Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

Hali ya uchumi na mfumuko wa Bei vilianza kabla ya hii vita, hii vita no chaka la kujifichia.

Hali ni mbaya sana serikalini, ni muda tu mtapata majibu.

Kuna vuta nikuvute nguo ichanike.

Mama na jopo lake nchi imewashinda mapema mno.
Nikweli kabisa unacho kisema , Sukari ilipanda Bei wakati wa huyo mpenda sifa.
Na tuliambiwa ni kulinda viwanda vyandani. Hata rshwa ilipanda dau enzi zake na kale kamsemo Pendwa "unata nitumbuliwe kwa Hela ya nyanya"?
 
Hao walikuja lini kwenye taifa tajiri?

Je ?hao si kizazi beberu ?
Danida walikuwepo kabla wewe hujazaliwa, kwamba limekuwa tajiri au bado masikini unajua wewe..
 
Kama marehemu unayemsema Ni Yule marehemu yule Yule aliyevunja nyumba za wajane bila fidia, dua yako haiendi popote.
Huwezi kuwaonea wajane na yatima utegemee baraka.
 
Harafu unakuta Sukuma gang wakiongea upumbavu wao huku mara ooh Tanzania kuna mfumuko wa bei mara ooh Sijui Mwigulu kafanyeje and such nonsense..

Naomba tulinganidhe wapi kuna mfumuko wa bei 👇
Sipendi Kila ukiulizwa Hali za Watanzania kuwa mbaya Abt mfumuko wa Bei unatulinganisha na majirani!!!

Nchi hii ni TAJIRI kuliko Nchi yoyote Afrika. Tatizo letu Si vita ya Ukraine, ni VIONGOZI wabovu na RUSHWA.

Watanzania tukibadili chama Cha CCM baada ya kupata KATIBA mpya Tutaona Nchi ya Ahadi itiririkayo MAZIWA na ASALI wote kbs.

Ameeeeeeeen.
 
Unawashwa kizibo,kazibuliwe ulale ndio maana unaongea upumbavu..

Tajiri kumzidi nani hasa? Tanzania ina nini cha kuizidi Angola au South Sudan kwa mfano.
 
Unawashwa kizibo,kazibuliwe ulale ndio maana unaongea upumbavu..

Tajiri kumzidi nani hasa? Tanzania ina nini cha kuizidi Angola au South Sudan kwa mfano.
Matusi ni dalili ya kuzidiwa hoja.

Narudia KOMA kuwajaza ujinga ndugu zangu, Watanzania wenzangu kwamba wao ni maskini, waizoee na kuivumilia Hali hiyo, wauvumilie utawala uliopo. Behind that mnawatwisha ZIGO la mikodi na TOZO ambazo ninyi hamlipi.

Ndugu zangu TUIKATAE CCM na Serikali yake kwakuwa inanufaika na ujinga na umaskini wa Watanzania.

Sitatulia Hadi HAKI itakapotawala ktk Nchi.

Ameeeen.
 
Unawashwa kizibo,kazibuliwe ulale ndio maana unaongea upumbavu..

Tajiri kumzidi nani hasa? Tanzania ina nini cha kuizidi Angola au South Sudan kwa mfano.
We

Jamaa

KWA huo madini na rasilimali za Angola na huyo Sudan unafananisha na Tz!!?kweli!!?


Tz ni level nyingine inachuana na Congo DRC Sio hao!!

Lakini Kumbuka Hii;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!!
 
We

Jamaa

KWA huo madini na rasilimali za Angola na huyo Sudan unafananisha na Tz!!?kweli!!?


Tz ni level nyingine inachuana na Congo DRC Sio hao!!

Lakini Kumbuka Hii;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!!
Mbali na madini,

Maji yaliyopo tu ktk mito, maziwa nk yanatosha kuwalisha ndugu zetu Afrika nzima na nje ya Africa.

Kwann hakuna seriousness ktk KILIMO Cha kisasa tunagusa hili, tunaacha!!!

Ofisi ya hao jamaa imeajiriwa spesho kutetea WALAMBA asali, anaepotosha UKWELI kwangu ni zaidi ya adui, ni MSALITI.
 
We

Jamaa

KWA huo madini na rasilimali za Angola na huyo Sudan unafananisha na Tz!!?kweli!!?


Tz ni level nyingine inachuana na Congo DRC Sio hao!!

Lakini Kumbuka Hii;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!!
Level ipi? Weka hapa top 5 za Afrika..

Utaizidi nini Angola wewe? Ina mafuta kama yote,diamond kama yote,ardhi kubwa kuzidi Tanzania,mpaka mkubwa wa Bahari na maelfu ya mali zingine kama dhahabu nk..

South Sudani ndio usiseme,80% ya Ardhi yote ni arable ,full misitu na mafuta hapo hatujazumzia madini mengine..
 
Kwahiyo Unadhani kwann TANZANIA Bado inawekwa ktk kundi moja na Nchi maskini sana duniani????

Maadui wetu Hasa ni akina nani?

Unadhani ni sahihi miaka 60 ya uhuru mtoto anakaa Kwa masaa zaidi ya nane shuleni bila kula chochote na hakuna anaestuka hata asipate uji? Nyerere aliwezaje bila hata kuchimba madini?

Tunapojadili changamoto ktk Nchi yetu usitulinganishe na majirani .

Tanzania ni ALAMA ya Mungu Duniani.

Ameeeen
 
Nimekuuliza swali hujajibu ila unauliza swali lingine..

Inawekwa kwenye kundi la maskini Kwa sababu Tzn imejaa wajinga kama wewe wasio na akili za kukuza Uchumi wao badala yake wanalaumu serikalini.
 
