Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Asante ninapita sshvMkuu pitia Uzi huu umeeleza vizuri Sana Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi
Japo mi shida yangu ni vidonda vya tumbo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ninapita sshvMkuu pitia Uzi huu umeeleza vizuri Sana Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi
Kama unaona inbox ni mbali basi wewe sio mgonjwaKwann inbox na usiwe hapa km wengine?
Nishapata solnKama unaona inbox ni mbali basi wewe sio mgonjwa
👍👍👍👍Mungu ni mwema,kula maishaNishapata soln
Mungu mwema
Mint ni kama kiungo kwenye mbogaMkuu yanaitwaje, manake nayafananisha na fensi za watu wameyapanda
Hiyo inaitwa Mint leaves,unaweka kidogo kwenye maji Yake uvuguvugu au moto kiasi,unakunywa kama chai.Mint ni kama kiungo kwenye mboga
Hizo ni faida 'na hasara zake,akihitaji inbox..View attachment 2126770View attachment 2126771Hiyo inaitwa Mint leaves,unaweka kidogo kwenye maji Yake uvuguvugu au moto kiasi,unakunywa kama chai.View attachment 2126762
Thread ina miaka mitatu lakini hakuna mrejesho sijui waliokunywa wametokomea wapi!Nishapata soln
Mungu mwema
Mi nilianzia mwanzo kusoma mbona wapo walipsema wamepona!Thread ina miaka mitatu lakini hakuna mrejesho sijui waliokunywa wametokomea wapi!
Kama umepona basi Mungu ni mwema.
Hili la chini ni lile linalonukia kama volgate ile dawa ya meno?Jani la piliView attachment 1077610
Kwa nn usingeelekeza hapa hapa kwa faida ya wengi chiefKama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Mashona nguo au NyakifwegaHabarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
MpatakufaJani la piliView attachment 1077610
Yaani hapa sijui ni species tofauti au mi ndo sielewi!Mashona nguo au Nyakifwega
Tuma picha ya huko iringa mkuu ila huwa yanatofautiana rangi kutokana na ardhi na upto na unyevuYaani hapa sijui ni species tofauti au mi ndo sielewi!
Haya uliyoyataja hapa iringa ni mengi tu ss ukiangalia picha sijui ndo yenyewe au vipi
Kuna mvua ,ngoja ikiisha nitatoka kuna mahali nimeona nitapiga pichaTuma pocha ya huko iringa mkuu ila huwayanatofautiana rangi kjtokana na ardhi na u yetu
SawaKuna mvua ,ngoja ikiisha nitatoka kuna mahali nimeona nitapiga picha
Ndio lenyewe mkuu tofauti hilo limekomaa ila ndo hilohiloNi hili?
Manaake hata sielewiView attachment 2132192
Silo hiloNi hili?
Manaake hata sielewiView attachment 2132192