Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Habari gani wakuu
Maisha changa Moto na Katika kuzitatua nikajikuta nimevuka mstari mwekundu na kujikuta nipo police station
Baada ya kushindana na wale bwana wazee wa nguo za kaki kwenye maswala ya pasu wakaapa kuni fanyia siyo
Nakumbuka mmoja wao akasema Sasa kwasababu wewe ni mtata kwenye maswala ya mpalaso
Basi Sasa movie ndiyo Lina anza.. akaendelea unalijua lile picha la commando la anord Schwarzenegger?
Nika muuliza lipi ilo?
Akaniambia lile Lina anzia polini. Jamaa ame beba gogo begani,anasogea mbele kidogo analitua chini,
Anapiga shoka la kwanza,shoka la pili, analinyenyua
Analitazama lile shoka,Kisha anamwona Jean/binti yake ndani ya shoka jeupeee
Anageuka anankumbatiwa lakini hawaja kaa sawa Kuna chopa zinaingia pale.,. Unalijua Hilo picha
Nikamjibu Hilo nalijua nipicha la kitambo sana.,,
Akacheka kicheko Cha husda na hasira Kisha akasema Sasa ndiyo linaanza..
Baada ya mda nikatinga kituoni siku mbili baadae nikatinga mahakamani baada ya kusomewa kesi na kulikana shtaka
Nawengine kufanyiwa hivyo hivyo tukaingizwa kwenye kalandinga na hatukuludishwa kituoni Tena Bari tulielekea upande mwingine
Baada ya safari ya mda wa saa moja na nusu tukashushwa mbele ya mjengo mkuubwa na wenye geti na maaskali nje
Nyuma yangu lika skika jamaa moja likiwa limepigwa pingu likasema kwa sauti oyaaa afande mudi
fungua chapu geti Nina njaa nataka nikale ugaliii""
nikamuuliza jamaa aliyekuwa amekaa upande wangu wa kulia kwani hapa wapi
jamaa akaniuliza hujawaikuja huku? nikamwambia ndiyo akaniambia hapa bwana ni jera Kama ume wai kuliskia jina la jera x ndiyo hapa"
Kisha ikaskika sauti nje ya gali/kalandinga ikisema tokeni nje na ukishuka unaluka kichula mpaka kwenye ngazi zile pale getini Ila usiingie getini.
basi kijana wa kwanza akatoka na kufuata utaratibu nawengine woote hivyo hivyo
baada ya mda kidogo tukiwa tume chuchumaa akaskika afande wa ndani ya geti akisema
ukiitwa jina unaingia unaacha ulicho nacho hapa counter Kisha una vuka geti la pili una chuchu maa
basi utaratibu ukafwatwa tukawa wote sasa tume vuka geti la pili
basi bwana tukiwa tume chuchumaa pale tukaona watu kibao kwenye kwenye cells
gafra akatokea askali jela mwingine nakusema vueni nguo wekeni hapo Kisha geukieni ukuta mkiwa mmechuchu maa"
hapo ndipo nilipo ishiwa nguvu aiseeh"
basi nikanmwona mtu wakwanza kavua mpaka woote tukamaliza naku chuchumaa tukiwa tume ugeukia ukuta
kisha Yule askali jera akaanza kuikagua nguo Hadi nguo huku akipitia kiunoni mpaka mkunjo wa mguu
nakumbuka alisema Kama hamja kabidhi vyote pale counter Basi chochote nitakacho kikuta mmekiacha kwenye nguo nichakwangu"
aliendelea ku search nguo huku akitupigisha story hii ilionyesha wazi kabisa kwamba hata yeye alijiskia aibu kwa kile alichokuwa ana fanya
baada ya kujilidhisha akatuambia Sasa Ina meni Nione vinyeo vyenu Kama hamja ficha kitu huko""
basi yule wa kwanza akaanza bila kusita kufanya hivyo.
nakibaya zaidi kulikuwa na wazee Kama watatu watu wazima nawao wali fanya hivyo kiukweli lilikuwa Jambo baya Sana na lakuaibisha sana na lisilo sahaulika
baada ya hapo tuka vaa nguo na kuongozwa kwenye mess/sehemu ya chakula
hapo akaitwa mpishi aka tupakulia maharage ambayo yalionekana haya kuungwa Wala kuchambuliwa
Pamoja na ugari/dona chakula hicho kilikuwa kime pakuliwa kwenye bakuri za aluminium zilizo bondeka,bondeka na kutoboka
kwahiyo wakati mwingine zilimwaga mchuzi wa maharage
baada ya kupewa chakula hicho nilkata Yonge la ugali nilipo lisogeza karibu na mdomo nikaskia harufu ya mafuta ya taa japo skujua inatokea wapi
kati ya maharage au ugari?
Nilipo ona wengine/wenzangu wanaendelea kufakamia chakula hicho nami Nika amua kufanya hivyo
Lakini nilipo kata tonge la pili na kulinusa ndipo Nika gundua kwamba ule ugari/unga
ume changanywa na mafuta ya taa sjui kwa Nini ? Nikaona ntajua tu mda ukifika
baada ya chakula Kuna jamaa kilimshinda kabisa kile chakula.
lakini aliskika mfungwa mmoja akisema utazoea tu na utakula chakula hicho vizuli tu hata sisi tulikuwa Kama wewe
basi kwasababu tulikuwa tume fika mda ambao wafungwa walikuwa wameingia ndani/cells
afande magerez pale akawaita nyampala waote nje na kuanza kutu kabidhi kwao
Nyampara wao ndiyo walio amua kwamba huyu atakaa cell frani na huyu cell frani
baada ya hapo Mimi nilichaguliwa cell no 1 lakini cell yenyewe nikama bweni au darasa/godown
nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota...
itaendelea wakuu...
