Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo....
Nimeiona leo hii thread, nimeipitia nimeona wengi mmechanganya hii mimea, napengine mmeharibu dose na kukosa suluhu ya maradhi yenu.

Mimea alioiweka mleta maada ni mimea pori (wild plants), huwa inajiotea tu yenyewe hata kama karibu na makazi ya watu.

Mfano picha ya mmea namba mbili ule mmea ni unaota porini lakini wengi wenu mmeufananisha na maua yanayopandwa majumbani ingawa iko katika familia moja lakini imetofautiana katika species level(spishi tofauti). Hii ya porini ina chemikali yenyenguvu zaidi, hata ukitafuna inakua na harufu pamoja na radha kali iliyochangamka mithili ya peppermint (radha ya pipi kifua zile arafu kuwe na pilipili kwambaali)

Sasa tuone mimea halisi aliyokua ameilenga mleta mada.
Picha ya kwanza na ya pili: Huu unaitwa Blackjack, kitaalamu unaitwa; Bidens pilosa. Kwetu tunaita mavanivani.


Picha ya tatu, nne na ya tano: Huu unaitwa Fever tea, kitaalamu unaitwa Lippia alba/ Lippia javanica. Kwetu tunaita kilienyi.

Hayo majina ya kitaalamu, botanical or scientific names yanatambulika duniani kote(officially).

Kwahiyo mliochangaya mimea (dose) na hamkupona mnaweza kuanza tena kwa usahihi.
IMG_2076.JPG
IMG_2075.JPG
IMG_2072.JPG
IMG_2071.JPG
IMG_2069.JPG


Na hizi hapa chini ndio uhalisia wa mmea wenyewe(wild oregona)
kwa huku kwetu na ndio aliotumia mleta maada na akapona.
IMG_2078.JPG
IMG_2077.JPG
 
Angalia tena mku

Yah Mary may, ni robo kikombe tu kwa siku mara moja kama jioni ni jioni tu. Pia nimeulizwa kuhusu side effects za hiyo dawa. Kifupi mi sio mganga ni mtubaki tu, ila toka nimetumia miaka minne sijapata side effects yoyote. Kutokana na shughuri zangu sio mkaaji kwenye mitandao. So naomba radhi kwa kushindwa jibu maswali kwa wakati.
Ukisema robo kikombe unamaanisha kikombe nitakachotumia kisijae bali kiwe kiasi cha robo yamjazo wake c n hivo m2baki na ni mti huo wa vimiba vyeusi m2baki nijibu tafadhali mana nasumbuka na ntasaidia wengine bure
 
No Mani lipi hilo jaky unalosema lakuota kwa mgomba nieleze
Hili jani nimelielewa jana tu kuna mzee mmoja aliniambia hiyo dawa nzuri ya vidonda.ina harufu mbaya ila ni dawa kwetu ni aina ya magugu yanaota kwenye migomba.
 
Ukisema robo kikombe unamaanisha kikombe nitakachotumia kisijae bali kiwe kiasi cha robo yamjazo wake c n hivo m2baki na ni mti huo wa vimiba vyeusi m2baki nijibu tafadhali mana nasumbuka na ntasaidia wengine bure
Samahani kuchelewa kujibu, lengo ilikuwa robo lita, manake kikombe tunachotumia kunywea chai,

Angalizo kama huna uhakika wa mfanano wa mmea huo wa pili naomba, upige picha kisha nitumie kwa watsap 0625680 616 ili kukonfirm kama ni wenyewe. Kuna mtu alitaka kunywa upupu nikamwambia sio huo.

Sipati notifications za jf kwa app yao. Ukiona kimya nicheki kwa hiyo no.
 
Nimeiona leo hii thread, nimeipitia nimeona wengi mmechanganya hii mimea, napengine mmeharibu dose na kukosa suluhu ya maradhi yenu...
Mkuu smart umeeleza vizuri sana, mmea niusemao hasa wa pili, umekuwa ukichanganywa na mimea ambayo siyo kabisa, ila naona kuna namna tunaweza kuwasaidia majina.

naomba nipate mawasiliano yako ili nikutumie picha zenye kuonekana vizuri kwa njia ya watsap naona wewe una uelewa na haya majani, ikiwezekana hilo jani la pili tulipate jina lake la kisayansi (scientific name) ili hata mtu akigoogle anapata picha yake direct, kama ilivyo kwa hilo jani la kwanza (Biden pilosa).

Mana kila jamii ina majina yao katika kila mmea. Kama ulivyosema majani haya ni majani pori ni jambo gum kukuta eti mtu kapanda kwake kama maua mana hata muonekano wake wala sio wa mvuto mpaka ukasema upande otherwise uwe umepanda kama dawa.
Natanguliza shukrani.

IMG-20200102-WA0013.jpeg
IMG-20200102-WA0012.jpeg
IMG-20200102-WA0008.jpeg


IMG-20200102-WA0013.jpeg
 
Kwa hiyo matatila nayo ni dawa ya vidonda vya tumbo? Kwetu tunatumia kama majani ya chai.

Ila nakumbuka wife alikuwa anapata miscarriages, kuna mmama anafahamu issue za mitishamba alikuwa anampatia mizizi ya hiyo michoma nguo hadi alipofanyiwa OP na kufanikiwa kupata first born. Na baada ya hapo mtoto mwingine mambo yalienda kawaida.
 
Back
Top Bottom