Yajue Maisha yalivyo jela

Yajue Maisha yalivyo jela

Kwa nchi kama Tanzania kuishi vyema sio sababu ya kutokufika Ngome mkuu. Hapa Tz mtu akiamua uende Ngome hata kesho utaenda tu.
Ndo maana nimesema
Kwa nchi kama Tanzania kuishi vyema sio sababu ya kutokufika Ngome mkuu. Hapa Tz mtu akiamua uende Ngome hata kesho utaenda tu.
Tumuombe MUNGU MWENYEZI anao uwezo wa kutukinga na hao wabaya
 
Habari gani wakuu

Maisha changa Moto na Katika kuzitatua nikajikuta nimevuka mstari mwekundu na kujikuta nipo police station

Baada ya kushindana na wale bwana wazee wa nguo za kaki kwenye maswala ya pasu wakaapa kuni fanyia siyo

Nakumbuka mmoja wao akasema Sasa kwasababu wewe ni mtata kwenye maswala ya mpalaso

Basi Sasa movie ndiyo Lina anza.. akaendelea unalijua lile picha la commando la anord Schwarzenegger?

Nika muuliza lipi ilo?

Akaniambia lile Lina anzia polini. Jamaa ame beba gogo begani,anasogea mbele kidogo analitua chini,

Anapiga shoka la kwanza,shoka la pili, analinyenyua

Analitazama lile shoka,Kisha anamwona Jean/binti yake ndani ya shoka jeupeee

Anageuka anankumbatiwa lakini hawaja kaa sawa Kuna chopa zinaingia pale.,. Unalijua Hilo picha

Nikamjibu Hilo nalijua nipicha la kitambo sana.,,

Akacheka kicheko Cha husda na hasira Kisha akasema Sasa ndiyo linaanza..

Baada ya mda nikatinga kituoni siku mbili baadae nikatinga mahakamani baada ya kusomewa kesi na kulikana shtaka

Nawengine kufanyiwa hivyo hivyo tukaingizwa kwenye kalandinga na hatukuludishwa kituoni Tena Bari tulielekea upande mwingine

Baada ya safari ya mda wa saa moja na nusu tukashushwa mbele ya mjengo mkuubwa na wenye geti na maaskali nje
Nyuma yangu lika skika jamaa moja likiwa limepigwa pingu likasema kwa sauti oyaaa afande mudi

fungua chapu geti Nina njaa nataka nikale ugaliii""

nikamuuliza jamaa aliyekuwa amekaa upande wangu wa kulia kwani hapa wapi

jamaa akaniuliza hujawaikuja huku? nikamwambia ndiyo akaniambia hapa bwana ni jera Kama ume wai kuliskia jina la jera x ndiyo hapa"

Kisha ikaskika sauti nje ya gali/kalandinga ikisema tokeni nje na ukishuka unaluka kichula mpaka kwenye ngazi zile pale getini Ila usiingie getini.

basi kijana wa kwanza akatoka na kufuata utaratibu nawengine woote hivyo hivyo

baada ya mda kidogo tukiwa tume chuchumaa akaskika afande wa ndani ya geti akisema

ukiitwa jina unaingia unaacha ulicho nacho hapa counter Kisha una vuka geti la pili una chuchu maa

basi utaratibu ukafwatwa tukawa wote sasa tume vuka geti la pili

basi bwana tukiwa tume chuchumaa pale tukaona watu kibao kwenye kwenye cells

gafra akatokea askali jela mwingine nakusema vueni nguo wekeni hapo Kisha geukieni ukuta mkiwa mmechuchu maa"

hapo ndipo nilipo ishiwa nguvu aiseeh"

basi nikanmwona mtu wakwanza kavua mpaka woote tukamaliza naku chuchumaa tukiwa tume ugeukia ukuta

kisha Yule askali jera akaanza kuikagua nguo Hadi nguo huku akipitia kiunoni mpaka mkunjo wa mguu

nakumbuka alisema Kama hamja kabidhi vyote pale counter Basi chochote nitakacho kikuta mmekiacha kwenye nguo nichakwangu"

aliendelea ku search nguo huku akitupigisha story hii ilionyesha wazi kabisa kwamba hata yeye alijiskia aibu kwa kile alichokuwa ana fanya

baada ya kujilidhisha akatuambia Sasa Ina meni Nione vinyeo vyenu Kama hamja ficha kitu huko""

basi yule wa kwanza akaanza bila kusita kufanya hivyo.

