Yajue Maisha yalivyo jela

Yajue Maisha yalivyo jela

Kwanini mashirika yanayotoa misaada ya kisheria yasiende kuwasaisldia hao waliosingiziwa? Waliokaa mahabusu miaka mitano anaona Bora ningefanya hayo ninayotuhumiwa niwe hapa kihalali. Kuna mashirika, mpk mawakili wa serikali, na legal aids mbalimbali ikiwemo na ya Mhe Rais hebu wawe wakiwakumbuka na hao kama Kijana aliyeokota risasi
Tatizo ni la mfumo, kesi zote zilitakiwa ziwe na dhamana.
Kwa mfumo wa sasa wanaochunguza wakisema uchunguzi haujakamilika na hawataki kukupa dhamana hakuna msaada wowote unaweza kukusaidia.
 
Hakika ukifanya hivyo uta balikiwa Sana Tena kabla hauja wapelekea tembelea kwanza

Utawaona wanao hitaji msaada hata hata kwa kuwa angalia tu

waulize majina yao Kisha wapelekee mkuu uta barikiwa
Utaratibu wa kutembelea upoje? Maana kuna watu wanapaogopa unaweza ukaenda mule usirudi uraiani ukabakia humo humo kwa hio toa maelezo kila siku unaruhusiwa kwenda kutembelea na kuwaona wafungwa na unapitia taratibu zipi ili mtu aelewe maana panatisha pale Mimi nikipishana na wafungwa wananiangalia kwa huruma sana kuna kitu wanatamani kuniambia ila sijui wanataka kusema nini kwa hio wanapokodoa macho naogopa hata kuwasogelea na pia ungeongeza sio jela zote wanaishi maisha magumu hivyo kuna jela zingine treatment ni nzuri zaidi km upo uraiani tu
 
Mkuu hata hawa viongozi wetu wa vyama wanapopelekwa mahabusu huwa ,wanakaguliwa kama ilivotokea kwako? Je unakaguliwa Mara ya kwanza kwenda au Kila unapotoka court Tena?
 
Na hapo ndipo ushoga unapoanzia kwamba mfungwa

anaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzie/nyampala

Na ili mfungwa huyo atoe taarifa kwa askali magereza nilazima apitie kwa Nyapala

na nyampala huyo huyo ndiye anaye mla mfungwa

je tuta zuia ushoga jera kweli?


So sad😓
 
Na hapo ndipo ushoga unapoanzia kwamba mfungwa

anaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzie/nyampala

Na ili mfungwa huyo atoe taarifa kwa askali magereza nilazima apitie kwa Nyapala

na nyampala huyo huyo ndiye anaye mla mfungwa

je tuta zuia ushoga jera kweli?
Ndio maana kawaambia Sabuni ni zaidi ya dhahabu au almasi ukiwa jela wapelekee na mafuta ya kupakaa watakushukuru sana na utabarikiwa kwa kiasi chako
 
Pole sana ndugu yangu MUNGU MWENYEZI awasaidie wafungwa wote

Niliwahi kwenda jela lakini nilipeleka rozari pamoja na vitabu vya Sala sikujua kama na sabuni ni muhimu anather day uchumi wangu ukifunguka nitaelekea huko kupeleka hivyo vitu

Asante sana
Utaratibu wa kutembelea upoje?
 
Back
Top Bottom