KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
pale ni mixer kama usa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna makabila mengi pamoja na WAHA, WANYAMWEZI na WASUKUMA. Wapemba au Waunguja siyo makabila ila ni watu wanaoishi Pemba na Unguja kama vile uanze kusema kuna kabila la Wamorogoro, Wairinga, Watabora nk
Ila kwa sasa makabila makubwa kabisa yaliyopo sasa hivi Zanzibar ni CCM na CUF
Unamaanisha waunguja na wapemba?Ila kwa sasa makabila makubwa kabisa yaliyopo sasa hivi Zanzibar ni CCM na CUF
Unamaanisha waunguja na wapemba?
Unamaanisha waunguja na wapemba?
Pole sana ndugu yangu kwa kutaka kujua jambo usilolijua.Zanzibar kuna makabila pengine mengi zaidi ya hayo yalioko tanganyika lakini hayatumiki katika jamii iliostaarabika na ilioendelea.Kutumika kwa makabila ambayo tuliyaondowa wakati wa mapinduzi ni kutuambia turejeshe ukabila jambo ambalo limeshasahaulika.Kumbuka kua zanzibar ni kisiwa na Wahamiaji wa kisiwa huwa ni wafanya biashara au wavuvi kutoka nchi mbali mbali.Kwa mfano washihiri waliingia zanzibar kwa ajili ya kuuza nguru na wakahamia na wakaowa na mpaka leo hii wapo.Wakomoro waliingia zanaibar kwa biashara na mpaka leo hii wapo na makabila yao yote yapo.Waarabu waliingia zanzibar na wakahamia na wakaowa na mpaka leo hii wapo na makabila yao yote yapo.Watanganyika kutoka mwambao wa pwani,Tanga,mafia n.k walikuja zanzibar kwa kuvua na wakaowa na mpaka leo hii wapo na makabila yao yote yapo.Na kwa upande wa lugha hicho kiswahili unachongea leo hii na kujivunia kuwa ni lugha ya Taifa ndio lugha asili ya Zanzibar na kwa vile Wazanzibari ndio waliokuwa wenyeji wa kisiwa hawakutaka lugha yao ibadilishwe na wageni walio kua wakija kuhamia.Lakini mpaka leo hii baadhi ya makabila yanaongea lugha zao majumbani mwao tu na sipengine popote.Naomba nielimishwe, Zanzibar kuna makabila mangapi? Ukiachia kuzungumza lugha ya Kiswahili, wana lugha zao za asili? Na kwann wazanzibar wanapenda kujiona waarabu kuliko wabantu? Asanteni.