Yajue maisha ya Mbinguni, yana raha isiyo na kifani

Yajue maisha ya Mbinguni, yana raha isiyo na kifani

wataofufuliwa siku ya mwisho, sindio wataamka na miili yao ??
Hapana.
Soma: Wafilipi 3:20-21
Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo; atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.

Soma pia: 1 Kor 15:51-54
Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. Maana sharti huu[mwili] uharibikao uvae kutoharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. Basi huu uharibikao utakapovaa kutoharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa katika ushindi.
 
Watu wengi wanahangaika usiku na mchana kutafuta raha na starehe za dunia hii, ambazo ni za muda mfupi, lakini hawajishughulishi kuhakikisha wanayo “tiketi” ya kuingia mbinguni kwenye raha na furaha ya milele. Labda ni kwa sababu hawajui maisha ya mbinguni yatakuwa ya namna gani. Nakutajia hapa mambo mazuri ya mbinguni. Mbinguni...
  • Maisha ni matamu mno. Utamu huo unafanya miaka 1000 ionekane kama siku moja tu.(2 Petro 3:8)
  • Hakuna kilio wala maombolezo – Ufunuo 21:4
  • Hakuna kuzeeka. Tutakuwa na miili mipya ya utukufu – Wafilipi 3:21
  • Hakuna njaa wala kiu – Ufunuo 7:16
  • Hakuna magonjwa wala ulemavu – Isaya 35:5-6
  • Hakuna dhambi wala majaribu –Ufunuo 21:27
  • Kuna furaha isiyo na mwisho – Zaburi 16:11
  • Tutaishi milele. Hakutakuwa na kifo kabisa – 1 Yohana 2:25; Ufunuo 20:6; Ufunuo 21:4
  • Tutaishi na Mungu na kumuona uso kwa uso – Ufunuo 22:4; Ufunuo 21:3
  • Tutakuwa kama malaika, hakuna kuoa wala kuolewa – Mathayo 22:30
    Kwa sababu hiyo hakuna matatizo ya ndoa!
  • Hakutakuwa na giza wala usiku – Ufunuo 22:5
  • Hatutakula kwa jasho. Tutakula matunda, bure – Ufunuo 2:7
  • Hakuna vita wala maadui – Isaya 11:9
  • Tutaimba nyimbo tamu kwa lugha moja – Ezra 3:11
  • Tutapokea taji za thawabu – 2 Timotheo 4:8
  • Tutashiriki karamu(sherehe kubwa) ya arusi ya Mwana-Kondoo(Ufunuo 22:4). Karamu hiyo inapita mara elfu elfu karamu zote zinazofanyika hapa duniani.
Yesu kabla ya kupaa mbinguni aliahidi kwamba anaenda kutuandalia makao yenye raha hizo(Yohana 14:2-3). Dalili zinaonesha karibu atarudi kuwachukua wote waliokata “tiketi” ya kuingia kwenye makao hayo mapya ya mbinguni(Mathayo 24:3-33). Kama umeokoka, tiketi hiyo tayari unayo. Kama hujaokoka fanya haya yafuatayo, nawe utakuwa miongoni mwa watakaoingia mbinguni Yesu atakaporudi, au ukiondoka duniani kabla ya ujio wa Yesu:
  • Kubali kuwa wewe ni mwenye dhambi – Warumi 3:23 – “Kwa maana wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.”
  • Amini kwamba Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako na akafufuka –Warumi 10:9 – “Kwa sababu ukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.”
  • Tubu dhambi zako kwa moyo wa dhati na usitende dhambi tena – Matendo 3:19 – “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.”
  • Mpokee Yesu moyoni mwako kwa imani awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako – Yohana 1:12 – “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndiyo wale waliaminio jina lake.”
Kama uko tayari kuyafanya hayo, fuatisha sala hii ya toba, utaokoka sasa hivi. Omba hivi:
Ee Mungu wa mbinguni, nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi, lakini leo natubu kwa moyo wangu wote. Naamini kuwa Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu, akafufuka ili nipate uzima wa milele. Bwana Yesu, naomba unisafishe kwa damu yako. Ninakukaribisha moyoni mwangu uwe Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Nisaidie kuishi maisha mapya ya utakatifu. Kuanzia leo namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa na kunipa “tiketi” ya kuingia mbinguni. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amina.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wote, tayari umeokoka na umepata “tiketi” ya kuingia mbinguni.

