Mkuu kwenye jeep grand chorokee hapo nitakuping mpaka sekunde ya mwisho.hembu fafanua hapo unapozungumzia jeep unazungumzia jeep ipi labda.kuna grand chorokee ya diesel na petrol. Na ubovu wake ni upi maana hiyo gari ni roho ya paka hatari engine yake mpaka body inaoza yenyewe bado inadunda
Kwa atakaelielewa hili Gari lililotajwa hapa Naomba ani-tag pleasejeeb ni gari imara sana kuliko gari zote labda aseme spear zake ni juu
Alitaka kusema JEEPKwa atakaelielewa hili Gari lililotajwa hapa Naomba ani-tag please
GDIKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
Hapana,
Hizi zilinunuliwa na Chama Fulani zitumike kwenye kampeni. Iliyodumu sana ilikaa miaka 2.Mahindra
Na ww emeliona hilo, kwa sababu gari fulan inamsumbua mwenye hilo gari basi anasema ni bovu,basi kila gari ni bovu, wabongo bana
Mpk kirikuu ukiitunza iko vzur, shida fundi mbabaishaji, dereva nae anajua kueka gia na kuongoza sukan tu. Kuckilza vtu vngne kwenye gari vnaendaje hajui, halafu unataka gari idumu mileleMAGARI YA AINA YOYOTE NI MAZURI MIMI NI FUNDI WA MAGARI GARI NI UTUNZWAJI FANYA SERVICE KWA UANGALIFU UBAYA MAFUNDI WENGI UKIMPELEKEA AFANYE SERVICE UKIMWAMINI BASI GARI UTALIONA BOVU MAANA YEYE ANAJALI PESA TU HATOKUFANYIA SERVICE INAVYOTAKIWA KAMA HUTOMSIMAMIA
Tena zote zilikuwa TZJ ilinipa shida sana kugundua kwann gari zote hizo ziwe na TZJ?.Izo gari zilikuja mpya wanajeshi walikopeshwa miaka ya nyuma ivi,so haikuja mtumba so kukaa miaka 20 ni kawaida sana kwa gari iliyonunuliwa 0 km
BOLERO GLXkweli aisee hizi gari CCM waikuwa nazo kibao saivi sijui ziko wapi. naona sasa hivi wanatumia viberiti {land cruiser}..
ila kwa mtazamo wangu kila gari ni mbaya kama hakuna matunzo ila kama unaitunza vizuri unaweza ukasahau gereji ulienda lini. Gari matunzo
Mh hapa ss nahisi hili Tango por,i ya kweli haya mkuu???Discovery!!!!!freelander ni gari nzuri na economy,mhm ongeza ukubwa wa mashimo ya kwenye gasketi hutopata tatizo tena la kuchemsha. Nadhan mtengenezaji alijisahau juu ya khali ya joto kwa huku kwetu hivyo hilo tatizo hutokea. Discovery itabaki n gari niipendayo,niitumiayo na nitakayotumia wakati wote wa uwepo wangu hapa dunia. Ni gari inayofanya kile nikitakacho gari inifanyie na kwa wakati huku ikiwa n economy kwa mafuta.
Sitaisahau DUET maana ilikua gari ya kwanza kuimiliki.. mziki upo kwenye upatikanaji wa spea na ukizipata bei yake imechangamkaToyota Duet
Nissan March
hyo ni chuma, roho ya paka! Fanya drifting utakavyo weka oil yoyote na bado itadumu miaka 100, ubaya wake ni inakula sana weseVP kuhusu alteza