nakibaya zaidi kulikuwa na wazee Kama watatu watu wazima nawao wali fanya hivyo kiukweli lilikuwa Jambo baya Sana na lakuaibisha sana na lisilo sahaulika

baada ya hapo tuka vaa nguo na kuongozwa kwenye mess/sehemu ya chakula

hapo akaitwa mpishi aka tupakulia maharage ambayo yalionekana haya kuungwa Wala kuchambuliwa

Pamoja na ugari/dona chakula hicho kilikuwa kime pakuliwa kwenye bakuri za aluminium zilizo bondeka,bondeka na kutoboka

kwahiyo wakati mwingine zilimwaga mchuzi wa maharage

baada ya kupewa chakula hicho nilkata Yonge la ugali nilipo lisogeza karibu na mdomo nikaskia harufu ya mafuta ya taa japo skujua inatokea wapi

kati ya maharage au ugari?

Nilipo ona wengine/wenzangu wanaendelea kufakamia chakula hicho nami Nika amua kufanya hivyo
Lakini nilipo kata tonge la pili na kulinusa ndipo Nika gundua kwamba ule ugari/unga

ume changanywa na mafuta ya taa sjui kwa Nini ? Nikaona ntajua tu mda ukifika

baada ya chakula Kuna jamaa kilimshinda kabisa kile chakula.

lakini aliskika mfungwa mmoja akisema utazoea tu na utakula chakula hicho vizuli tu hata sisi tulikuwa Kama wewe

basi kwasababu tulikuwa tume fika mda ambao wafungwa walikuwa wameingia ndani/cells

afande magerez pale akawaita nyampala waote nje na kuanza kutu kabidhi kwao

Nyampara wao ndiyo walio amua kwamba huyu atakaa cell frani na huyu cell frani

baada ya hapo Mimi nilichaguliwa cell no 1 lakini cell yenyewe nikama bweni au darasa/godown

nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota...

itaendelea wakuu...
Pole sana! Wahuni hawakukuita mchumba mchumbaa?..au story za kijiweni tu?.
 
...Yajue jinsi maisha yalivyo jera no 2

Nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota..

Kwanza ni mionekano ya watu waliopo ndani ya gereza ilini shangaza Sana

Vichwa vyao vyote vimenyolewa vipara na langizao nikama wote Wana fanana/wamepauka

Mithili ya mtu anaye shinda kwenye mashine za kusaga akajifuta vumbi ya unga lakini Kuna Ile vumbi kwa mbaali inayo bakia

Baada ya kusogea zaidi pale ndani nikaona vipande vya vimagoro vile vyembamba/ulimi wambwa. vipande vyake Sasa

Vime kusanywa sehemu lundo Kama mchanga ulio mwagwa na na tipa kwenye ukuta wa Ile cell yenyewe

Niliona watu wengi wakiwa Katika mwonekano wa kukata tamaa nyuso zao zime poteza matumaini ya kuishi kabisa

Walionekana wamekata tamaa na Hawa ijui kesho hatima yao hakika jera nikuzimu jera sio duniani jera ni upade wa pili wa dunia

Nikiwa nime zubaa alisogea Yule nyampala aliye nipokea pale nje na kuniambia Sasa nataka niku tambulisheni kwa viongozi wa gereza

Akaanza kutu tambulisha mmoja baada ya mwingine kuanzia kierehere mpaka nyampala mkuu

Baada ya kumaliza kutu tambulisha Yule nyampala msaidizi akatu peleka kwa kiingozi mwingine

Ambaye nikiongozi wa nidhamu hapo cell na jukumu lake nikuku uliza ulikuwa una fanya kazi gani huko mtaani/urain

Kwanini umefika pale gerezani na nimshauri pia anaweza kuku shauri jinsi ya kui epuka kesi yako Kama Ina wezekana

Lakini pia huwa na maswali ya kinafiki kwamfano anaweza kuku uliza pale dilishani Kuna nondo ngapi?