Unateseka sana mkuu...just let it go, mlitanua wakati wenu na sasa ni wakati wa wengine, kama vipi anzisheni chama chenu maana hamtopata tena nafasi kwenye ccm asilia...

By the way, hatujasahau ulivyomtishia maisha Ben Saanane na kweli akapotea baada ya siku chache mpaka leo habari zake hazijulikani...
 
Nimekuuliza swali hujajibu ila unauliza swali lingine..

Inawekwa kwenye kundi la maskini Kwa sababu Tzn imejaa wajinga kama wewe wasio na akili za kukuza Uchumi wao badala yake wanalaumu serikalini.
Tulipopata uhuru tulikuwa na matatizo makuu 4 tuliyokuwa tukipambania kama Nchi,

1. UJINGA 2. MARADHI.
3. UMASKINI 4. RUSHWA. 5. VIONGOZI DHAIFU.

Kama Nchi Kwa kiasi Gani tumeondoa matatizo hayo ktk Nchi Kwa Chama kile kile?

RUSHWA ktk Nchi imepungua au imeongezeka Kwa kiasi gn tangu Awamu ya kwanza hd sasa? Usilinganishe na majirani, ongelea takwimu zetu ndani.

Je UJINGA umeondoka Kwa kiasi Gani ktk Nchi ukilinganisha alipokuwapo Nyerere na sasa, watoto walikuwa wanapata chakula Bure shuleni, mwalimu alikuwa anaheshimika nk.
Darasa la nane enzi zile alikuwa na uwezo kuliko kidato Cha Sita Cha sasa, why tumerudi nyuma Badala ya kusonga mbele?

MARADHI je tumefanikiwa? Pamoja na jitihada zilizofanyika, hatua zetu zinarudi nyuma Badala ya kusonga mbele?

VIONGOZI.
Kwann hakuna maadili ya viongozi? Aliteuliwa tu Leo anaenda tafuta namna ya kuiba? Kwann wanaingia wafanyabiashara bungeni kutafuta fursa za biashara na wanakumbatiwa na chama?

Ni sawa kama Nchi tujivunie bodaboda kufanyika ajira?
Kwann kilimo hakiwekewi nguvu?
Kwann maskini wanaporwa ardhi walorithishwa na mababu Kwa nguvu?
Kwann Nchi yetu, urithi wetu unafanyikaj shamba la bibi?
 
Nimekuuliza swali hujajibu ila unauliza swali lingine..

Inawekwa kwenye kundi la maskini Kwa sababu Tzn imejaa wajinga kama wewe wasio na akili za kukuza Uchumi wao badala yake wanalaumu serikalini.
Tulipopata uhuru tulikuwa na matatizo makuu 4 tuliyokuwa tukipambania kama Nchi,

1. UJINGA 2. MARADHI.
3. UMASKINI 4. RUSHWA. 5. VIONGOZI DHAIFU.

Kama Nchi Kwa kiasi Gani tumeondoa matatizo hayo ktk Nchi Kwa Chama kile kile?

RUSHWA ktk Nchi imepungua au imeongezeka Kwa kiasi gn tangu Awamu ya kwanza hd sasa? Usilinganishe na majirani, ongelea takwimu zetu ndani.

Je UJINGA umeondoka Kwa kiasi Gani ktk Nchi ukilinganisha alipokuwapo Nyerere na sasa, watoto walikuwa wanapata chakula Bure shuleni, mwalimu alikuwa anaheshimika nk.
Darasa la nane enzi zile alikuwa na uwezo kuliko kidato Cha Sita Cha sasa, why tumerudi nyuma Badala ya kusonga mbele?

MARADHI je tumefanikiwa? Pamoja na jitihada zilizofanyika, hatua zetu zinarudi nyuma Badala ya kusonga mbele?

VIONGOZI.
Kwann hakuna maadili ya viongozi? Aliteuliwa tu Leo anaenda tafuta namna ya kuiba? Kwann wanaingia wafanyabiashara bungeni kutafuta fursa za biashara na wanakumbatiwa na chama?

Ni sawa kama Nchi tujivunie bodaboda kufanyika ajira?
Kwann kilimo hakiwekewi nguvu?
Kwann maskini wanaporwa ardhi walorithishwa na mababu Kwa nguvu
Kwann Nchi yetu, urithi wetu unafanyikaj shamba la bibi?
 
Hata mwamba alikua na mapungufu yake, japo ya huyu ni balaa tupu
 
Kuna kikundi kidogo kimeteka CCM halisi,

Wavamizi ndo wapishe, la sivyo FITO zigawanwe. Tuunde kipya baada ya Katiba mpya.
 
Unawashwa kizibo,kazibuliwe ulale ndio maana unaongea upumbavu..

Tajiri kumzidi nani hasa? Tanzania ina nini cha kuizidi Angola au South Sudan kwa mfano.
Narudia, Tanzania ni TAJIRI kuliko Angola, South Sudan au Nchi yoyote Africa.

Nasema kivingine, Africa Kwa ujumla wake imebarikiwa Kwa UTAJIRI mkubwa kuliko bara lingine lolote duniani.

Kwann bara la Africa Bado ni MASKINI?

Kama ni mzalendo Njoo na Suluhu ya matatizo matano makubwa yanayotukabili, UJINGA, MARADHI, UMASKINI, UONGOZI mbovu na RUSHWA.

Mimi nashauri vyama vibadilishwe na KATIBA mpya ziandikwe Ili kuleta ufanisi. CCM must DIE!!!!!!

Tunarudi pale pale:
RUSHWA,RUSHWA,RUSHWA,RUSHWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…