Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Wadau naomba msaada kujua kiasi cha mtaji kinachotakiwa kuanzisha biashara ya kuuza matunda mchanganyiko pamoja na changamoto zake pia
Mkuu unamawazo kama ya kwangu ,bilashaka biashara ya matunda ni nzuri ,maana me nilishaga wahi kuifanya, ni inalipa sna endapo ukapata soko la uhakika na sehemu yenye mwingiliano wa watu wengi ,pia unaweza ukaanza na mtaji hata wa shng elf hamsini 50 , katika hii biashara inatakiwa use msafi na uyaweke matunda ky sehem inayomvutia mteja aweze kununua ,maana kuna wengine huwa hawajari usafi,
Pia biashara ya matunda inahitaji kuwa mbunifu wa hari ya juu ,jitahid kuangalia matunda yanayopendwa na watu ,ndo uyawekeze sna,pia ky hii biashara inachangamoto
1. Kuharibika kwa matunda ,hii huwa inatokea pale unapochukua mzigo mpk ky sehm unayouzia, so jitahd uwe na kifaa au chombo kizuri cha kubebea
2.kuoza kwa matunda ,hii hutokea pale wateja wanapopungua kuyanunua ,pia hali ya hewa hasa wakti wa mvua , so ilikupunguza hili tatzo inatakiwa uwe na friji la kuanzia ili uweze kuya hifadhi matunda yanayobaki au unayoona yanaelekea kuharibika .

Biashara ya matunda ina hela asikwambie mtu# kwa maelezo zaid whasap or call me 0746486376

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau wa jamii forum ,natumaini ni wazima wa afya ,pole na majukumu ya kutafuta kipato naombeni msaada wa mawazo jinsi ya kupata soko la matunda katika mkoa wa Dar es salam ,pamoja na maeneo ya kufanyia biashara ya matunda na changamoto zake katika hii biashara,
Asanteni#
Mawazo yenu ndo msaada Wang ,tambua wte ni wataftaji kesho kwako#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona hujafafanua kidogo unataka kufanya biashara ya matunda ya ndani au yale ya kutoka nje kama ma apples ya SA na bidhaa zingine zinazotoka huko au...ni vitu vya kuoza ndio changamoto yake kubwa soko lipo....
 
Ni biashara nzuri sana na ina faida ukipata sehemu nzuri/iliyochangamka

Matunda yanapatikana kwa wingi na bei ya chini soko la buguruni & stereo kutokana na ukubwa wa masoko haya na uwepo wa wauzaji weng upatikana kwa bei rahic
Vitu vya kuzingatia;
1.Chagua sehem iliyochangamka ili mzigo uzunguke fasta,Pia inabid ujue kukadilia mzgo kiasi gan unaenda kwa mda gan yasikuozee ukapata loss
2.kuwa makini ktk kuchagua matunda usimwamin muuzaj wanachanganyaga na mabovu ndo maana huwa hawaruhusu uchague bali unataja idadi anakuwekea
3.ZINGATIA USAFI. Weng uvutiwa na matunda yakiwa safi pamoja na sehemu unayouzia
4.Jaribu kujitofautisha na wengn kama wapo maeneo hayo wanauza matunda...mfn kama wanauza mtunda mazima uza vipande (tikitiki,fenesi,nanasi etc), pia mbe,tango menya baadhi weka ktk vifuko, uza matunda mix ktk kontena
 
Tatizo LA wabongo ni kuigana igana... As I speak, kuna watu kama saba hivi wameanzisha hii biashara ya juice.. Same idea, same branding same everything... And here you are, trying to do the same shit..

Tafuta idea yako Mzee baba, something different from the usual..