Ili uendelee vizuri na maisha ya wokovu, hakikisha unasoma Biblia na kuomba kila siku. Lakini pia ungana na waumini wengine katika Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha maisha ya utakatifu, watakuelekeza mambo mengine yakupasayo kufanya. Ubarikiwe sana.
Punguza bangi hakuna kitu kama hicho.
 
Punguza bangi hakuna kitu kama hicho.
Sijazungumzia kitu. Nimezungumzia mambo mazuri yaliyopo mbinguni.

Halafu ukipinga jambo pinga kwa hoja uonyeshe kweli wewe ni great thinker.
 
Sijazungumzia kitu. Nimezungumzia mambo mazuri yaliyopo mbinguni.

Halafu ukipinga jambo pinga kwa hoja uonyeshe kweli wewe ni great thinker.
Sihitaji kutoa ushahidi kwa vile hicho kitabu unachorejea ni hadithi za kawaida zilizotungwa na wakoloni na zikatupumbaza kiasi cha kugeuka mazezeta na mazwazwa. Wangapi waliwahi kufufuliwa, kwenda kule na kurudi na mbona haya yote yanaingia akilini kwa njia ya imani na si kuelewa?
 
Sihitaji kutoa ushahidi kwa vile hicho kitabu unachorejea ni hadithi za kawaida zilizotungwa na wakoloni na zikatupumbaza kiasi cha kugeuka mazezeta na mazwazwa. Wangapi waliwahi kufufuliwa, kwenda kule na kurudi na mbona haya yote yanaingia akilini kwa njia ya imani na si kuelewa?
Soma uzi wangu huu:
Hapo nimezungumzia habari za C.S. Lewis. Alikuwa mpinzani wa Biblia kuliko wewe, lakini akageuka, akaamini uwepo wa Mungu na habari za mbinguni. C.S. Lewis can be professionally referred to as:
  • Professor C.S. Lewis – He was a professor of Medieval and Renaissance Literature at the University of Cambridge.
  • Scholar C.S. Lewis – He was a distinguished academic in literature and theology.
  • Author C.S. Lewis – He wrote numerous influential books, including Mere Christianity and The Chronicles of Narnia.
  • Literary Critic C.S. Lewis – He analyzed and wrote about literary works extensively.
  • Christian Apologist C.S. Lewis – He defended and explained Christianity through logical arguments.
  • Philosopher C.S. Lewis – He explored deep philosophical and theological questions in his works.
  • Theologian C.S. Lewis – His writings deeply influenced Christian thought.
 
Nasikia kutakuwa na mito ya pombe tamu l/adhatil kwa mujibu wa sheikh
Biblia inasema walevi hawataingia mbinguni.
1 Kor 6:9-10
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi."


Mstari huo unaonyesha wazi hakuna pombe mbinguni. Kwanza pombe haina raha yoyote. Kitu kinaathiri utendaji kazi wa ubongo ndio raha gani hiyo.

