Yajue usiyoyafahamu kuhusu Vita ya Kagera

ila kutegemea Silaha na vipuri toka nchi zingine ni hatari sana na utumwa. Pia inaonekana hii vita imeelezwa vizuri zaidi na mabeberu kuliko hata waliopigana, kwanini?
 
Its a good story, but Im worried it is one sided. Ugandan may have a different story
 
Wakorea vitu kama hivi wanavifanyia historical drama[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ukisema "wanaopinga kukamatwa madini ni wasaliti vitani, na wasaliti vitani hupigwa risasi" halafu kweli watu wakapigwa risasi, machafuko yakatokea, huwezi kukwepa lawama kwamba wewe ndio mwanzilishi wa vita, wewe ndio umefanya dog whistling, umewapigia mbwa miruzi wafanye mashambulizi, watu wamefikwa maafa kwa vile wewe kiongozi ulishaonyesha nia na madhumuni ya kutaka watu wafikwe maafa. Hukwepi lawama.

Ndio ya Iddi Amini.

Ndio ya watawala wetu wengi Afrika.
 

hizo ndege zilizotunguliwa ndo mijawapo
ilikuwa na mtoto wa nyerere ama??
 
Kuna sehemu sikuielewa. Hapo aliposema kuwa maafisa wa jeshi ngazi za juu hawakuwa na taarifa akiwemo idd amin mwenyewe. Ila baada ya ndege vita kushambumbulia Tanzania idd amin akawapongeza na kuwapandisha vyeo. Aliwapandisha vyeo bila kujua wamefanya operation gani?
 
Handithi njoo Utamu kolea!!!!!!
 
Usiulizeulize hiyo ni Hadithi Bwana!!!!
 
Ninawaomba wahariri na wasimamizi wengine , hizi nyuzi za vita ya Kagera ,na wasifu wa Makamanda walipigana huko na maeneo mbalimbali Afrika ziwekwe pamoja ,yaani chini ya jina moja mfano "vita ya Kagera " au "mashujaa wetu" na iwekwe sticky thread hapo juu. Mtu akifungua humo ndani anakutana nyuzi mbalimbali mfano ile ya sherehe ya kuzaliwa Jenerali Musuguri, wasifu wa jenerali Walden,jenerali Kiwelu, Gen.Ramadhani Haji Fakhi,Kanali Mahfoudh nk.
 
Dah! Haijaendelea kwanini Leo nimesoma kitu...
 
Tanzania tulikua wachokozi, bila sisi kuwahifadhi waasi wa Uganda tungeepusha vita.
 
Masikini mleta uzi, sijui alifariki au alitekwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…