Ukijibu hovyo utachezea baraa Mambo ya jera hayo

Basi baada ya kukutanishwa na viongozi wote wa cell ndio tuka pelekwa kwa nyampala mkuu na huyu ndiye mkuu wa gereza kwa upande wa wa fungwa wote na mahabusu

Wale viongozi pamoja na Yule mkuu wao wakatufundisha Sheria zote za gereza na jinsi ya kuishi gerezani sheria a zenyewe nikama ifwatavyo

1)kiongozi yeyote wa gerezani awe mkubwa au mdogo chochote atakacho kuambia imatakiwa uitikie ndiyo bwana mkubwa

kinyume chake ni makofi 15 mazito ya kiatu Cha tairi ya gali/gurubasi ya mgongoni/mbata wao waita hivyo"

2)ukiwa gerezani iwe chooni unajisaidia au popote pale ukiskia filimbi inatakiwa ulale kifudi fudi zingatia popote pale"

kwamaana hiyo Kama nu chooni hata kimba au mkojo wewe lalia

kinyume na hapo kitakacho kukuta ni shida"

3) ukiingia chooni hauruhusiwi kukojoa umesimama Ina takiwa ukojoe umechuchumaa"

na unapo kojoa hautakiwi mkojo usikike kinyume chake ni tatizo"

4)kuna kuwa na ndoo ya maji na vikombe viwili kimoja Cha kuchotea na kingine ni chakunywea ukichukua kikombe Cha kunywea ukachotea kichapo"

Na ukichukua kikombe Cha kuchotea ukanywea kichapo"

Unacho takiwa kufanya nikuchukua kikombe Cha kuchotea unachota maji.

Baada ya kuchota maji kwenye ndoo unaya miminia kwenye kikombe Cha kunywea.

Baada ya kuya mimina una kiweka kikombe juu ya mfuniko wa ndoo/juu ya ndoo kwa kuki funika/juuchini Kisha unakunywa maji

Shariti lingine usichote maji ambayo huwezi Kuya maliza kuyanywa kinyume chake utaisoma namba

5)UKipiga makofi gerezani tafsiri yake nikwamba una neno/au unataka kuzungumza Jambo

Kwahiyo UKipiga makofi watu wote huacha kuzungumza na kuku tazama wewe wakusikilize una semaje?

Hivyo gerezani kuwa makini wakati wa kuuwa mbu aliye tua kwenye ugoko wako yasije yaka kukuta

6) gerezani kuna ushoga na mashoga wapo lakini nikosa kumwita shoga. shoga"

Atakacho kifanya huyo shoga nikwenda kwa nyampala mkuu nakuku shtaki kumtaka kimapenzi ili na wewe uongezewe siku gerezani ili uje uwe ashoga Kama alivyo yeye

so unakuwa unawajua mashoga Ila una kausha kwani hizo ni mboga za nyapara

7)gerezani hauruhusiwi kupiga story mda wa kulala

8)gerezani ukifika mda wa I abada ni lazima uhudhulie hasa ibada ya kabra ya kulala

Haijarishi ni ibada ya kikristo au kiisramu chamsingi usikilize tu

9)unaopo enda chooni ukii kuta ndara ipo mlangoni na zimeangalia ndani/kuelekea chooni usii ngie Ina maanisha Kuna mtu

Kinyume chake ingia hiyo itakuwa Ina maanisha hakuna mtu

10)jera Kama utakuwa na tatizo au shida yoyote hauruhusiwi kwenda kwa askali magereza moja kwa moja

unacho takiwa kufanya nikwenda kwa Nyampala Kisha Nyampala atampa taarifa nyampala mkuu

Kisha Nyampala mkuu ndiye ata Kaye fikisha taarifa kwa Askari wa gereza kinyume na hapo nitatizo

Na hapo ndipo ushoga unapoanzia kwamba mfungwa

anaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzie/nyampala

Na ili mfungwa huyo atoe taarifa kwa askali magereza nilazima apitie kwa Nyapala

na nyampala huyo huyo ndiye anaye mla mfungwa

je tuta zuia ushoga jera kweli?

Ndiyo maana wanasema
Kama jera ni shule mpeleke mwanao sio mwana wa mwenzio

Na yafwatayo nimengine ambayo nikama sheria ndani ya jera....

