Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

Kwa HIO wengine wanaomfira kibabe amewahi kuwapeleka Polisi? Unajua ni wangapi wanamfira kibabe huyo Manzi na hajawapeleka popote?
Ndio utetezi utakaomtetea mteja wako mahakamani? Kwamba kwanini ashtakiwe huyu wakati wezi wapo wengi? Poor arguments!
 
RC amepita na tope mara moja tuu tayari ana kesi ya kujibu, ila mhuni amejipigia mpaka amechoka ila anadunda tuu mtaani πŸ˜‚
Inauma sana HIO ndio Ile kila siku unaiba alafu unasema leo acha niibe mara ya Mwisho alafu nastaafu Wizi kumbe ndio unaenda kudakwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…