Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Akunamaelezo ya matumizi kuwa unachuma una twanga au unachemsha swara unasema dawa ya tumbo na kunywa basi apo ujasaidia kwakweli toa maelezo na mtu apate kuelewa
 
Kama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.

Wakuu achaneni na Inbox...Au unafanya Biashara?
Weka wazi ili na wengine wafaidike na Utabarikiwa...
Sasa kila Mtu unataka Aje inbox duu....wewe hakuna Vitu ambavyo umefaidika kwa Kusoma haoa JF au kwingine?
Je wangesema na wao kwa wao watumiane inbox wewe 3part ungejuaje?
Jifunze mkuu
 
Wakuu achaneni na Inbox...Au unafanya Biashara?
Weka wazi ili na wengine wafaidike na Utabarikiwa...
Sasa kila Mtu unataka Aje inbox duu....wewe hakuna Vitu ambavyo umefaidika kwa Kusoma haoa JF au kwingine?
Je wangesema na wao kwa wao watumiane inbox wewe 3part ungejuaje?
Jifunze mkuu
Wewe sio mgonjwa na haujawahi kuumwa, mshukuru Mungu kwa hilo. Inbox sio mbali ( na dawa sitoi bure nakuuzia)
 
Kama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Boss Pm umefunga
 
hayo mashona nguo kwenye picha ya kwanza moshi tunayaita "mambara" sema pronounciation yake sio kama inavyosomeka hapo. ni tiba hata kwa wale wajawazito walio na upungufu wa damu hata ukienda clinic huwa wanashauri kutumia majani haya kwani yanaongeza damu. yakikomaa yanakuwa na vimiiba flani hivi vyeusi vidogo dogoo lakini havichomi. vimiiba hivyo vinakuwa kwenye vi bunch bunch na sio scattered ila ukipita na nguo zako ndefu huwa yanakamata na kubakia kwenye nguo.

picha ya pili ki moshi moshi hayo majani tunayaita "ombo au wombo" ni yale waliyasema yanatibu corona. hata kama hayatibu vidonda bado ni majani mazuri. kwa wale tumbo hujaa gesi au kuunguruma wanapokula maharage au nyama basi huchemshiwa huko kuunguruma au kujaa gesi au kiungulia hutakusikia. wale wenzangu tunaochinjiaga mgombani na kupiga supu ya pale kitu cha mgombani mtakubaliana na mimi kuwa wakati mwingine huwa tunachemshia huko hayo majani. na nyama inakuwa na ladha na harufu nzuri sana, husema hata mtu awe na kijicho cha namna gani wakati mnakunywa supu hiyo hutodhurika kabisa

kwa wale wengine ambao kwenye sherehe habanduki mpaka ale chakula, kama utatoka hapo umeangaliwa na kijicho tumbo likakushika ghafla basi ''ombo" ndio kiboko kabisa. hata tumbo likiwa linakuuma, au umeamka umevimbiwa basi hii kitu ni dawa nzuri sana.

dawa nyingine nzuri kwa tumbo ni yale majani laini ya mapera.

niishie hapo....
 
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.

Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.

Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.

Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.

Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .

Enjoy the remedy.

View attachment 1077606
Hii ya kwanza ikikuwa ikokomaa inakuwa na vitu vinashika nguo vyeusi?
 
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.

Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.

Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.

Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.

Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .

Enjoy the remedy.

View attachment 1077606
Hili jani nimelielewa jana tu kuna mzee mmoja aliniambia hiyo dawa nzuri ya vidonda.ina harufu mbaya ila ni dawa kwetu ni aina ya magugu yanaota kwenye migomba.
 
Ndo hii hapa?

20210614_103023.jpg
 
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.

Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.

Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.

Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.

Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.

Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .

Enjoy the remedy.

View attachment 1077606
Ahsante kwa kuonesha moyo wa kujali
 
Yah Mary may, ni robo kikombe tu kwa siku mara moja kama jioni ni jioni tu. Pia nimeulizwa kuhusu side effects za hiyo dawa. Kifupi mi sio mganga ni mtubaki tu, ila toka nimetumia miaka minne sijapata side effects yoyote. Kutokana na shughuri zangu sio mkaaji kwenye mitandao. So naomba radhi kwa kushindwa jibu maswali kwa wakati.
Sidhani kama ina side effect maana kwetu mtu akijikata hiyo dawa ndo tunamfungia kwenye kidonda kuzuia damu.
 
Back
Top Bottom