dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,914
Hiyo mashine kuna mgodi fulani ilikanyaga landcruiser hardtop bila dereva wake kuhisi amekanyaga kitu.
Yani huo mdude unauwezo wa kukanyaga fuso na kuifanya chapati.
Yani huo mdude unauwezo wa kukanyaga fuso na kuifanya chapati.
Hivi haya majigari yakikukanyaga tumboni unapona?