Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana hawakupona, labda hata walidediTunaomba mrejesho ndg wajumbe
Mmh!Inaonekana hawakupona, labda hata walidedi
Hapana si fensi, ndio maana nimeomba wazee wa agriculture wanaweza tupa hayo majina. Hyo aina ya kwanza kwa watu wa kusini huwa tunaita manasa nguo.
Mimi sikuelewa nisaidie. Unachagua moja kati ya hayo au unachuma aina zote 2 na unachanganya pamoja?Mimi ni shuhuda wa hilo Jani la pili,,, sinywi dawa za vidonda vya tumbo siku hizi,imekuwa Kama utaratibu wangu nakunywa kila baada ya miezi miwili kwa siku tano . Na hata wakati wa covid tumelitumia Sana home kwa ajili ya covid.
Mie nimetumia moja tu. La chini nachemsha maji yake nakunywa asubuh na jionimimi sikuelewa nisaidie. Unachagua moja kati ya hayo au unachuma aina zote 2 na unachanganya pamoja?
JamiiForums mobile app
Mimi pia nahitaji kufaham hilo. Asante ndugukwahiyo nachukua hayo ya kwanza na hayo ya pili nachanganya au hata hayo ya kwanza yanatosha???.
Masokoni DAR utayakuta wanaita mbwembwe....wanautumia Kama mboga....mkoani mashona nguoMkuu yanaitwaje, manake nayafananisha na fensi za watu wameyapanda
Kuna unafuu mkuu??Mie nimetumia moja tu. La chini nachemsha maji yake nakunywa asubuh na jioni
Oh KapunikaHapana si fensi, ndio maana nimeomba wazee wa agriculture wanaweza tupa hayo majina. Hyo aina ya kwanza kwa watu wa kusini huwa tunaita manasa nguo.
Ubarikiwe sanaHilo jani namba mbili ni jani zuri sana kwa ulimwengu wa sasa ,hupaswi kulikosa katika nyumba yako ,maana yanaota kila mahali na wengi wanayatumia kama fensi...
Shukrani mkuu....Hilo jani namba mbili ni jani zuri sana kwa ulimwengu wa sasa ,hupaswi kulikosa katika nyumba yako ,maana yanaota kila mahali na wengi wanayatumia kama fensi
Mbali na kutibu madonda ya tumbo kama mdau. alivyo sema,mmea huu unatibu UTI ,Kwa dunia ya sasa huwezi maliza Mwezi hujaugua UTI AU MARALIA,so ukiwa na mti huu ni faida kubwa sana kwako maana utakuepusha na matumizi ya vidonge kila Mara
Lakini pia mti mwingine muhimu ni mlonge nao ni mzuri sana kwa tiba ya malaria na vidonda vya tumbo
Matumizi ya mmea huu kwa kutibu UTI ni kuchuma majani na kuyachemsha kisha unayatoa majani unabaki na kimiminika ,ukiacha kuyatoa ya kuwa na kauchungu kakali sanaView attachment 1599638