiyo Allah anakuwa amekaa na makabrasha yake!![]()
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kufanya liwati duniania na Aakhirah?
Jibu: Hukumu yake duniani, ikithibiti kuwa amefanya hivo ima kwa kukubali mwenyewe au ubainifu, ni kuwa anauawa[1]. Hii ndio hukumu yake duniani kwa njia ya hadd. Kwa njia ya Dini ni kwamba anakuwa fasiki na ushuhuda wake haukubaliwi. Anakuwa fasiki miongoni mwa mafusaki na mfanya dhambi kubwa miongoni mwa madhambi yenye fedheha kubwa baada ya shirki. Ushuhuda wake haukubaliwi mpaka atubu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Ama kuhusu Aakhirah, jambo lake liko kwa Allaah. Aakhirah ni katika watu wenye dhambi kubwa ilio chini ya shirki. Isipokuwa ikiwa kama anahalalisha liwati, katika hali hii anakuwa kafiri hata kama yeye mwenyewe hakufanya liwati. Akisema kuwa liwati ni halali, huyu ni kafiri mwenye kuritadi katika Dini ya Uislamu. Aambiwe kutubu la sivyo auawe kwa njia ya kuritadi.
UKIRISTO UNASEMAJE?
Mbwa kama huyu anatakiwa pamoja na adhabu nyingine ahasiwe pia.
Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!
Hahaaaaaaaaa we jamaaa eti Jamu imefanywaje?Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!