Mbinguni tutakunywa vitu vitamu kuliko hivi vya duniani
 
Watu wengi wanahangaika usiku na mchana kutafuta raha na starehe za dunia hii, ambazo ni za muda mfupi, lakini hawajishughulishi kuhakikisha wanayo “tiketi” ya kuingia mbinguni kwenye raha na furaha ya milele. Labda ni kwa sababu hawajui maisha ya mbinguni yatakuwa ya namna gani. Nakutajia hapa mambo mazuri ya mbinguni. Mbinguni...
  • Maisha ni matamu mno. Utamu huo unafanya miaka 1000 ionekane kama siku moja tu.(2 Petro 3:8)
  • Hakuna kilio wala maombolezo – Ufunuo 21:4
  • Hakuna kuzeeka. Tutakuwa na miili mipya ya utukufu – Wafilipi 3:21
  • Hakuna njaa wala kiu – Ufunuo 7:16
  • Hakuna magonjwa wala ulemavu – Isaya 35:5-6
  • Hakuna dhambi wala majaribu –Ufunuo 21:27
  • Kuna furaha isiyo na mwisho – Zaburi 16:11
  • Tutaishi milele. Hakutakuwa na kifo kabisa – 1 Yohana 2:25; Ufunuo 20:6; Ufunuo 21:4
  • Tutaishi na Mungu na kumuona uso kwa uso – Ufunuo 22:4; Ufunuo 21:3
  • Tutakuwa kama malaika, hakuna kuoa wala kuolewa – Mathayo 22:30
    Kwa sababu hiyo hakuna matatizo ya ndoa!
  • Hakutakuwa na giza wala usiku – Ufunuo 22:5
  • Hatutakula kwa jasho. Tutakula matunda, bure – Ufunuo 2:7
  • Hakuna vita wala maadui – Isaya 11:9
  • Tutaimba nyimbo tamu kwa lugha moja – Ezra 3:11
  • Tutapokea taji za thawabu – 2 Timotheo 4:8
  • Tutashiriki karamu(sherehe kubwa) ya arusi ya Mwana-Kondoo(Ufunuo 22:4). Karamu hiyo inapita mara elfu elfu karamu zote zinazofanyika hapa duniani.
Yesu kabla ya kupaa mbinguni aliahidi kwamba anaenda kutuandalia makao yenye raha hizo(Yohana 14:2-3). Dalili zinaonesha karibu atarudi kuwachukua wote waliokata “tiketi” ya kuingia kwenye makao hayo mapya ya mbinguni(Mathayo 24:3-33). Kama umeokoka, tiketi hiyo tayari unayo. Kama hujaokoka fanya haya yafuatayo, nawe utakuwa miongoni mwa watakaoingia mbinguni Yesu atakaporudi, au ukiondoka duniani kabla ya ujio wa Yesu:
  • Kubali kuwa wewe ni mwenye dhambi – Warumi 3:23 – “Kwa maana wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.”
  • Amini kwamba Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako na akafufuka –Warumi 10:9 – “Kwa sababu ukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.”
  • Tubu dhambi zako kwa moyo wa dhati na usitende dhambi tena – Matendo 3:19 – “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.”
  • Mpokee Yesu moyoni mwako kwa imani awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako – Yohana 1:12 – “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndiyo wale waliaminio jina lake.”
Kama uko tayari kuyafanya hayo, fuatisha sala hii ya toba, utaokoka sasa hivi. Omba hivi:
Ee Mungu wa mbinguni, nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi, lakini leo natubu kwa moyo wangu wote. Naamini kuwa Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu, akafufuka ili nipate uzima wa milele. Bwana Yesu, naomba unisafishe kwa damu yako. Ninakukaribisha moyoni mwangu uwe Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Nisaidie kuishi maisha mapya ya utakatifu. Kuanzia leo namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa na kunipa “tiketi” ya kuingia mbinguni. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amina.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wote, tayari umeokoka na umepata “tiketi” ya kuingia mbinguni.

Ili uendelee vizuri na maisha ya wokovu, hakikisha unasoma Biblia na kuomba kila siku. Lakini pia ungana na waumini wengine katika Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha maisha ya utakatifu, watakuelekeza mambo mengine yakupasayo kufanya. Ubarikiwe sana.
Hivi ulikutana na magaidi waliojiua na kuahidiwa mabikra 72 huko, vipi mke wa shetani FaizaFoxy ulikutana naye?
 
Umenukuu maandiko vizuri!
Unasimlia kama umeshawahi kufika huko na kurudi duniani kumbe bado.
 
