Yajue magari makubwa zaidi duniani

Yajue magari makubwa zaidi duniani

Mbombo ngafu!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Uli mwosigwa ugwe, kufwana ulipa kwimba I bhangili.
1627662529770.png
 
Uli mwosigwa ugwe, kufwana ulipa kwimba I bhangili.
View attachment 1874357
[emoji120][emoji120][emoji120] Caption: "Books are a hidden treasure of knowledge." Kwa tafsiri yangu isiyo rasmi naamini kuwa "vitabu ni mgodi wa maarifa mengi".

Naloli gwe, une ndi mwosigwa, loli apo ngwimba itolo ikitabhu

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mma jhika ngafu. Bhatikulonda kupilikisya bhandu abha, Kali bhali na amapuli?
Kyala atutuule tukabhe abhandu bha mbulukutu isi sikupilikisya.

Kwa faida ya waliopigwa chenga na lugha ya Mwakaleli tunasema hivi: "Mungu atusaidie tupate watu wasikivu na wanaoelewa. Waliopo wanapenda kupata vitu badala ya kusaka maarifa ya jinsi ya kupata vitu hivyo, kama hayo madude.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mi sijaziona Terex ktk hiyo list
It remains the world's largest truck by dimensions. manufacturer. Following economic recession, IBH declares bankruptcy in 1983 and ownership of Terex subsequently reverts to GM
 
It remains the world's largest truck by dimensions. manufacturer. Following economic recession, IBH declares bankruptcy in 1983 and ownership of Terex subsequently reverts to GM
Inashangaza hii taarifa japo naipokea,mwaka 2013 nikiwa ggm zilikuwa zinapiga kazi na 2016 nikiwa pale shy manicipala zilikuja tipper mpya kabisa kutoka brand hiyo .,....Sasa nikipiga hesabu toka zisitishwe uzalishaji mpaka mi kuja kuziona zikiwa kazini ni karibia decades 4, imewezekanaje na zilikuwa katika mitindo ya ufanyaji wa kazi wa kisasa kabisa wa 4g
 
Sisi ni watu sio binadamu, binadamu ni kizazi cha Adam. Sisi tulikuwepo kabla ya Adam
🤔🤔 tulikuwepo kabla ya adamu?? Umenichanganya hapo, em fafanua mkuu ikibidi ufungulie uzi kabisaa
 
Inashangaza hii taarifa japo naipokea,mwaka 2013 nikiwa ggm zilikuwa zinapiga kazi na 2016 nikiwa pale shy manicipala zilikuja tipper mpya kabisa kutoka brand hiyo .,....Sasa nikipiga hesabu toka zisitishwe uzalishaji mpaka mi kuja kuziona zikiwa kazini ni karibia decades 4, imewezekanaje na zilikuwa katika mitindo ya ufanyaji wa kazi wa kisasa kabisa wa 4g
Lambda zilikuwa kwenye stock
 
Hiyo mashine kuna mgodi fulani ilikanyaga landcruiser hardtop bila dereva wake kuhisi amekanyaga kitu.
Yani huo mdude unauwezo wa kukanyaga fuso na kuifanya chapati.
Hivi haya majigari yakikukanyaga tumboni unapona?
 
Back
Top Bottom