Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Nimeona majani yanayofanana na hayo majani aliotuonesha mdau

Nimeyapiga picha naomba niweke picha hapa ili kama ni yenyewe basi tutenheneze dawa View attachment 1518047
View attachment 1518049
View attachment 1518050



Je ni haya maana nayo yana vimbegu vinavyokauka na kuwa kama vimiba vinavyonasa ktk nguo


Asanteni nawasubiri wadau
Hapana ndugu, siyo hayo. Ni haya hapa:
IMG_20210616_143128_414.jpg
 
Huu siyo wenyewe mmea namba mbili ni ule maarufu siku hizi za CORONA kwa jina la KASHWAGALA unatibu magonjwa mengi ila kama una PRESHA wanasema inabidi uwe makini - Unapandisha Presha (Sina uhakika na hili). Lakini hii picha siyo yenyewe kabisa, hivyo kuwa makini

Yenyewe hii hapa Chini
View attachment 1518173
Huu pia ni wako tu ndugu. Ni tofauti kabisa na aliioonesha mletamada. Huu wako majani yake ni kama ya mchicha. Ni tofauti na ule alioonesha mwanzoni mwa thread
 
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.

Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.

Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.

Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.

Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .

Enjoy the remedy.

View attachment 1077606
No. 1 MFUBAZA
No.2 Wild OREGANO
 
Mm.nimetumia week nzima sijaona matokeo.
Mkuu chemsha oregano majani kumi kwa Lita 1 ya maji.ichemke kwa dk 10 toka ianze kuchemka.kisha epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula.Mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 3-5.

TAHADHARI:
PIMA PRESHA NA SUKARI YAKO KABLA YA KUTUMIA, NA KAMA UNATUMIA DAWA ZA MUDA MREFU PATA USHAURI TOKA KWA DAKTARI WAKO.
 
Mkuu chemsha oregano majani kumi kwa Lita 1 ya maji.ichemke kwa dk 10 toka ianze kuchemka.kisha epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula.Mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 3-5.

TAHADHARI:
PIMA PRESHA NA SUKARI YAKO KABLA YA KUTUMIA, NA KAMA UNATUMIA DAWA ZA MUDA MREFU PATA USHAURI TOKA KWA DAKTARI WAKO.
Naomba kujua hii ndio oregano?
20210621_110045.jpeg
 
Chukua majani 10 week Lita 1 ya maji.Kisha chemsha kwa dk 10 .Epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula ×2 kwa siku.
ANGALIZO: IWAPO UNA KISUKARI AU PRESHA NI VEMA UKASHAURIANA NA DAKTARI WAKO.
 
Chukua majani 10 week Lita 1 ya maji.Kisha chemsha kwa dk 10 .Epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula ×2 kwa siku.
ANGALIZO: IWAPO UNA KISUKARI AU PRESHA NI VEMA UKASHAURIANA NA DAKTARI WAKO.
Presha ipi?

Ya kupanda au kushuka???
 
Back
Top Bottom