Soma uzi wangu huu:
Hapo nimezungumzia habari za C.S. Lewis. Alikuwa mpinzani wa Biblia kuliko wewe, lakini akageuka, akaamini uwepo wa Mungu na habari za mbinguni. C.S. Lewis can be professionally referred to as:
  • Professor C.S. Lewis – He was a professor of Medieval and Renaissance Literature at the University of Cambridge.
  • Scholar C.S. Lewis – He was a distinguished academic in literature and theology.
  • Author C.S. Lewis – He wrote numerous influential books, including Mere Christianity and The Chronicles of Narnia.
  • Literary Critic C.S. Lewis – He analyzed and wrote about literary works extensively.
  • Christian Apologist C.S. Lewis – He defended and explained Christianity through logical arguments.
  • Philosopher C.S. Lewis – He explored deep philosophical and theological questions in his works.
  • Theologian C.S. Lewis – His writings deeply influenced Christian thought.
Kuwa professor siyo kuwa genius. Lewis aliishia kwenye Ukristo kwa sababu ulimshawishi au alikuwa anatafuta kitu kama Paulo wa kwenye biblia aliyeanzisha injili yake ndani ya injili ya Yesu na akawa na influence kuliko hata Yesu mwenyewe. Mie nitakacho ni rahisi. Ukiwaangalia hao waliotuletea hizi ngano sasa. hawazifuati wala kuzimani baada ya kuzitumia kututawala kwa ajili ya kutunyonya milele. Mbinguni eti miili mipya. Kama ni hivyo, iweje mtu akizikwa mnamwambia ni makazi yake ya milele? Kwani, milele ina mwisho?
 
Hapa duniani mi nasikia raha ninapo lala usingizi tu.
Nikiamka mawazo ni mengi kuhusu mchakato wa maisha.
Nadhai kifo kina raha zaidi kwani usingizi wake ni mwingi zaidi.
 
Mimi huwa nina Maswali yangu huwa natatafuta mtu wa kunisaidia sijui kama wewe Setfree, unaweza nisaidia.

Naomba nitoe maelezo kisha swali.
Biblia inasema Shetani alikuwa Malaika wa Mungu mtiifu amabye baadaye ali hasi sijui hili ni kweli au la, lakini baada ya ku kukataa kupokea amri kutoka kwa Mungu, Mungu alimfukuza na akamtupa Duniani.

Adam na Hawa baada ya kuwa wamemkosea Mungu kule Bustanini Eden, nao aliwafukuza, nao wakaletwa au wako Duniani.

Sasa Swali langu, Eden ni Mbinguni au ni Hapa hapa duniani?

Na kama ni hapa hapa duniani iko nchi gani kwa ufahamu wako?

Na kama ni Mbinguni kwanini Shetani alitupwa Duniani na Adam na Hawa nao wakatupwa Duniani. Je Duniani ndio mahala pa Mungu kutupa asivyo-vithamini(Taka).

Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake, Je Shetani anaumbo gani?

Nakumbuka kwamba Shetani alimrubuni Hawa, na Hawa akamshawishi Adam. swali langu hapa ni Je, kati ya Shetani, Adama na Hawa nani alitangulia kufika Dunia hii au ani alifukuzwa kabla ya wenzake?

Mungu kauumba ulimwengu kwa uelewa wako kwanini hakumtupa Shetani sayari nyingine yoyote badala yake akamtupa hapa Duniani, ambaka Sisi wapendwa wake tunaishi? au nini lilikuwa lengo la Mungu kutuweka pamoja na shetani aliyemshindwa yeye?

Ni hayo tu kwasasa?
 
da!! ila huyu mwamba aliyepiga picha mbinguni kiboko!!!....alifikaje huko bila kukamatwa na mwamba malaika MICHAEL???,,,,mwanangu jamaa noma,,ananyatia hadi MBINGU na anaipiga picha?????,,,,sasa huyu si hatari sana??,,,kama ameweza kuingia mbinguni na kupiga picha si anaweza kuingia IKULU huku anapiga ULUZI?
Unaweza kuta yeye ndiye yule mchungaji Zumaridi anayeishi Mwanza.

Anasema yeye Mbinguni huwa anakwenda na kurudi, anaongea na Mungu kwa kiswahili na Kisukuma.
 
