Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Kama hujui kaa kimya usipotoshe mtu
Ninayajua hayo htofautiana kutokana na ardhi.kwa mfano ambayo huota kwenye na bustani za mbogamboga zinazopigwa dawa huwa si yakijani kama hayo na hayakui kurefuka hadi kutoa hayo ma mbegu music yanayo nasal kwenye nguo ukioita karibu.

Yanayo ota kwenye maeneo yasiyo na mbolea na dawa za kuulia wadudu huwa ya kijani iliyokoza na huwa makubwa hadi kutoa mbegu
 
Duh,jmn!
Ndo maana nikiamua kuacha manaake naona nachanganyikiwa tu

20220227_101632.jpg

No 2 ni shona nguo (Bidens pilosa)

1000319408_1000013406_1503566630.jpg

No 2 ni Mpatakuva ( OREGANO) YOOTE HAYO HUTIBU VIDONDA VYATUMBO O
 
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.

Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.

Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.

Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.

Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .

Enjoy the remedy.

View attachment 1077606
Huo sio mlenda kweli?
 
Mkuu ndiyo hayo hayo ...sema yakiwa bado hayajakomaa ndio huwa chakula cha sungura yakishakomaa yanatoa vimbegu fulani vinashika nguo..sie tunaita
Ndasana kwa kijita
Nilileta picha hapa, mwingine alisema ndio ,mwingine alikataa nikaona niachane na hiyo tiba maana waanichanganya kila mmoja aaongea lake
 
Nilileta picha hapa, mwingine alisema ndio ,mwingine alikataa nikaona niachane na hiyo tiba maana waanichanganya kila mmoja aaongea lake
Ni majani ya aina moja utofauti upo katika ukuaji wake.

Yakiwa hayajaanza kutoa mbegu nitofauti yakiwa na mbegu
 
Back
Top Bottom