Itaendelea....
 
...Yajue jinsi maisha yalivyo jera no 2

Nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota..

Kwanza ni mionekano ya watu waliopo ndani ya gereza ilini shangaza Sana

Vichwa vyao vyote vimenyolewa vipara na langizao nikama wote Wana fanana/wamepauka

Mithili ya mtu anaye shinda kwenye mashine za kusaga akajifuta vumbi ya unga lakini Kuna Ile vumbi kwa mbaali inayo bakia

Baada ya kusogea zaidi pale ndani nikaona vipande vya vimagoro vile vyembamba/ulimi wambwa. vipande vyake Sasa

Vime kusanywa sehemu lundo Kama mchanga ulio mwagwa na na tipa kwenye ukuta wa Ile cell yenyewe

Niliona watu wengi wakiwa Katika mwonekano wa kukata tamaa nyuso zao zime poteza matumaini ya kuishi kabisa

Walionekana wamekata tamaa na Hawa ijui kesho hatima yao hakika jera nikuzimu jera sio duniani jera ni upade wa pili wa dunia

Nikiwa nime zubaa alisogea Yule nyampala aliye nipokea pale nje na kuniambia Sasa nataka niku tambulisheni kwa viongozi wa gereza

Akaanza kutu tambulisha mmoja baada ya mwingine kuanzia kierehere mpaka nyampala mkuu

Baada ya kumaliza kutu tambulisha Yule nyampala msaidizi akatu peleka kwa kiingozi mwingine

Ambaye nikiongozi wa nidhamu hapo cell na jukumu lake nikuku uliza ulikuwa una fanya kazi gani huko mtaani/urain

Kwanini umefika pale gerezani na nimshauri pia anaweza kuku shauri jinsi ya kui epuka kesi yako Kama Ina wezekana

Lakini pia huwa na maswali ya kinafiki kwamfano anaweza kuku uliza pale dilishani Kuna nondo ngapi?

Ukijibu hovyo utachezea baraa Mambo ya jera hayo

Basi baada ya kukutanishwa na viongozi wote wa cell ndio tuka pelekwa kwa nyampala mkuu na huyu ndiye mkuu wa gereza kwa upande wa wa fungwa wote na mahabusu

Wale viongozi pamoja na Yule mkuu wao wakatufundisha Sheria zote za gereza na jinsi ya kuishi gerezani sheria a zenyewe nikama ifwatavyo

1)kiongozi yeyote wa gerezani awe mkubwa au mdogo chochote atakacho kuambia imatakiwa uitikie ndiyo bwana mkubwa

kinyume chake ni makofi 15 mazito ya kiatu Cha tairi ya gali/gurubasi ya mgongoni/mbata wao waita hivyo"

2)ukiwa gerezani iwe chooni unajisaidia au popote pale ukiskia filimbi inatakiwa ulale kifudi fudi zingatia popote pale"

kwamaana hiyo Kama nu chooni hata kimba au mkojo wewe lalia

kinyume na hapo kitakacho kukuta ni shida"

3) ukiingia chooni hauruhusiwi kukojoa umesimama Ina takiwa ukojoe umechuchumaa"

na unapo kojoa hautakiwi mkojo usikike kinyume chake ni tatizo"

4)kuna kuwa na ndoo ya maji na vikombe viwili kimoja Cha kuchotea na kingine ni chakunywea ukichukua kikombe Cha kunywea ukachotea kichapo"

Na ukichukua kikombe Cha kuchotea ukanywea kichapo"

Unacho takiwa kufanya nikuchukua kikombe Cha kuchotea unachota maji.

Baada ya kuchota maji kwenye ndoo unaya miminia kwenye kikombe Cha kunywea.

Baada ya kuya mimina una kiweka kikombe juu ya mfuniko wa ndoo/juu ya ndoo kwa kuki funika/juuchini Kisha unakunywa maji

Shariti lingine usichote maji ambayo huwezi Kuya maliza kuyanywa kinyume chake utaisoma namba

5)UKipiga makofi gerezani tafsiri yake nikwamba una neno/au unataka kuzungumza Jambo

Kwahiyo UKipiga makofi watu wote huacha kuzungumza na kuku tazama wewe wakusikilize una semaje?