Maisha changa Moto na Katika kuzitatua nikajikuta nimevuka mstari mwekundu na kujikuta nipo police station
Baada ya kushindana na wale bwana wazee wa nguo za kaki kwenye maswala ya pasu wakaapa kuni fanyia siyo
Nakumbuka mmoja wao akasema Sasa kwasababu wewe ni mtata kwenye maswala ya mpalaso
Basi Sasa movie ndiyo Lina anza.. akaendelea unalijua lile picha la commando la anord Schwarzenegger?
Nika muuliza lipi ilo?
Akaniambia lile Lina anzia polini. Jamaa ame beba gogo begani,anasogea mbele kidogo analitua chini,
Anapiga shoka la kwanza,shoka la pili, analinyenyua
Analitazama lile shoka,Kisha anamwona Jean/binti yake ndani ya shoka jeupeee
Anageuka anankumbatiwa lakini hawaja kaa sawa Kuna chopa zinaingia pale.,. Unalijua Hilo picha
Nikamjibu Hilo nalijua nipicha la kitambo sana.,,
Akacheka kicheko Cha husda na hasira Kisha akasema Sasa ndiyo linaanza..
Baada ya mda nikatinga kituoni siku mbili baadae nikatinga mahakamani baada ya kusomewa kesi na kulikana shtaka
Nawengine kufanyiwa hivyo hivyo tukaingizwa kwenye kalandinga na hatukuludishwa kituoni Tena Bari tulielekea upande mwingine
Baada ya safari ya mda wa saa moja na nusu tukashushwa mbele ya mjengo mkuubwa na wenye geti na maaskali nje
Nyuma yangu lika skika jamaa moja likiwa limepigwa pingu likasema kwa sauti oyaaa afande mudi
fungua chapu geti Nina njaa nataka nikale ugaliii""
nikamuuliza jamaa aliyekuwa amekaa upande wangu wa kulia kwani hapa wapi
jamaa akaniuliza hujawaikuja huku? nikamwambia ndiyo akaniambia hapa bwana ni jera Kama ume wai kuliskia jina la jera x ndiyo hapa"
Kisha ikaskika sauti nje ya gali/kalandinga ikisema tokeni nje na ukishuka unaluka kichula mpaka kwenye ngazi zile pale getini Ila usiingie getini.
basi kijana wa kwanza akatoka na kufuata utaratibu nawengine woote hivyo hivyo
baada ya mda kidogo tukiwa tume chuchumaa akaskika afande wa ndani ya geti akisema
ukiitwa jina unaingia unaacha ulicho nacho hapa counter Kisha una vuka geti la pili una chuchu maa
basi utaratibu ukafwatwa tukawa wote sasa tume vuka geti la pili
basi bwana tukiwa tume chuchumaa pale tukaona watu kibao kwenye kwenye cells
gafra akatokea askali jela mwingine nakusema vueni nguo wekeni hapo Kisha geukieni ukuta mkiwa mmechuchu maa"
hapo ndipo nilipo ishiwa nguvu aiseeh"
basi nikanmwona mtu wakwanza kavua mpaka woote tukamaliza naku chuchumaa tukiwa tume ugeukia ukuta
kisha Yule askali jera akaanza kuikagua nguo Hadi nguo huku akipitia kiunoni mpaka mkunjo wa mguu
nakumbuka alisema Kama hamja kabidhi vyote pale counter Basi chochote nitakacho kikuta mmekiacha kwenye nguo nichakwangu"
aliendelea ku search nguo huku akitupigisha story hii ilionyesha wazi kabisa kwamba hata yeye alijiskia aibu kwa kile alichokuwa ana fanya
baada ya kujilidhisha akatuambia Sasa Ina meni Nione vinyeo vyenu Kama hamja ficha kitu huko""
basi yule wa kwanza akaanza bila kusita kufanya hivyo.
nakibaya zaidi kulikuwa na wazee Kama watatu watu wazima nawao wali fanya hivyo kiukweli lilikuwa Jambo baya Sana na lakuaibisha sana na lisilo sahaulika
baada ya hapo tuka vaa nguo na kuongozwa kwenye mess/sehemu ya chakula
hapo akaitwa mpishi aka tupakulia maharage ambayo yalionekana haya kuungwa Wala kuchambuliwa
Pamoja na ugari/dona chakula hicho kilikuwa kime pakuliwa kwenye bakuri za aluminium zilizo bondeka,bondeka na kutoboka
kwahiyo wakati mwingine zilimwaga mchuzi wa maharage
baada ya kupewa chakula hicho nilkata Yonge la ugali nilipo lisogeza karibu na mdomo nikaskia harufu ya mafuta ya taa japo skujua inatokea wapi
kati ya maharage au ugari?
Nilipo ona wengine/wenzangu wanaendelea kufakamia chakula hicho nami Nika amua kufanya hivyo
Lakini nilipo kata tonge la pili na kulinusa ndipo Nika gundua kwamba ule ugari/unga
ume changanywa na mafuta ya taa sjui kwa Nini ? Nikaona ntajua tu mda ukifika
baada ya chakula Kuna jamaa kilimshinda kabisa kile chakula.
lakini aliskika mfungwa mmoja akisema utazoea tu na utakula chakula hicho vizuli tu hata sisi tulikuwa Kama wewe
basi kwasababu tulikuwa tume fika mda ambao wafungwa walikuwa wameingia ndani/cells
afande magerez pale akawaita nyampala waote nje na kuanza kutu kabidhi kwao
Nyampara wao ndiyo walio amua kwamba huyu atakaa cell frani na huyu cell frani
baada ya hapo Mimi nilichaguliwa cell no 1 lakini cell yenyewe nikama bweni au darasa/godown
nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota...
itaendelea wakuu...