Yajue magari 6 ya kifahari yaliyotumiwa na Mwalimu Nyerere

Kwasababu hakujenga barabara na utawala wake ulizitelekeza zile zilizojengwa na Mkoloni ndio maana alikuwa akitembelea 4x4.
Unajua nfhi ilikuwa katika hali gani, ja mapato yake yalikuwaje? Kwa idadi na thamani ya yale yaliyofanyika wakati wake, hakuna aliyefikia hata 20%, ya yale yaliyofanyika wakati wa utawala wake.

Nenda kaangalie kwenye kumbukumbu, wakati tunapata uhuru, kulikuwa:

Hospitali ngapi
Shule za sekondari ngapi
Shule za msingi ngapi
University Graduates wangapi
Viwanda vingapi
Taasisi za utafiti ngapi
Waajiriwa wangapi
Vyuo vikuu vingapi
 
Huyo kijana wa makumbusho anatakiwa kuelezea vizuri maana hapa amefanya upotoshaji bila kukusudia.
 
Nyerere angefanya hayo uanayo yasema familia yake ingekua Royal family Tanzania , mpka anaondoka duniani alikua na nyumba Butiama na Msasani tu
Nyerere alikuwa anakunywa Scotch Whisky wakati sisi tulikuwa tunashindia Gongo, na alikuwa anafurahi kutuona Watanzania tukiwa Mafukara wa kutisha.
 
Nikuulize swali mleta mada. Je hizo gari zinawaka!!??
Zinafanyiwa service.....!!??
Mnaweza pia kuwa mnazikodisha kwenye functions kubwa pesa inayopatikana mkasaidia watoto masikini
 
Nikuulize swali mleta mada. Je hizo gari zinawaka!!??
Zinafanyiwa service.....!!??
Mnaweza pia kuwa mnazikodisha kwenye functions kubwa pesa inayopatikana mkasaidia watoto masikini
Mkuu,

Hizo gari ni za kumbukumbu kubwa ya taifa.

Hiyo kumbukumbu ni muhimu kuliko pesa inayoweza kupatikana kwa kukodisha magari.

Isitoshe, Tanzania ina vyanzo vingi vya fedha.

Hata hayo makumbusho yanaweza kuwa chanzo cha fedha za watu kuingia kuyaona hayo magari, ikapatikana fedha nyingi kuliko ya kukodisha hayo magari.

Tuache kuwa penny wise but pound foolish.
 
Asante kwa taarifa, pendekezo langu hayo magari kila moja lingeonekana na picha yake pande zake zote badala ya picha moja yenye magari yasiyoonekana vizuri kuambatanishiwa maelezo yenye kina kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…