Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inchi imepata Uhuru lakini sheria Ni zilezile za mkolononiNa hiyo kuchuchumia masaa mawili si miguu inakufa ganzi. Wagonjwa, wazee, walemavu vipi kuhusu kuchuchumaa assembly?
Jela zetu inabidi ziwe na balance kati ya punishment na rebilitation. Pamoja na adhabu ya kufungwa inabidi kuwajenga wafungwa wawe raia wema sababu mwisho wa siku wengi watarudi uraiani.
Inaumiza Sana mkuu Yani sio kidogo na kinacho umiza zaidi nikwamba hata baada ya kusingiziwa na kusita hukohii ni thread niliyosoma kila comment ningeamua kumwaga like ningevunja record ya yule jamaa mmwaga like
aisee gerezani sio pw just mtu umezingiziwa au uko mahabusu for years na ujafanya kosa unapitia kipindi kigumu namna hii .....ni huzuni
Mkuu Africa hatuja fikia level ya kujitawala bado tuna paswa kutawaliwaJela za Tanzania na kwingineko zimevuka mipaka ya kumuadhibu mhalifu na kuingia kwenye kuutweza utu wa binadamu hivi mfano huyo anayewaambia wafungwa wainame awakague mpaka mkunduni hivi yeye mwenyewe sijui anafikiriaje kuhusu hiyo kazi yake,anawachungulia mpaka watu wenye umri wa zaidi ya wa baba yake,na viongozi wetu wanayajua haya na wala hawana habari nayo sijui pengine wanayaacha ionekane jela ni jehanamu kuwa discourage watu wasifanye makosa ya kuwapeleka huko
Duh unga wa ugali + cementMkuu Africa hatuja fikia level ya kujitawala bado tuna paswa kutawaliwa
Kuna jera ipo huko Zambia watu wana changanyiwa unga wa ugali na cement
Huwezi amini mkuu ngoja nifuatilie Ni gereza gani ntakujuza mpaka jina
Huwezi amini mkuuDuh unga wa ugali + cement
Lengo ni nini la unga na cementMkuu Africa hatuja fikia level ya kujitawala bado tuna paswa kutawaliwa
Kuna jera ipo huko Zambia watu wana changanyiwa unga wa ugali na cement
Huwezi amini mkuu ngoja nifuatilie Ni gereza gani ntakujuza mpaka jina
Hicho Ni chakula ambacho mfungwa hupewa kwania ya kumuuwa talatibu bila yeye kujuaLengo ni nini la unga na cement
Lo! they get rid of them in that develish mannerHicho Ni chakula ambacho mfungwa hupewa kwania ya kumuuwa talatibu bila yeye kujua
Kumbuka sio wafungwa wote hupewa isipo kuwa wale walio hukumiwa maisha
Na wale majambazi na wauwaji wakiwemo nawale walio ingia jera mala kadhaa huchukuliwa Kama masugu
Here is AfricaLo! they get rid of them in that develish manner