Yajue Mataifa Yasiyoamini Uwepo wa Mungu

Yajue Mataifa Yasiyoamini Uwepo wa Mungu

Kuna marafiki zangu ni wafaransa hakika hawajui kitu chochote kinachohusiana na Mungu, si biblia wala Quran huwa hawaabudu kitu chochote!!!
 
Kwa vyovyote unaposikia neno pagan unapata picha ya watu fulani wenye roho mbaya waabudu shetani na watu wenye Rohombaya sana.

Lakini kiasili na kiuhalisia upagani ni imani kubwa ndani ya mwamvuli wenye imani ndogo ndogo nyingi zisizoamini katika Mungu mmoja huku wakiamini katika miungu na dini za asili.

Ndani ya hizo imani kuna baadhi huchanganywa na satanism na freemason, ambapo ndani yake hufanya ibada za kafara.
Basi hebu tusaidie wapagani ni watu gani?
 
Kwa vyovyote unaposikia neno pagan unapata picha ya watu fulani wenye roho mbaya waabudu shetani na watu wenye Rohombaya sana.

Lakini kiasili na kiuhalisia upagani ni imani kubwa ndani ya mwamvuli wenye imani ndogo ndogo nyingi zisizoamini katika Mungu mmoja huku wakiamini katika miungu na dini za asili.

Ndani ya hizo imani kuna baadhi huchanganywa na satanism na freemason, ambapo ndani yake hufanya ibada za kafara.
Basi hebu tusaidie wapagani ni watu gani?
 
Ee Mwenyenzi Mungu muumba mbingu na nchi wahurumie Watoto wetu,wasipatwe na dhahama inayoichungulia dunia,,
 
Kuna marafiki zangu ni wafaransa hakika hawajui kitu chochote kinachohusiana na Mungu, si biblia wala Quran huwa hawaabudu kitu chochote!!!
yaani kwa wazungu siku hizi ukimuuliza una mungu ni atakuachukia sana na yamenikuta mara kadhaa
 
Kwa vyovyote unaposikia neno pagan unapata picha ya watu fulani wenye roho mbaya waabudu shetani na watu wenye Rohombaya sana.

Lakini kiasili na kiuhalisia upagani ni imani kubwa ndani ya mwamvuli wenye imani ndogo ndogo nyingi zisizoamini katika Mungu mmoja huku wakiamini katika miungu na dini za asili.

Ndani ya hizo imani kuna baadhi huchanganywa na satanism na freemason, ambapo ndani yake hufanya ibada za kafara.

Kwa hiyo na wale wasioamini hata hiyo miungu mingine uliyo itaja yanaingia kundi gani? Mfano ndungu yangu cc:kiranga
 
Leo ningependa kuzungumzia upagani wenye utu kwakuwa nimeishi nao kwa miaka mitatu mfululizo...hii ni aina ya imani ya kipagani isiyo na mafungamano na ule upagani wenye misimamo mikali ni upagani wenye kujali utu na kujituma zaidi kwenye ustawi wa jamii na self cultivation kwenye ulimwengu wa kiroho kwa tafsiri ya kipagani.

Huu ni upagani wenye kujali elimu maarifa ugunduzi na uvumbuzi mpya kwa manufaa ya jamii na dunia kwa ujumla huku wakijiepusha kwa mbali kabisa na malumbano juu ya uwepo wa Mungu mmoja.

Imani hii ya kipagan ni watu wakimya wataratibu wenye tafakuri kwenye kila jambo hawakurupuki na hata mnapofanya jambo la pamoja na ikafika mahali hakuna ufumbuzi hukuuliza wewe mwamini uongee na Mungu wako.

Kupitia kwao niliweza kujifunza mengi ya manufaa...hapa jamvini tuna wapagani wengi je ni wapagani wa sect ipi mojawapo?
Nasubiri jibu
 
1454777346283-jpg.321548

Bado hujibu swali
 
Bado hujibu swali. Au unawezekana unajibu lakini hujui unajibu nn
Nimekupa hiyo link ukajichotee na kujiongezea mwenyewe huko kwenye hii mada chukua theme ya ATHEIST kama kuweka neno uoagani nimeingia chaka
 
kwa tafsiri
Sio kiranga peke yake kundi lote lenye mtazamo kama Wa kiranga yani hakuna mungu wala miungu
rahisi ya kiswahili na kilichozoeleka hao wooote ni wapagani tu, unaweza kufanya rapid survey
 
Back
Top Bottom