Hiyo ilitokea mara moja tu na haitatokea tena. Shetani alifukuzwa mbinguni na hawezi kurudi tena huko anasubiri tu kutupwa katika moto wa milele.
usitoke nje ya mada hapa tunazungumzia vita,na kwa taarifa yako mpaka leo shetani na mawakala wake bado wako kwenye vita vikali kati ya MUNGU na mawakala wake plus malaika,,,,yaani vita iliyopiganwa mbinguni kwa sasa imehamia duniani,mawakala wa MUNGU ni mapadre,mashehe, na wachungaji,mawakala wa shetani ni malaika wachafu,waganga[wapiga ramli],wachawi,vinyamkera n.k,nadhani umeona wiki ilopita fisi kauwawa lakini mzoga wake umekutwa umefungwa plate namba kama gari,,,na kuna mganga wa kienyeji wamemkuta na fisi[polisi]huko simiyu,,alipoulizwa akasema anamtumia kama pikipiki,na pia usiku anamtumia kama helikopta[[unaona vita hiyo],,,so ndo manake unaona tunafundishwa kusali kwa hisia kali sana kwani vita ni vikalimno,,,so USIJE UKASEMA ILIKUWA YA MARA MOJA TU!!!!...vita ya MUNGU na SHETANI haitoisha mpaka siku ya kiama,,,na baada ufufuo,shetani atatupwa kenye ziwa lamoto!!!!!!.............MAPAMBANO BADO YANAENDELEA!!