Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Kama hujui kaa kimya usipotoshe mtuNdio lenyewe mkuu tofauti hilo limekomaa ila ndo hilohilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujui kaa kimya usipotoshe mtuNdio lenyewe mkuu tofauti hilo limekomaa ila ndo hilohilo
Asante sana! Yaani humu nilikuwa naona kila mmoja anaongea lake!Ndio lenyewe mkuu tofauti hilo limekomaa ila ndo hilohilo
Duh,jmn!Silo hilo
Ninayajua hayo htofautiana kutokana na ardhi.kwa mfano ambayo huota kwenye na bustani za mbogamboga zinazopigwa dawa huwa si yakijani kama hayo na hayakui kurefuka hadi kutoa hayo ma mbegu music yanayo nasal kwenye nguo ukioita karibu.Kama hujui kaa kimya usipotoshe mtu
Nielekeze nini? kama unaumwa kweli fuata maelekezo na hayo maelekezo kama ni magumu kwako basi hauumwi.Kwa nn usingeelekeza hapa hapa kwa faida ya wengi chief
Anataka akupige helaKwa nn usingeelekeza hapa hapa kwa faida ya wengi chief
Duh,jmn!
Ndo maana nikiamua kuacha manaake naona nachanganyikiwa tu
Huo sio mlenda kweli?Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
Mmea wakwanza sio mashona nguo?chakula cha sunguraKama sijakosea huu mmea Tanga unaitwa mzugwa.
Huwa unatumika hata kutibu homa na surua. Ukimfukukiza mgonjwa akitoka hapo kapona.
Huwa una uchungu fulani hivii.
Kama kweli ni mzugwa basi ni tiba ya magonjwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ndiyo hayo hayo ...sema yakiwa bado hayajakomaa ndio huwa chakula cha sungura yakishakomaa yanatoa vimbegu fulani vinashika nguo..sie tunaitaMmea wakwanza sio mashona nguo?chakula cha sungura
Santee sana dadaHello kaka naomba unicheki 0719601426
Duu mkuu naona kama yamefanana na majani ya bange vileJani la piliView attachment 1077610
Nope, Google lippia javanica ili uonee emerge zakeSi ndio huu hapa mmea wenyeweView attachment 2140671
Nilileta picha hapa, mwingine alisema ndio ,mwingine alikataa nikaona niachane na hiyo tiba maana waanichanganya kila mmoja aaongea lakeMkuu ndiyo hayo hayo ...sema yakiwa bado hayajakomaa ndio huwa chakula cha sungura yakishakomaa yanatoa vimbegu fulani vinashika nguo..sie tunaita
Ndasana kwa kijita
Ni majani ya aina moja utofauti upo katika ukuaji wake.Nilileta picha hapa, mwingine alisema ndio ,mwingine alikataa nikaona niachane na hiyo tiba maana waanichanganya kila mmoja aaongea lake
Mzugwa... Machunguuuuuu.Jani la piliView attachment 1077610