Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha! Wapo lakini wengi hawana nafasi, hata wakipata hawasikilizwi au wanaundiwa mizengweNchi haina think tanks
Mma jhika ngafu. Bhatikulonda kupilikisya bhandu abha, Kali bhali na amapuli?
Uli mwosigwa ugwe, kufwana ulipa kwimba I bhangili.
[emoji120][emoji120][emoji120] Caption: "Books are a hidden treasure of knowledge." Kwa tafsiri yangu isiyo rasmi naamini kuwa "vitabu ni mgodi wa maarifa mengi".Uli mwosigwa ugwe, kufwana ulipa kwimba I bhangili.
View attachment 1874357
Be blessed bro[emoji120][emoji120][emoji120] Caption: "Books are a hidden treasure of knowledge." Kwa tafsiri yangu isiyo rasmi naamini kuwa "vitabu ni mgodi wa maarifa mengi".
Naloli gwe, une ndi mwosigwa, loli apo ngwimba itolo ikitabhu
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kyala atutuule tukabhe abhandu bha mbulukutu isi sikupilikisya.Mma jhika ngafu. Bhatikulonda kupilikisya bhandu abha, Kali bhali na amapuli?
Ziko kwenye museum, ziliacha kutengeneza mwaka 1983, wengi tulikuwa ni karanga enzi hizoMi sijaziona Terex ktk hiyo list
It remains the world's largest truck by dimensions. manufacturer. Following economic recession, IBH declares bankruptcy in 1983 and ownership of Terex subsequently reverts to GMMi sijaziona Terex ktk hiyo list
🎌🇯🇵[emoji23][emoji23]
Inashangaza hii taarifa japo naipokea,mwaka 2013 nikiwa ggm zilikuwa zinapiga kazi na 2016 nikiwa pale shy manicipala zilikuja tipper mpya kabisa kutoka brand hiyo .,....Sasa nikipiga hesabu toka zisitishwe uzalishaji mpaka mi kuja kuziona zikiwa kazini ni karibia decades 4, imewezekanaje na zilikuwa katika mitindo ya ufanyaji wa kazi wa kisasa kabisa wa 4gIt remains the world's largest truck by dimensions. manufacturer. Following economic recession, IBH declares bankruptcy in 1983 and ownership of Terex subsequently reverts to GM
😂😂 Tafadhari mkuu, ninapoongelea binadamu simaanishi viumbe kama huyo uliemtaja.Sema Wazungu na Watu wa Far East. Siyo binadamu jamii ya Ndugai.
🤔🤔 tulikuwepo kabla ya adamu?? Umenichanganya hapo, em fafanua mkuu ikibidi ufungulie uzi kabisaaSisi ni watu sio binadamu, binadamu ni kizazi cha Adam. Sisi tulikuwepo kabla ya Adam
Sio kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mkuu sote tupo sawa.
Tena kwa kujisifuDunia moja ila wengine wanatengeneza mitambo kama hiyo wengine waziri ambaye ni profesa anazindua tela
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Katiba mdebwedoInasikitisha! Wapo lakini wengi hawana nafasi, hata wakipata hawasikilizwi au wanaundiwa mizengwe
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Lambda zilikuwa kwenye stockInashangaza hii taarifa japo naipokea,mwaka 2013 nikiwa ggm zilikuwa zinapiga kazi na 2016 nikiwa pale shy manicipala zilikuja tipper mpya kabisa kutoka brand hiyo .,....Sasa nikipiga hesabu toka zisitishwe uzalishaji mpaka mi kuja kuziona zikiwa kazini ni karibia decades 4, imewezekanaje na zilikuwa katika mitindo ya ufanyaji wa kazi wa kisasa kabisa wa 4g
Hivi haya majigari yakikukanyaga tumboni unapona?