Hivyo gerezani kuwa makini wakati wa kuuwa mbu aliye tua kwenye ugoko wako yasije yaka kukuta

6) gerezani kuna ushoga na mashoga wapo lakini nikosa kumwita shoga. shoga"

Atakacho kifanya huyo shoga nikwenda kwa nyampala mkuu nakuku shtaki kumtaka kimapenzi ili na wewe uongezewe siku gerezani ili uje uwe ashoga Kama alivyo yeye

so unakuwa unawajua mashoga Ila una kausha kwani hizo ni mboga za nyapara

7)gerezani hauruhusiwi kupiga story mda wa kulala

8)gerezani ukifika mda wa I abada ni lazima uhudhulie hasa ibada ya kabra ya kulala

Haijarishi ni ibada ya kikristo au kiisramu chamsingi usikilize tu

9)unaopo enda chooni ukii kuta ndara ipo mlangoni na zimeangalia ndani/kuelekea chooni usii ngie Ina maanisha Kuna mtu

Kinyume chake ingia hiyo itakuwa Ina maanisha hakuna mtu

10)jera Kama utakuwa na tatizo au shida yoyote hauruhusiwi kwenda kwa askali magereza moja kwa moja

unacho takiwa kufanya nikwenda kwa Nyampala Kisha Nyampala atampa taarifa nyampala mkuu

Kisha Nyampala mkuu ndiye ata Kaye fikisha taarifa kwa Askari wa gereza kinyume na hapo nitatizo

Na hapo ndipo ushoga unapoanzia kwamba mfungwa

anaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzie/nyampala

Na ili mfungwa huyo atoe taarifa kwa askali magereza nilazima apitie kwa Nyapala

na nyampala huyo huyo ndiye anaye mla mfungwa

je tuta zuia ushoga jera kweli?

Ndiyo maana wanasema
Kama jera ni shule mpeleke mwanao sio mwana wa mwenzio

Na yafwatayo nimengine ambayo nikama sheria ndani ya jera....

Itaendelea....
Mh
 
...Yajue jinsi maisha yalivyo jera no 2

Nilipo fika kwenye ule mlango wa cell Ile na kutazama ndani sikuamini na ilikuwa Kama naota..

Kwanza ni mionekano ya watu waliopo ndani ya gereza ilini shangaza Sana

Vichwa vyao vyote vimenyolewa vipara na langizao nikama wote Wana fanana/wamepauka

Mithili ya mtu anaye shinda kwenye mashine za kusaga akajifuta vumbi ya unga lakini Kuna Ile vumbi kwa mbaali inayo bakia

Baada ya kusogea zaidi pale ndani nikaona vipande vya vimagoro vile vyembamba/ulimi wambwa. vipande vyake Sasa

Vime kusanywa sehemu lundo Kama mchanga ulio mwagwa na na tipa kwenye ukuta wa Ile cell yenyewe

Niliona watu wengi wakiwa Katika mwonekano wa kukata tamaa nyuso zao zime poteza matumaini ya kuishi kabisa

Walionekana wamekata tamaa na Hawa ijui kesho hatima yao hakika jera nikuzimu jera sio duniani jera ni upade wa pili wa dunia

Nikiwa nime zubaa alisogea Yule nyampala aliye nipokea pale nje na kuniambia Sasa nataka niku tambulisheni kwa viongozi wa gereza

Akaanza kutu tambulisha mmoja baada ya mwingine kuanzia kierehere mpaka nyampala mkuu

Baada ya kumaliza kutu tambulisha Yule nyampala msaidizi akatu peleka kwa kiingozi mwingine

Ambaye nikiongozi wa nidhamu hapo cell na jukumu lake nikuku uliza ulikuwa una fanya kazi gani huko mtaani/urain

Kwanini umefika pale gerezani na nimshauri pia anaweza kuku shauri jinsi ya kui epuka kesi yako Kama Ina wezekana

Lakini pia huwa na maswali ya kinafiki kwamfano anaweza kuku uliza pale dilishani Kuna nondo ngapi?

