Yajue Mataifa Yasiyoamini Uwepo wa Mungu

Yajue Mataifa Yasiyoamini Uwepo wa Mungu

Afrika kwenye umaskini wa kutisha na elimu duni ndiyo dini imeshika kasi.
 
Bora usiwe na dini unakuwa na amani ya moyo kuliko hizi dini ambazo zinashindana kila siku na kuwachanganya waumini wake hadi wanashindwa washike lipi
 
Bora usiwe na dini unakuwa na amani ya moyo kuliko hizi dini ambazo zinashindana kila siku na kuwachanganya waumini wake hadi wanashindwa washike lipi
kweli kabisa
 
"Ni wachache mno katika waja wangu wanaokumbuka neema zangu."
"Vipi mnamkufuru Mola wenu hali mlikua wafu,akakupeni uhai,kisha mtakufa,kisha mtapewa uhai kwa mara ya pili na kwake mtarejeshwa?"
"Ambaye ameumba kwa ajili vyote vilivyomo katika ardhi,kisha akageukia mbinguni;akatengeneza mbingu saba (na vilivyomo);hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye Uwezo mkubwa."
Lakini mwanadamu haishi jeuri na inda.
 
Bora usiwe na dini unakuwa na amani ya moyo kuliko hizi dini ambazo zinashindana kila siku na kuwachanganya waumini wake hadi wanashindwa washike lipi
Watu ndiyo huchanganya watu kwa kuanzisha dini zao ambazo ndiyo matokeo yake huchanganya watu.
 
Hali inaashiria kuwa wanadamu ndio wanajaribu kumuumba Mungu na ndio maana Mungu anaelezwa tofauti na watu tofauti na kumuabudu tofauti. Leo hii mtu ataacha nyumba ya ibada hapa akafuata nyingine kule. Kama Mungu ni huyohuyo ni lazima tuseme kitu kimoja kumhusu.
Hii tofauti inachangia baadhi ya watu kukaa pembeni.
Wengine wakisema mfano Yesu ni Mungu wengine wanasema sio. wengine wanasema Maria ni mama wa Mungu wengine wanasema hapana.
Makundi ya itikadi au imani kali yanataka watu waseme kiktu kilekile kuhusu Mungu! na hapo unakuwa ni utata mtupu!
 
Hali inaashiria kuwa wanadamu ndio wanajaribu kumuumba Mungu na ndio maana Mungu anaelezwa tofauti na watu tofauti na kumuabudu tofauti. Leo hii mtu ataacha nyumba ya ibada hapa akafuata nyingine kule. Kama Mungu ni huyohuyo ni lazima tuseme kitu kimoja kumhusu.
Hii tofauti inachangia baadhi ya watu kukaa pembeni.
Wengine wakisema mfano Yesu ni Mungu wengine wanasema sio. wengine wanasema Maria ni mama wa Mungu wengine wanasema hapana.
Makundi ya itikadi au imani kali yanataka watu waseme kiktu kilekile kuhusu Mungu! na hapo unakuwa ni utata mtupu!
Kuna imani nyingi tu si kuamini mungu ndiyo peke yake ni imani. Kuna wanaosema hakuna mungu na wengine hawasemi kuwa yupo lakini hawapingi uwezokano wa kuwepo,hivyo hata hawa pia huchanganya watu.
 
wazunguw wengi wanaang
Kuna imani nyingi tu si kuamini mungu ndiyo peke yake ni imani. Kuna wanaosema hakuna mungu na wengine hawasemi kuwa yupo lakini hawapingi uwezokano wa kuwepo,hivyo hata hawa pia huchanganya watu.
ukia hapa maana utakuta bendera zao nyingi zina misalaba halafu raia wanasema hakuna Mungu
 
wazunguw wengi wanaang

ukia hapa maana utakuta bendera zao nyingi zina misalaba halafu raia wanasema hakuna Mungu
Ujue wale dini wanafanya kama sehemu ya imani tu ambayo haiathiri sana mfumo wao wa maisha au tuseme wameingiza tamaduni zao katika dini,hivyo sioni ajabu kwa yanayotokea.
 
Mkuu naona kama definition yako ya dini inabidi iwe wazi kidogo ijumuishe dini kama Buddhism (zaidi ya asilimia tisini ya wa cambodia na wa Thailand ni wafuasi wa dini hii). Zipo dini ambazo zinaamini katika kuabudu wanyama.. Miti.. Mizimu etc kwa upande wa Uchina takribani asilimia themanini wanafata dini za kichina (Taosm, Buddhism nk) ambazo si kati ya dini kubwa toka Mashariki ya kati (uislam, Ukristo na judaism).. Kwahiyo Mkuu kuabudu miti na mizimu sehemu nyingine duniani ni dini inatambulika rasmi kiserikali na kimamlaka
 
Back
Top Bottom