Yajue magari 6 ya kifahari yaliyotumiwa na Mwalimu Nyerere

Yajue magari 6 ya kifahari yaliyotumiwa na Mwalimu Nyerere

Mheshimu Mwalimu japo kwa kujengea taifa moja kutoka jumuiya ya tawala za kikabila za kina Mangi mkuu, Omukama Rumanyika nk.

Leo unaongea na mtu kutoka kijijini mkoa wowote bila mkarimani. Pia soma story, magari yote ni ya serikali hajaondoka hata na taa ya gari. Butiama hakuwa hata na nyumba ya maana, anasa za Mwalimu ni zipi? [emoji120][emoji120][emoji120]
Ni wachache watakuelewa, usichoke kuwaelimisha.
 
Nyerere alipenda anasa wakati wananchi tulikua tukiogelea kwenye ufukara wa kutisha aliotuletea.
Hahahaha.. ....Mwalimu alikuwa kiboko sana. Alituaminisha wananchi hadi huko vijijini kuwa wazungu ni watu wabaya na wanyonyaji ambao hatutakiwi kuwa na mazoea nao hata kidogo, kumbe yeye mjini anakutana na akina Richard Turnbull, Ulaya na Marekani anaenda kila wakati..
Vijana mijini na vijijini ni kukanyaga mgambo kila kukicha na Bunduki za mbao. Daah! Huku akijua huko ng'ambo watu wanachezea atomic bombs. Aiseee?!
 
Jenga hoja kuliko kunishambulia, usiingie kwenye mijadala kama huwezi kucontrol mihemuko yako.
hujui hata kushambuliwa au kushambuliwa kwa hoja uliyoileta.

nimekwambia tabia yako ni ya kijinga sio wewe ndiye mjinga,inawezekana kabisa unafanya makusudi kama ulivyofanya ujinga na hapa pia.
 
Nyerere alipenda anasa wakati wananchi tulikua tukiogelea kwenye ufukara wa kutisha aliotuletea.
Magari yote yanayosemwa ya kifahari aliyotumia Mwalimu yaliletwa Nchini kwa ajili ya kutumiwa na Gavana au magavana waliohudumia Tanganyika kabla ya Uhuru !! Mwalimu hakuwahi kununua gari la anasa akiwa Rais zaidi ya Benz tena zile za kizamani. !! Msimsingizie Baba wa Taifa R.I.P
 
Comment ya kipuuzi.

Gari la kwanza lilinunuliwa na Serikali ya Uingereza, tulipewa. Magari mawili yalinunuliwana Ujerumani. Na magari hayo yalitumika kupokelea wageni, siyo kutembelea yeye mikoani au vijijini.

Ikimbukwe pia wakati huo mataifa na makampuni yaliyokuwa yanatengeneza magari yalikuwa ni machache sana.

Miaka mpaka ya late 1970s ukizungumzia gari, zaidi ilikuwa ni kutoka Ujerumani (Benz), Uingereza (landrover), Italy (Fiat) na USA.(Ford).

Mwalimu safari zake mikoani, mpaka mwishoni mwa uongozi wake alikuwa akipenda kutumia landrover defender.
Kabisa !!
 
Kwa
Magari yote yanayosemwa ya kifahari aliyotumia Mwalimu yaliletwa Nchini kwa ajili ya kutumiwa na Gavana au magavana waliohudumia Tanganyika kabla ya Uhuru !! Mwalimu hakuwahi kununua gari la anasa akiwa Rais zaidi ya Benz tena zile za kizamani. !! Msimsingizie Baba wa Taifa R.I.P
[/QUOTE

Angeyauza
 
Namuheshimu sana Hayati Mwalimu Nyerere, ila tuyaseme mabaya na mazuri yake, tuwe na mijadala huru ili hata viongozi wajao waone wapi pa kujisahihisha.

Mwalimu alikuwa mbishi na yeye aliwahi kukiri kuwa sera zake za "kutogeuka nyuma na kwamba akigeuka atakuwa jiwe" alifanya makosa mengi.
Kiongozi lazma uwe flexible. Km mama
 
Ujamaa ni mfumo wa ubinafsi wa watawala kuwafanya watu wawe masikini Ili waweze kuwatawala.
Ujamaa ni mpango wa shetani, mfumo ambao Mungu anautambua ni ubepari. Soma kisa cha talanta
 
Unajua nfhi ilikuwa katika hali gani, ja mapato yake yalikuwaje? Kwa idadi na thamani ya yale yaliyofanyika wakati wake, hakuna aliyefikia hata 20%, ya yale yaliyofanyika wakati wa utawala wake.

Nenda kaangalie kwenye kumbukumbu, wakati tunapata uhuru, kulikuwa:

Hospitali ngapi
Shule za sekondari ngapi
Shule za msingi ngapi
University Graduates wangapi
Viwanda vingapi
Taasisi za utafiti ngapi
Waajiriwa wangapi
Vyuo vikuu vingapi
Hivo vilikuwa vichache kulingana na uhitaji wa kipindi kile, uhitaji ungeongezeka wangeviongeza hapa hakuna hoja
 
Nyerere the great!

Magufuli the greatest!
Magufuri alifanya nini pumbavu ,yeye amekuta kila kitu,pesa kazikuta maskini ya Mungu,barabara kazikuta,wasomi kawakuta,watumishi wa serikali kawakuta,uhuru kaukuta,kila kitu kakikuta lakini nasikitika kwamba badala ya kuendeleza akawa mbomoaji wa Umoja na Mshikamano na kuleta ufukara Tanzania.
 
Unajua nfhi ilikuwa katika hali gani, ja mapato yake yalikuwaje? Kwa idadi na thamani ya yale yaliyofanyika wakati wake, hakuna aliyefikia hata 20%, ya yale yaliyofanyika wakati wa utawala wake.

Nenda kaangalie kwenye kumbukumbu, wakati tunapata uhuru, kulikuwa:

Hospitali ngapi
Shule za sekondari ngapi
Shule za msingi ngapi
University Graduates wangapi
Viwanda vingapi
Taasisi za utafiti ngapi
Waajiriwa wangapi
Vyuo vikuu vingapi
Watu hawataki Historia ndiyo maana wanamwona Nyerere kama Magufuri na Samiah tu.
 
Uzuri hayo magari aliyanunua yakawa ya serikali.Tanzania ya leo tunasikia serikali inanunua Ma v8 kila mwaka but wanaishia kuuziana wao kwa wao kwa bei sawa na bure.
Labda hao wanaosema Nyerere alituletea umaskini watueleze kabla ya Nyerere hali ilikuwaje! Tulikuwa matajiri sana? Kielimu tulikuwaje?
 
Magufuri alifanya nini pumbavu ,yeye amekuta kila kitu,pesa kazikuta maskini ya Mungu,barabara kazikuta,wasomi kawakuta,watumishi wa serikali kawakuta,uhuru kaukuta,kila kitu kakikuta lakini nasikitika kwamba badala ya kuendeleza akawa mbomoaji wa Umoja na Mshikamano na kuleta ufukara Tanzania.
Hisia zikikuisha tumia akili.
 
Back
Top Bottom