Well, I'll be opening a rabbit grill in town soon, fuga sungura uje kuniuzia..
Ningekuona unaakili kama ungemsaidia mwana kumpa ideas mbili tatu ambazi ni unique kabisa lakini ulichofanya hapa sio kitendo cha kiungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Helow wakuu
Poleni na majukumu

Nimekuja kwenu kuomba mnipe mawazo mbali mbali juu ya biashara ya matunda ya kukata kata

Nimeshapata eneo

Mungu akijaalia nitaanza muda si mrefu
Naomba wenye kujua zaidi je?
Ili nisipate hasara nifanyaje?
Ununuaji mpaka uuzaji na maboresho pia(uniqueness)
Namna gani niwe wa kipekee kuvutia wateja wengi na kufanya wabaki kwangu!
Naimani JF kuna wengi sana wa kunisaidia hili
Nami naombeni mawazo yenu tafadhalini kwani kwangu pekee siwezi

Pia mwenye kabati dogo la kioo(kama yale ya chips) naomba anicheki tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijafanya hiyo biashara ila ushauri ninaokupa ni kuwa msafi sana. Hygiene ni jambo la muhimu sana. Hata kama uko peke yako wakati wa kutayarisha matunda usione kuwa kwa vile hamna mtu basi unaweza kutozingatia sana swala la usafi. Watakuja wengine watatoa mchango wao. Kila la kheri.
 
Asante
Sijafanya hiyo biashara ila ushauri ninaokupa ni kuwa msafi sana. Hygiene ni jambo la muhimu sana. Hata kama uko peke yako wakati wa kutayarisha matunda usione kuwa kwa vile hamna mtu basi unaweza kutozingatia sana swala la usafi. Watakuja wengine watatoa mchango wao. Kila la kheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Helow wakuu
Poleni na majukumu

Nimekuja kwenu kuomba mnipe mawazo mbali mbali juu ya biashara ya matunda ya kukata kata

Nimeshapata eneo

Mungu akijaalia nitaanza muda si mrefu
Naomba wenye kujua zaidi je?
Ili nisipate hasara nifanyaje?
Ununuaji mpaka uuzaji na maboresho pia(uniqueness)
Namna gani niwe wa kipekee kuvutia wateja wengi na kufanya wabaki kwangu!
Naimani JF kuna wengi sana wa kunisaidia hili
Nami naombeni mawazo yenu tafadhalini kwani kwangu pekee siwezi

Pia mwenye kabati dogo la kioo(kama yale ya chips) naomba anicheki tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
tips
1.wawekee matunda mengi kias tofaut na wauzaj wengine hata kama wapo mbali na eneo lako lengo ni kutengeneza custumer base ili iwe kubwa then utaanza kupunguza kiac cha kipimo taratibu mpaka wanazoea.
note;; mwanzo wa biashara usiangalie sana faida vutia kwanza wateja sasa jifanye mkuda ufurahie shoooo
2. usafi kiwango cha rami (wewe, vyombo, banda lako,front side)
3. lugha nzuri
4. jua vizur matunda gani rais kuoza ili ujue jins gan ya kuyauza kwa uharaka..mfn-unaweza kuyatumia hata kumuongezea mteja kiaina.
6. addition weka hata kibango(list of fruit) front side kama upo road kubwa.
7.yote tisa kenda
kama huna plan nzur ili uone mafanikio ya biashara yako ni sawa SAWA NA KUPIGA MARKTIME TU BRO
Yaan umeuza laki afu kaja mwajuma ndala ndefu umempa 40.,au starehe kama zote.
 
Acha kumtisha bhana, Wise Sister, unaweza kuzipata hizi na ile yenye ubora kabisa inayoweza kusaga/kukamua machungwa, matango, apple, mapeasi n.k ni kama shilingi 200,000 na ile ya kukamua machungwa, nanasi n.k ni shilingi 50,000. Hii ya elfu 50 haihitaji umeme na unaweza kuitumia mahali popote. Hizo zote unatengeneza juice bila kuchanganya na maji. Mimi ninazo nyumbani kwa matumizi binafsi lakini pia zinafaa kwa biashara. Ili kuepuka kuharibika kwa juice pale umeme unapokatika mara kwa mara, ni vyema ukahifadhi matunda kwenye friji kwani mteja akija unaweza kumkamulia juice ndani ya dakika 2 akapata kiasi anachohitaji.

Karibu.
Naitaji kujua namna yakutengeza juic inayoweza kukaa siku 7 bilakualibika au wikitatu yamatunda lkini
 
Back
Top Bottom