Ukijibu hovyo utachezea baraa Mambo ya jera hayo

Basi baada ya kukutanishwa na viongozi wote wa cell ndio tuka pelekwa kwa nyampala mkuu na huyu ndiye mkuu wa gereza kwa upande wa wa fungwa wote na mahabusu

Wale viongozi pamoja na Yule mkuu wao wakatufundisha Sheria zote za gereza na jinsi ya kuishi gerezani sheria a zenyewe nikama ifwatavyo

1)kiongozi yeyote wa gerezani awe mkubwa au mdogo chochote atakacho kuambia imatakiwa uitikie ndiyo bwana mkubwa

kinyume chake ni makofi 15 mazito ya kiatu Cha tairi ya gali/gurubasi ya mgongoni/mbata wao waita hivyo"

2)ukiwa gerezani iwe chooni unajisaidia au popote pale ukiskia filimbi inatakiwa ulale kifudi fudi zingatia popote pale"

kwamaana hiyo Kama nu chooni hata kimba au mkojo wewe lalia

kinyume na hapo kitakacho kukuta ni shida"

3) ukiingia chooni hauruhusiwi kukojoa umesimama Ina takiwa ukojoe umechuchumaa"

na unapo kojoa hautakiwi mkojo usikike kinyume chake ni tatizo"

4)kuna kuwa na ndoo ya maji na vikombe viwili kimoja Cha kuchotea na kingine ni chakunywea ukichukua kikombe Cha kunywea ukachotea kichapo"

Na ukichukua kikombe Cha kuchotea ukanywea kichapo"

Unacho takiwa kufanya nikuchukua kikombe Cha kuchotea unachota maji.

Baada ya kuchota maji kwenye ndoo unaya miminia kwenye kikombe Cha kunywea.

Baada ya kuya mimina una kiweka kikombe juu ya mfuniko wa ndoo/juu ya ndoo kwa kuki funika/juuchini Kisha unakunywa maji

Shariti lingine usichote maji ambayo huwezi Kuya maliza kuyanywa kinyume chake utaisoma namba

5)UKipiga makofi gerezani tafsiri yake nikwamba una neno/au unataka kuzungumza Jambo

Kwahiyo UKipiga makofi watu wote huacha kuzungumza na kuku tazama wewe wakusikilize una semaje?

Hivyo gerezani kuwa makini wakati wa kuuwa mbu aliye tua kwenye ugoko wako yasije yaka kukuta

6) gerezani kuna ushoga na mashoga wapo lakini nikosa kumwita shoga. shoga"

Atakacho kifanya huyo shoga nikwenda kwa nyampala mkuu nakuku shtaki kumtaka kimapenzi ili na wewe uongezewe siku gerezani ili uje uwe ashoga Kama alivyo yeye

so unakuwa unawajua mashoga Ila una kausha kwani hizo ni mboga za nyapara

7)gerezani hauruhusiwi kupiga story mda wa kulala

8)gerezani ukifika mda wa I abada ni lazima uhudhulie hasa ibada ya kabra ya kulala

Haijarishi ni ibada ya kikristo au kiisramu chamsingi usikilize tu

9)unaopo enda chooni ukii kuta ndara ipo mlangoni na zimeangalia ndani/kuelekea chooni usii ngie Ina maanisha Kuna mtu

Kinyume chake ingia hiyo itakuwa Ina maanisha hakuna mtu

10)jera Kama utakuwa na tatizo au shida yoyote hauruhusiwi kwenda kwa askali magereza moja kwa moja

unacho takiwa kufanya nikwenda kwa Nyampala Kisha Nyampala atampa taarifa nyampala mkuu

Kisha Nyampala mkuu ndiye ata Kaye fikisha taarifa kwa Askari wa gereza kinyume na hapo nitatizo

Na hapo ndipo ushoga unapoanzia kwamba mfungwa

anaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzie/nyampala

Na ili mfungwa huyo atoe taarifa kwa askali magereza nilazima apitie kwa Nyapala

na nyampala huyo huyo ndiye anaye mla mfungwa

je tuta zuia ushoga jera kweli?

Ndiyo maana wanasema
Kama jera ni shule mpeleke mwanao sio mwana wa mwenzio

Na yafwatayo nimengine ambayo nikama sheria ndani ya jera....

Itaendelea....
Pole jaman
 
Back
Top Bottom