Samwel Jr
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 1,311
- 935
mkuu naomba nikuoneKama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu naomba nikuoneKama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Kwaiyo unatwanga au unachemsha nduguMimi ni shuhuda wa hilo Jani la pili,,, sinywi dawa za vidonda vya tumbo siku hizi,imekuwa Kama utaratibu wangu nakunywa kila baada ya miezi miwili kwa siku tano . Na hata wakati wa covid tumelitumia Sana home kwa ajili ya covid.
Kama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Wewe sio mgonjwa na haujawahi kuumwa, mshukuru Mungu kwa hilo. Inbox sio mbali ( na dawa sitoi bure nakuuzia)Wakuu achaneni na Inbox...Au unafanya Biashara?
Weka wazi ili na wengine wafaidike na Utabarikiwa...
Sasa kila Mtu unataka Aje inbox duu....wewe hakuna Vitu ambavyo umefaidika kwa Kusoma haoa JF au kwingine?
Je wangesema na wao kwa wao watumiane inbox wewe 3part ungejuaje?
Jifunze mkuu
Haya si ni yale yananukia kama dawa ya meno (kolgeti)Jani la piliView attachment 1077610
Boss Pm umefungaKama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Nicheki hapa 0754688607Mkuu njoo inbox tuongee maana naona mm siwezi kuku pm umefunga.
Hii ya kwanza ikikuwa ikokomaa inakuwa na vitu vinashika nguo vyeusi?Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
Hili jani nimelielewa jana tu kuna mzee mmoja aliniambia hiyo dawa nzuri ya vidonda.ina harufu mbaya ila ni dawa kwetu ni aina ya magugu yanaota kwenye migomba.Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
Ahsante kwa kuonesha moyo wa kujaliHabarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
Sidhani kama ina side effect maana kwetu mtu akijikata hiyo dawa ndo tunamfungia kwenye kidonda kuzuia damu.Yah Mary may, ni robo kikombe tu kwa siku mara moja kama jioni ni jioni tu. Pia nimeulizwa kuhusu side effects za hiyo dawa. Kifupi mi sio mganga ni mtubaki tu, ila toka nimetumia miaka minne sijapata side effects yoyote. Kutokana na shughuri zangu sio mkaaji kwenye mitandao. So naomba radhi kwa kushindwa jibu maswali kwa wakati.
Yes, ndio haya haya
Yah vikikomaa uwa vinanata kwenye nguoHii ya kwanza ikikuwa ikokomaa inakuwa na vitu vinashika nguo vyeusi?
Ndo yenyewe manasa nguo
Nadhani ndio hili, sio?Jani la piliView attachment 1077610