Yajue Makabila Yanayopatikana Tanzania Visiwani ( Zanzibar )

Yajue Makabila Yanayopatikana Tanzania Visiwani ( Zanzibar )

Nijuavyo mimi Swahili ni lugha ambayo imeanzishwa katika karne hizi za karibuni. Ukiangalia maneno mengi ni lugha ya kigeni ikiwemo kireno, kiarabu, kijerumani na kidogo kutoka kwenye lugha zetu za kibantu.

Sasa ikiwa ni lugha mpya....wazanzibari walikuwa wanawasiliana kwa lugha gani. Naamini walikuwa na makabila na lugha zao za kikabila. Lakini kutokana nasmichanganyo mingi ya damu sijui niseme modernization inawezekana zikawa zimepotea na kusahaliwa.

Correct me if im wrong....
kulikuwa na lugha kadhaa kama kihadimu, kimakunduchi, kitumbatu nk
 
Kwahiyo washirazi wanaongea kishirazi? Watumbatu nao kitumbatu, wagunya....e.t.c,nauliza tu jamani sio ugomvi nielewesheni.
WANAONGEA KISWAHILI.ISIPOKUWA LAHAJA ZAO TU NDO TOFAUTI MKUU
 
Back
Top Bottom