Watu wengi wanahangaika usiku na mchana kutafuta raha na starehe za dunia hii, ambazo ni za muda mfupi, lakini hawajishughulishi kuhakikisha wanayo “tiketi” ya kuingia mbinguni kwenye raha na furaha ya milele. Labda ni kwa sababu hawajui maisha ya mbinguni yatakuwa ya namna gani. Nakutajia hapa mambo mazuri ya mbinguni. Mbinguni...
  • Maisha ni matamu mno. Utamu huo unafanya miaka 1000 ionekane kama siku moja tu.(2 Petro 3:8)
  • Hakuna kilio wala maombolezo – Ufunuo 21:4
  • Hakuna kuzeeka. Tutakuwa na miili mipya ya utukufu – Wafilipi 3:21
  • Hakuna njaa wala kiu – Ufunuo 7:16
  • Hakuna magonjwa wala ulemavu – Isaya 35:5-6
  • Hakuna dhambi wala majaribu –Ufunuo 21:27
  • Kuna furaha isiyo na mwisho – Zaburi 16:11
  • Tutaishi milele. Hakutakuwa na kifo kabisa – 1 Yohana 2:25; Ufunuo 20:6; Ufunuo 21:4
  • Tutaishi na Mungu na kumuona uso kwa uso – Ufunuo 22:4; Ufunuo 21:3
  • Tutakuwa kama malaika, hakuna kuoa wala kuolewa – Mathayo 22:30
    Kwa sababu hiyo hakuna matatizo ya ndoa!
  • Hakutakuwa na giza wala usiku – Ufunuo 22:5
  • Hatutakula kwa jasho. Tutakula matunda, bure – Ufunuo 2:7
  • Hakuna vita wala maadui – Isaya 11:9
  • Tutaimba nyimbo tamu kwa lugha moja – Ezra 3:11
  • Tutapokea taji za thawabu – 2 Timotheo 4:8
  • Tutashiriki karamu(sherehe kubwa) ya arusi ya Mwana-Kondoo(Ufunuo 22:4). Karamu hiyo inapita mara elfu elfu karamu zote zinazofanyika hapa duniani.
Yesu kabla ya kupaa mbinguni aliahidi kwamba anaenda kutuandalia makao yenye raha hizo(Yohana 14:2-3). Dalili zinaonesha karibu atarudi kuwachukua wote waliokata “tiketi” ya kuingia kwenye makao hayo mapya ya mbinguni(Mathayo 24:3-33). Kama umeokoka, tiketi hiyo tayari unayo. Kama hujaokoka fanya haya yafuatayo, nawe utakuwa miongoni mwa watakaoingia mbinguni Yesu atakaporudi, au ukiondoka duniani kabla ya ujio wa Yesu:
  • Kubali kuwa wewe ni mwenye dhambi – Warumi 3:23 – “Kwa maana wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.”
  • Amini kwamba Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako na akafufuka –Warumi 10:9 – “Kwa sababu ukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.”
  • Tubu dhambi zako kwa moyo wa dhati na usitende dhambi tena – Matendo 3:19 – “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.”
  • Mpokee Yesu moyoni mwako kwa imani awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako – Yohana 1:12 – “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndiyo wale waliaminio jina lake.”
Kama uko tayari kuyafanya hayo, fuatisha sala hii ya toba, utaokoka sasa hivi. Omba hivi:
Ee Mungu wa mbinguni, nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi, lakini leo natubu kwa moyo wangu wote. Naamini kuwa Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu, akafufuka ili nipate uzima wa milele. Bwana Yesu, naomba unisafishe kwa damu yako. Ninakukaribisha moyoni mwangu uwe Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Nisaidie kuishi maisha mapya ya utakatifu. Kuanzia leo namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa na kunipa “tiketi” ya kuingia mbinguni. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amina.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wote, tayari umeokoka na umepata “tiketi” ya kuingia mbinguni.

Ili uendelee vizuri na maisha ya wokovu, hakikisha unasoma Biblia na kuomba kila siku. Lakini pia ungana na waumini wengine katika Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha maisha ya utakatifu, watakuelekeza mambo mengine yakupasayo kufanya. Ubarikiwe sana.
Hivi kweli mbakaji Muddy yupo mbinguni kweli firahuni yule?
 
Back
Top Bottom